Siku 2 ofisini, mama Stergomena Tax naye kafanya kosa lilelile la Mulamula

Siku 2 ofisini, mama Stergomena Tax naye kafanya kosa lilelile la Mulamula

Nimeshtuka Sana juu ya hiki kilichotokea.

Ujumbe wa Bunge la Marekani umekuja Afrika mashariki ukiongozwa na senator John Inhofe, umeenda kwanza Kenya ukaonana na Ruto Kisha ukaruka kwenda Kigali kukutana na Kagame, yaani umetupita hapa katikati Kama sisi sio watu, Mama hapendi hii kitu, wanakuwa Kama hawajaiona Royal tour, waziri changamka.

Mama anataka kuturudisha kwenye ramani ya Dunia US na Ulaya kituo Chao kiwe Tanzania kwanza, nasi pia tujulikane kwao.

Sio waziri anapokelewa na Biden halafu rais anapokelewa na Mange.
View attachment 2378303View attachment 2378304View attachment 2378305View attachment 2378306
Unajua nini kimewafanya waende huko na si Tanzania? Ungetusaidia 'Issue' . Je, kama ni kufuatilia hali ya haki za binadamu na ufisadi? 🙏🙏🙏
 
Nimeshtuka Sana juu ya hiki kilichotokea.

Ujumbe wa Bunge la Marekani umekuja Afrika mashariki ukiongozwa na senator John Inhofe, umeenda kwanza Kenya ukaonana na Ruto Kisha ukaruka kwenda Kigali kukutana na Kagame, yaani umetupita hapa katikati Kama sisi sio watu, Mama hapendi hii kitu, wanakuwa Kama hawajaiona Royal tour, waziri changamka.

Mama anataka kuturudisha kwenye ramani ya Dunia US na Ulaya kituo Chao kiwe Tanzania kwanza, nasi pia tujulikane kwao.

Sio waziri anapokelewa na Biden halafu rais anapokelewa na Mange.
View attachment 2378303View attachment 2378304View attachment 2378305View attachment 2378306
kwa hiyo unamaanisha kwamba hao maseneta wameandaa safari yao siku hizi mbili?
 
Kuna ukweli ndani yake..
Lakini vichwa box watakushambulia
Maana yake TZ haina uzito kwa nchi za East Africa, ni kama li Tembo fulani lizembe na lizito kuelewa au kupiga nalo dili.......
Tuliogopa kwenda Msumbiji, Rwanda akajitosa, Tukajipelka na kiherehere Congo kwenda kuwavurugia dili zao, tukaambulia kichapo na vifo, tukaufyata na kufunga virago...
Kuna tatizo hapa....
Uko sahihi. Nchi inaendeshwa kama nchi sio Chama. Nenda US, wewe wa nje hujui cha Republican au Democratic. Au UK sio Labour au Conservative kama chama ni nchi kama nchi. Hata Kenya tu ni hivyo.
Njoo sasa hapa, ni blabla tupu maana CCM ndio nchi na nchi ni CCM mbele. Tutaendelea kudharaulika

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu MSAGA SUMU, sasa huu ni ujinga tuu!. Anayeamua aende wapi ni mgeni mwenyewe!, anayepanga safari ni msafiri mwenyewe na sio mwenyeji, sasa hapo kosa la Dr. liko wapi?!, tusiwashobokee sana hawa jamaa, usikute ni hawa ndio walimnanilii yule naniliu wetu kama nilivyowahi kuuliza hapa US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
P
Hivi, Ile Tanzania Film company bado ipo kweli, na inatengeneza au na wenyewe wataenda huko kukodi ule mkanda na kusambaza kwetu!!
 
1664769267492.png
 
Kwa sasa Tanzania imeshuka Sana kimahusiano kimataifa.wageni wanatupita tu kama vile Tanzania imetengwa na dunia.Pamoja na kuwa wale viwavi jeshi wa kijani kutudanganya kuwa nchi wameifungua lakini wageni wa maana wanatupita tu kama hawatuoni vile.
 
Huyu mwamba kapata masaibu yepi?
 

Attachments

  • 20221006_081835.jpg
    20221006_081835.jpg
    64.8 KB · Views: 5
Nimeshtuka Sana juu ya hiki kilichotokea.

Ujumbe wa Bunge la Marekani umekuja Afrika mashariki ukiongozwa na senator John Inhofe, umeenda kwanza Kenya ukaonana na Ruto Kisha ukaruka kwenda Kigali kukutana na Kagame, yaani umetupita hapa katikati Kama sisi sio watu, Mama hapendi hii kitu, wanakuwa Kama hawajaiona Royal tour, waziri changamka.

