Siku 2 ofisini, mama Stergomena Tax naye kafanya kosa lilelile la Mulamula

Siku 2 ofisini, mama Stergomena Tax naye kafanya kosa lilelile la Mulamula

Kwamba kenya na Rwanda ni Former American Colonies? au kwa Sasa ni American Colonies? Au umeamua TU ilimradi uandike! JF imekua fb Sasa na sio Great Thinker's platform!
Ukifikiria kwa mtazamo wa neo-colonialism utanielewa...
 
Mkuu MSAGA SUMU, sasa huu ni ujinga tuu!. Anayeamua aende wapi ni mgeni mwenyewe!, anayepanga safari ni msafiri mwenyewe na sio mwenyeji, sasa hapo kosa la Dr. liko wapi?!, tusiwashobokee sana hawa jamaa, usikute ni hawa ndio walimnanilii yule naniliu wetu kama nilivyowahi kuuliza hapa US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
P
kuna vita ya kiuchumia na ujasusi wa kiuchumi kila mtu na akili yake
 
Nimeshtuka Sana juu ya hiki kilichotokea.

Ujumbe wa Bunge la Marekani umekuja Afrika mashariki ukiongozwa na senator John Inhofe, umeenda kwanza Kenya ukaonana na Ruto Kisha ukaruka kwenda Kigali kukutana na Kagame, yaani umetupita hapa katikati Kama sisi sio watu, Mama hapendi hii kitu, wanakuwa Kama hawajaiona Royal tour, waziri changamka.

Mama anataka kuturudisha kwenye ramani ya Dunia US na Ulaya kituo Chao kiwe Tanzania kwanza, nasi pia tujulikane kwao.

Sio waziri anapokelewa na Biden halafu rais anapokelewa na Mange.
View attachment 2378303View attachment 2378304View attachment 2378305View attachment 2378306
Lkn mbna mnawapaparikia San mabeber mm ndio maan nilimpenda jiwe Hana muda nao kbsa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Inaonyesha hujui hizi safari zinavyopangwa.

Siyo kwamba Seneta yule akifika Nairobi,Stergominor anaweza kumwita hapa.

Mipango lazima ifanywe mapema, lazima kwanza waje huku Secret Service kufanya mine sweeping.
Mijitu mingine haielewe sijui wnataka wazungu waje waaombe ndogo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu MSAGA SUMU, sasa huu ni ujinga tuu!. Anayeamua aende wapi ni mgeni mwenyewe!, anayepanga safari ni msafiri mwenyewe na sio mwenyeji, sasa hapo kosa la Dr. liko wapi?!, tusiwashobokee sana hawa jamaa, usikute ni hawa ndio walimnanilii yule naniliu wetu kama nilivyowahi kuuliza hapa US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
P
Kweli wewe Ni akili kubwa kbsa hapa katk bodi hii

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu MSAGA SUMU, sasa huu ni ujinga tuu!. Anayeamua aende wapi ni mgeni mwenyewe!, anayepanga safari ni msafiri mwenyewe na sio mwenyeji, sasa hapo kosa la Dr. liko wapi?!, tusiwashobokee sana hawa jamaa, usikute ni hawa ndio walimnanilii yule naniliu wetu kama nilivyowahi kuuliza hapa US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
P
Kila siku mko huko kutembeza bakuli alafu mnajidai eti msiwashobokee
 
Nimeshtuka Sana juu ya hiki kilichotokea.

Ujumbe wa Bunge la Marekani umekuja Afrika mashariki ukiongozwa na senator John Inhofe, umeenda kwanza Kenya ukaonana na Ruto Kisha ukaruka kwenda Kigali kukutana na Kagame, yaani umetupita hapa katikati Kama sisi sio watu, Mama hapendi hii kitu, wanakuwa Kama hawajaiona Royal tour, waziri changamka.

Mama anataka kuturudisha kwenye ramani ya Dunia US na Ulaya kituo Chao kiwe Tanzania kwanza, nasi pia tujulikane kwao.

Sio waziri anapokelewa na Biden halafu rais anapokelewa na Mange.
View attachment 2378303View attachment 2378304View attachment 2378305View attachment 2378306
Mulamula keshaliwa kichwa ,vuvuzela zenu hazitamrudisha.., mengine ni pumba tuu.
 
Nimeshtuka Sana juu ya hiki kilichotokea.

Ujumbe wa Bunge la Marekani umekuja Afrika mashariki ukiongozwa na senator John Inhofe, umeenda kwanza Kenya ukaonana na Ruto Kisha ukaruka kwenda Kigali kukutana na Kagame, yaani umetupita hapa katikati Kama sisi sio watu, Mama hapendi hii kitu, wanakuwa Kama hawajaiona Royal tour, waziri changamka.

Mama anataka kuturudisha kwenye ramani ya Dunia US na Ulaya kituo Chao kiwe Tanzania kwanza, nasi pia tujulikane kwao.

Sio waziri anapokelewa na Biden halafu rais anapokelewa na Mange.
View attachment 2378303View attachment 2378304View attachment 2378305View attachment 2378306
Sasa wewe umeandika ujinga gani. Hujui tu hao wamarekani safari yao ina lengo gani. Lengo ni kuzidhalilisha nchi zetu kuzilazimisha kuwaunga mkono kuhusu ukraine. Sasa kama wewe unaliona hilo jema wafuate hao waunga mkono ushoga kigali.
 
Mama Samia ongeza mbio mama, wanazidi kudebweda tu huku.......wanayoongea aibu anaona mtoto wangu wa miaka miwili!

Nakukumbusha mama......fanya jambo Jangwani pale! Kuna booonge la legacy pale; utawapiga kimya cha milele watake wasitake!
 
Back
Top Bottom