The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Acha kua na fikra za kitumwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au tunaanza kupoteza ushawishi mkuu, hawa ni wafanya maamuzi huko kwao mkuu, tusiwachukulie poaMkuu MSAGA SUMU, sasa huu ni ujinga tuu!. Anayeamua aende wapi ni mgeni mwenyewe!, anayepanga safari ni msafiri mwenyewe na sio mwenyeji, sasa hapo kosa la Dr. liko wapi?!, tusiwashobokee sana hawa jamaa, usikute ni hawa ndio walimnanilii yule naniliu wetu kama nilivyowahi kuuliza hapa US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
P
Kwamba kenya na Rwanda ni Former American Colonies? au kwa Sasa ni American Colonies? Au umeamua TU ilimradi uandike! JF imekua fb Sasa na sio Great Thinker's platform!Wanayapa kipaumbele makoloni yao.
Inaonyesha hujui hizi safari zinavyopangwa.
Siyo kwamba Seneta yule akifika Nairobi,Stergominor anaweza kumwita hapa.
Mipango lazima ifanywe mapema, lazima kwanza waje huku Secret Service kufanya mine sweeping.
Mkuu MSAGA SUMU, sasa huu ni ujinga tuu!. Anayeamua aende wapi ni mgeni mwenyewe!, anayepanga safari ni msafiri mwenyewe na sio mwenyeji, sasa hapo kosa la Dr. liko wapi?!, tusiwashobokee sana hawa jamaa, usikute ni hawa ndio walimnanilii yule naniliu wetu kama nilivyowahi kuuliza hapa US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
P
Hao na wao ahadi nyingi utekelezaji sifuri, labda tuone hao QatarHii mizungu haina maana hata ujipendekeze vipi yenyewe haithamini kitu
Bora tuwafute wavaa kanzu tunaweza kuambulia hata tende
Congo tuliufyata!!?...una upungufu wa taarifa kuhusu jwtz Congo,Kenya ni kibaraka wa marekani tangu uhuru na pia Wana utawala mpya,rwanda ndiyo upawa wao congoKuna ukweli ndani yake..
Lakini vichwa box watakushambulia
Maana yake TZ haina uzito kwa nchi za East Africa, ni kama li Tembo fulani lizembe na lizito kuelewa au kupiga nalo dili.......
Tuliogopa kwenda Msumbiji, Rwanda akajitosa, Tukajipelka na kiherehere Congo kwenda kuwavurugia dili zao, tukaambulia kichapo na vifo, tukaufyata na kufunga virago...
Kuna tatizo hapa....
Aahaa kaonge kilo 2 zaidi, Sasa hv ana 17kgMtu gani yule ana 15kg
Ni kweli makoloni yao mpaka mwisho wa dahariKwamba kenya na Rwanda ni Former American Colonies? au kwa Sasa ni American Colonies? Au umeamua TU ilimradi uandike! JF imekua fb Sasa na sio Great Thinker's platform!
Uzi wa kufunga mwaka huu ni hatareee saaana ndugu mwandishi.Huu uzi ni mwiba mkali kwa wafuasi na chama Cha mboga mboga naona mpaka mwana Yohane mbatizaji na mzee wa 1 wametokwa na povu
Unaweza kulithibitisha Hilo wanajamvi wakakuelewa kuwa hayo mataifa no makoloni ya Amerika na Tanzania ni independent na sio Koloni la Amerika na ndio sababu hawajafika Tanzania? Tusaidie tafadhali tuelewe kwa Maana wengi tunajua sifa za ukoloni uwe wa kale au mambo Leo!Ni kweli makoloni yao mpaka mwisho wa dahari
Nikithibitishie kivipi!?..kwa nyaraka toka Langley au!?Unaweza kulithibitisha Hilo wanajamvi wakakuelewa kuwa hayo mataifa no makoloni ya Amerika na Tanzania ni independent na sio Koloni la Amerika na ndio sababu hawajafika Tanzania? Tusaidie tafadhali tuelewe kwa Maana wengi tunajua sifa za ukoloni uwe wa kale au mambo Leo!
Mkuuu sijawahi kukuelewa kuna siku unaongea point kuna siku unatema Pumba kama hizi hadi aibuuuuu.Hakuna Siri kinachofanyika tz kukandamiza wananchii hakuna anayeweza kukuelewa.wananchii tunanyonywa damu afu wazungu wakae na kupe.Mkuu MSAGA SUMU, sasa huu ni ujinga tuu!. Anayeamua aende wapi ni mgeni mwenyewe!, anayepanga safari ni msafiri mwenyewe na sio mwenyeji, sasa hapo kosa la Dr. liko wapi?!, tusiwashobokee sana hawa jamaa, usikute ni hawa ndio walimnanilii yule naniliu wetu kama nilivyowahi kuuliza hapa US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
P
Hili nalo neno!".......Sio waziri anapokelewa na Biden halafu rais anapokelewa na Mange....."