Siku 2 ofisini, mama Stergomena Tax naye kafanya kosa lilelile la Mulamula

Siku 2 ofisini, mama Stergomena Tax naye kafanya kosa lilelile la Mulamula

Mkuu MSAGA SUMU, sasa huu ni ujinga tuu!. Anayeamua aende wapi ni mgeni mwenyewe!, anayepanga safari ni msafiri mwenyewe na sio mwenyeji, sasa hapo kosa la Dr. liko wapi?!, tusiwashobokee sana hawa jamaa, usikute ni hawa ndio walimnanilii yule naniliu wetu kama nilivyowahi kuuliza hapa US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
P
Au tunaanza kupoteza ushawishi mkuu, hawa ni wafanya maamuzi huko kwao mkuu, tusiwachukulie poa
 
Tanzania Daima ipo na wajamaa Urusi,China and the likes ko mara nyingi capitalist huwa wanatukwepa na ndo mana hata makao mengi ya makampuni ya kimagharibi yapo Nairobi, Ni kitu ambacho inabidi tubadilike aisee
Huu upande wa ujamaa hauna faida yeyote inabidi tujaribu kuegemea upande wa west tuone itakuwaje

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Inaonyesha hujui hizi safari zinavyopangwa.

Siyo kwamba Seneta yule akifika Nairobi,Stergominor anaweza kumwita hapa.

Mipango lazima ifanywe mapema, lazima kwanza waje huku Secret Service kufanya mine sweeping.

Sidhani kama umemuelewa Msaga Sumu! Tazama hizo picha za Kagame na Ruto halafu tafakari na uelewe vizuri kuna ujumbe mzuri sana
 
Mkuu MSAGA SUMU, sasa huu ni ujinga tuu!. Anayeamua aende wapi ni mgeni mwenyewe!, anayepanga safari ni msafiri mwenyewe na sio mwenyeji, sasa hapo kosa la Dr. liko wapi?!, tusiwashobokee sana hawa jamaa, usikute ni hawa ndio walimnanilii yule naniliu wetu kama nilivyowahi kuuliza hapa US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
P

Yani na wewe leo watu wote wamekushinda kufikiri! Ujumbe uko kwenye picha zaidi ya hayo maneno aliyo yaandika!
 
Kuna ukweli ndani yake..
Lakini vichwa box watakushambulia
Maana yake TZ haina uzito kwa nchi za East Africa, ni kama li Tembo fulani lizembe na lizito kuelewa au kupiga nalo dili.......
Tuliogopa kwenda Msumbiji, Rwanda akajitosa, Tukajipelka na kiherehere Congo kwenda kuwavurugia dili zao, tukaambulia kichapo na vifo, tukaufyata na kufunga virago...
Kuna tatizo hapa....
Congo tuliufyata!!?...una upungufu wa taarifa kuhusu jwtz Congo,Kenya ni kibaraka wa marekani tangu uhuru na pia Wana utawala mpya,rwanda ndiyo upawa wao congo
 
Kwamba kenya na Rwanda ni Former American Colonies? au kwa Sasa ni American Colonies? Au umeamua TU ilimradi uandike! JF imekua fb Sasa na sio Great Thinker's platform!
Ni kweli makoloni yao mpaka mwisho wa dahari
 
Ni kweli makoloni yao mpaka mwisho wa dahari
Unaweza kulithibitisha Hilo wanajamvi wakakuelewa kuwa hayo mataifa no makoloni ya Amerika na Tanzania ni independent na sio Koloni la Amerika na ndio sababu hawajafika Tanzania? Tusaidie tafadhali tuelewe kwa Maana wengi tunajua sifa za ukoloni uwe wa kale au mambo Leo!
 
Unaweza kulithibitisha Hilo wanajamvi wakakuelewa kuwa hayo mataifa no makoloni ya Amerika na Tanzania ni independent na sio Koloni la Amerika na ndio sababu hawajafika Tanzania? Tusaidie tafadhali tuelewe kwa Maana wengi tunajua sifa za ukoloni uwe wa kale au mambo Leo!
Nikithibitishie kivipi!?..kwa nyaraka toka Langley au!?
 
Mkuu MSAGA SUMU, sasa huu ni ujinga tuu!. Anayeamua aende wapi ni mgeni mwenyewe!, anayepanga safari ni msafiri mwenyewe na sio mwenyeji, sasa hapo kosa la Dr. liko wapi?!, tusiwashobokee sana hawa jamaa, usikute ni hawa ndio walimnanilii yule naniliu wetu kama nilivyowahi kuuliza hapa US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
P
Mkuuu sijawahi kukuelewa kuna siku unaongea point kuna siku unatema Pumba kama hizi hadi aibuuuuu.Hakuna Siri kinachofanyika tz kukandamiza wananchii hakuna anayeweza kukuelewa.wananchii tunanyonywa damu afu wazungu wakae na kupe.
 
Back
Top Bottom