Sikio la kufa: Rais wa Ukraine, Zelensky, akataa ofa ya Marekani ya kumtorosha Kyiv asikamatwe na Putin

Tutapigana mwanzo mwisho
 
Watu wengi wa africa hasa Tanzania wanaujinga mwingi sana.. ndio maana vijana wadogo Kama sabaya wanawashika maskio

Sishangai kwanini tulitawaliwa na mpaka sasa wengi tukiendeshwa, wazungu wanajua haki zao.

Yani mtu kaja nyumbani kwako afu wewe ukimbie uiache familia? Na mbaya zaidi unaweza kufa vile vile ama usirudi nyumbani maisha yote sasa si heri ufe

Level ya kujitambua bado iko chini sana, nchi zote unazoona ziko vzuri now ujue Kuna time watu walikufa kutetea nchi zao sio kukubali kuwa watumwa tena kalne hii
 
Whaat a man, mwamba sana
 
Fake news
 
Ukiwa mbabe kuna watu wanakucheki tu.
Sio wanakuogopa.
Wanakuheshimu tu.
Nasuburia brother kiduku atoe support
 
Ilo la kuwekea silaha chini lime kataliwa mkuu.
 
Putin ni msssssenge sana yule qumer. Na wanaomshabikia ni watoto wadogo wanaokaa kwa wazazi wao. Huwezi ukawa una interest na uchumi halafu ukafurahia vita
Huu mchezo hauhitaji hasira bwashee[emoji4]
Umebipu, umepigiwa. Kelele za Nini Sasa?[emoji2]

TULIA DAWA IINGIE
 
Hizo silaha Ukraine sinatumwa kwa ungo?
Maana mpk Sasa mipaka , anga na airport zote ziko chini ya majeshi ya Russia.

Au ndo ile kujitekenya na kucheka mwnyw?
 
Ndicho hiki kinachotokea Ukraine ?
Sasa niambie nini kiini cha Putin kuivamia ukraine, nchi huru yenye katiba yake na uhuru wa kuamua wanayoyataka (ukraine ilishaomba kujiunga na NATO ,ambayo ni uamuzi wake na putin hataki hili anaona NATO watakua dirishani kwake!,but why we waste our time discussing ukraine?elewa mpaka wetu na Mozambique 🇲🇿 kuna vita labda hujui mkuu!)
 
Hizo silaha Ukraine sinatumwa kwa ungo?
Maana mpk Sasa mipaka , anga na airport zote ziko chini ya majeshi ya Russia.

Au ndo ile kujitekenya na kucheka mwnyw?
Kuwa serious basi empty head
 
Kulinganisha Russia na kwamba leo Mkoloni akirudi Tanzania is comparing oranges na sungwi....

Hivi unajua kuna sehemu majimbo ambayo ni Pro Russians na wanataka kujiunga na Russia kama ilivyo sehemu Pro Nato na kuna sehemu Pro Russia; na Katika mikataba waliosaini kipindi USSR inavunjika kulikuwa na makubaliano ya kugawana vitu na Russia iliweka angalizo kuhusu NATO na hiki kinachotokea leo....

Mbili Russia yeye anadai (inategemea kama unakubaliana nae au hapana) kwamba anawasaidia watu wake (majimbo pro russians) ambayo other parts of Ukraine wanaonekana kama Waasi....

Nakukumbusha tu there is two sides of every story na NATO / US wote wana agenda zao bahati mbaya anayeteseka ni average citizen na watu maisha yao kuwa disrupted na haya machafuko.... In the end they are all pawns in a chessboard
 
Hivi angekuwa mama yetu angekataa hiyo offer?
 
Kuna Video Yake Amesema Ndio Mara Yake Ya Mwisho Kumuona Maana Ndio Anaingia Vitani Kufa/Kupona.

Japo Tayari Ameaga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…