Vmatongo
Senior Member
- Dec 8, 2021
- 158
- 240
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji39][emoji39][emoji39][emoji124]".......Sio waziri anapokelewa na Biden halafu rais anapokelewa na Mange....."
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji39][emoji39][emoji39][emoji124]".......Sio waziri anapokelewa na Biden halafu rais anapokelewa na Mange....."
Ukifikiria kwa mtazamo wa neo-colonialism utanielewa...Kwamba kenya na Rwanda ni Former American Colonies? au kwa Sasa ni American Colonies? Au umeamua TU ilimradi uandike! JF imekua fb Sasa na sio Great Thinker's platform!
kuna vita ya kiuchumia na ujasusi wa kiuchumi kila mtu na akili yakeMkuu MSAGA SUMU, sasa huu ni ujinga tuu!. Anayeamua aende wapi ni mgeni mwenyewe!, anayepanga safari ni msafiri mwenyewe na sio mwenyeji, sasa hapo kosa la Dr. liko wapi?!, tusiwashobokee sana hawa jamaa, usikute ni hawa ndio walimnanilii yule naniliu wetu kama nilivyowahi kuuliza hapa US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
P
Swali ni jee yule nanilii wetu, ni alinanilii mwenyewe tuu natural au walimnaniliu?.kuna vita ya kiuchumia na ujasusi wa kiuchumi kila mtu na akili yake
Lkn mbna mnawapaparikia San mabeber mm ndio maan nilimpenda jiwe Hana muda nao kbsaNimeshtuka Sana juu ya hiki kilichotokea.
Ujumbe wa Bunge la Marekani umekuja Afrika mashariki ukiongozwa na senator John Inhofe, umeenda kwanza Kenya ukaonana na Ruto Kisha ukaruka kwenda Kigali kukutana na Kagame, yaani umetupita hapa katikati Kama sisi sio watu, Mama hapendi hii kitu, wanakuwa Kama hawajaiona Royal tour, waziri changamka.
Mama anataka kuturudisha kwenye ramani ya Dunia US na Ulaya kituo Chao kiwe Tanzania kwanza, nasi pia tujulikane kwao.
Sio waziri anapokelewa na Biden halafu rais anapokelewa na Mange.
View attachment 2378303View attachment 2378304View attachment 2378305View attachment 2378306
Mijitu mingine haielewe sijui wnataka wazungu waje waaombe ndogoInaonyesha hujui hizi safari zinavyopangwa.
Siyo kwamba Seneta yule akifika Nairobi,Stergominor anaweza kumwita hapa.
Mipango lazima ifanywe mapema, lazima kwanza waje huku Secret Service kufanya mine sweeping.
Kweli wewe Ni akili kubwa kbsa hapa katk bodi hiiMkuu MSAGA SUMU, sasa huu ni ujinga tuu!. Anayeamua aende wapi ni mgeni mwenyewe!, anayepanga safari ni msafiri mwenyewe na sio mwenyeji, sasa hapo kosa la Dr. liko wapi?!, tusiwashobokee sana hawa jamaa, usikute ni hawa ndio walimnanilii yule naniliu wetu kama nilivyowahi kuuliza hapa US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
P
Na mwisho watakuna kukuomba ndogo kimasiarahawa watu ukijifanya unawasujudia sana ndio wanakuona hamnazo.
[emoji28][emoji28]
Ngumu Sana".......Sio waziri anapokelewa na Biden halafu rais anapokelewa na Mange....."
ana tuvitako kama ndimu.Mtu gani yule ana 15kg
Na tuguu kama bikariana tuvitako kama ndimu
Leo nikiwambia kuwa mjini singida pale kuna ugeni mzito kutoka marekani Tena hawajaenda kwa rais Ni wako kimya kimya na Ni wamarwkaniAlikuwa shambani kwake huwa anapenda kuwa na fimbo ya kuchungia ng'ombe
yule demu ashukur Mungu anaishi marekani angekua bongo yule angepauka sana kama muuza mkaa wa kuchomea kacholi.Na tuguu kama bikari
Ni mzuri tu akiwa na nyama nyama, sema ndo hapendi, anapenda kujikondesha hivyoyule demu ashukur Mungu anaishi marekani angekua bongo yule angepauka sana kama muuza mkaa wa kuchomea kacholi.
Tena apimwe mkojo harakaHuo ni uchochezi.....!!
Kila siku mko huko kutembeza bakuli alafu mnajidai eti msiwashobokeeMkuu MSAGA SUMU, sasa huu ni ujinga tuu!. Anayeamua aende wapi ni mgeni mwenyewe!, anayepanga safari ni msafiri mwenyewe na sio mwenyeji, sasa hapo kosa la Dr. liko wapi?!, tusiwashobokee sana hawa jamaa, usikute ni hawa ndio walimnanilii yule naniliu wetu kama nilivyowahi kuuliza hapa US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
P
Mulamula keshaliwa kichwa ,vuvuzela zenu hazitamrudisha.., mengine ni pumba tuu.Nimeshtuka Sana juu ya hiki kilichotokea.
Ujumbe wa Bunge la Marekani umekuja Afrika mashariki ukiongozwa na senator John Inhofe, umeenda kwanza Kenya ukaonana na Ruto Kisha ukaruka kwenda Kigali kukutana na Kagame, yaani umetupita hapa katikati Kama sisi sio watu, Mama hapendi hii kitu, wanakuwa Kama hawajaiona Royal tour, waziri changamka.
Mama anataka kuturudisha kwenye ramani ya Dunia US na Ulaya kituo Chao kiwe Tanzania kwanza, nasi pia tujulikane kwao.
Sio waziri anapokelewa na Biden halafu rais anapokelewa na Mange.
View attachment 2378303View attachment 2378304View attachment 2378305View attachment 2378306
Sasa wewe umeandika ujinga gani. Hujui tu hao wamarekani safari yao ina lengo gani. Lengo ni kuzidhalilisha nchi zetu kuzilazimisha kuwaunga mkono kuhusu ukraine. Sasa kama wewe unaliona hilo jema wafuate hao waunga mkono ushoga kigali.Nimeshtuka Sana juu ya hiki kilichotokea.
Ujumbe wa Bunge la Marekani umekuja Afrika mashariki ukiongozwa na senator John Inhofe, umeenda kwanza Kenya ukaonana na Ruto Kisha ukaruka kwenda Kigali kukutana na Kagame, yaani umetupita hapa katikati Kama sisi sio watu, Mama hapendi hii kitu, wanakuwa Kama hawajaiona Royal tour, waziri changamka.
Mama anataka kuturudisha kwenye ramani ya Dunia US na Ulaya kituo Chao kiwe Tanzania kwanza, nasi pia tujulikane kwao.
Sio waziri anapokelewa na Biden halafu rais anapokelewa na Mange.
View attachment 2378303View attachment 2378304View attachment 2378305View attachment 2378306