Mama anataka kuturudisha kwenye ramani ya Dunia US na Ulaya kituo Chao kiwe Tanzania kwanza, nasi pia tujulikane kwao.

Sio waziri anapokelewa na Biden halafu rais anapokelewa na Mange.
View attachment 2378303View attachment 2378304View attachment 2378305View attachment 2378306
Nimeshtuka Sana juu ya hiki kilichotokea.

Ujumbe wa Bunge la Marekani umekuja Afrika mashariki ukiongozwa na senator John Inhofe, umeenda kwanza Kenya ukaonana na Ruto Kisha ukaruka kwenda Kigali kukutana na Kagame, yaani umetupita hapa katikati Kama sisi sio watu, Mama hapendi hii kitu, wanakuwa Kama hawajaiona Royal tour, waziri changamka.

Mama anataka kuturudisha kwenye ramani ya Dunia US na Ulaya kituo Chao kiwe Tanzania kwanza, nasi pia tujulikane kwao.

Sio waziri anapokelewa na Biden halafu rais anapokelewa na Mange.
View attachment 2378303View attachment 2378304View attachment 2378305View attachment 2378306
Nchi inaiba uchaguzi mzima,inatesa,kufunga na kuua wapinzani,unafikiri dunia haioni?
Mama Samia hajakubalika na first world kwa matendo yake maovu....aendelee tu na waarabu wake na kunywesha juice marais wa Afrika ! Ila hao wazungu hasahau!
 
Nimeshtuka Sana juu ya hiki kilichotokea.

Ujumbe wa Bunge la Marekani umekuja Afrika mashariki ukiongozwa na senator John Inhofe, umeenda kwanza Kenya ukaonana na Ruto Kisha ukaruka kwenda Kigali kukutana na Kagame, yaani umetupita hapa katikati Kama sisi sio watu, Mama hapendi hii kitu, wanakuwa Kama hawajaiona Royal tour, waziri changamka.

Mama anataka kuturudisha kwenye ramani ya Dunia US na Ulaya kituo Chao kiwe Tanzania kwanza, nasi pia tujulikane kwao.

Sio waziri anapokelewa na Biden halafu rais anapokelewa na Mange.
View attachment 2378303View attachment 2378304View attachment 2378305View attachment 2378306
Jamani jamani
Ndo siku ya pili hii. Hiyo ziara ilishapangwa ikapangika na ratiba ikajulikana. Hauwezi kuwadaka hewani maafisa wa US wanapokuwa safarini.

Hii inaonesha mtangulizi wake hakufanya lobbying kwenye mikakati hii. Si kosa lake bana
 
Kenya wana maslahi naye Somalia na Kagame wanaiba nae madini Congo.
Tanzania tuna maslahi nao kwenye Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.Nadhani umeelewa Sasa!
 
Congo tuliufyata!!?...una upungufu wa taarifa kuhusu jwtz Congo,Kenya ni kibaraka wa marekani tangu uhuru na pia Wana utawala mpya,rwanda ndiyo upawa wao congo
Taarifa za kupasua matofali uwanja wa taifa?
Ni aibu tupu...
Tanzania hatuna umuhimu wowote katika siasa za East Africa, sembuse duniani..
Tunaonwa kama ling'ombe fulani limekaa pale kwenye sehemu kubwa ya bahari ya Hindi, na halijui hata kuitumia kunufaisha wananchi wake....
 
Mkuu MSAGA SUMU, sasa huu ni ujinga tuu!. Anayeamua aende wapi ni mgeni mwenyewe!, anayepanga safari ni msafiri mwenyewe na sio mwenyeji, sasa hapo kosa la Dr. liko wapi?!, tusiwashobokee sana hawa jamaa, usikute ni hawa ndio walimnanilii yule naniliu wetu kama nilivyowahi kuuliza hapa US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
P
Kama ndo waliofanya hivyo ulivyouliza basi wanastahili sifa. Mtu aliyeona uhai wa binadamu wenzake hauna thamani na yeye mwisho wake ulistahili kuharakishwa.
 
Nimeshtuka Sana juu ya hiki kilichotokea.

Ujumbe wa Bunge la Marekani umekuja Afrika mashariki ukiongozwa na senator John Inhofe, umeenda kwanza Kenya ukaonana na Ruto Kisha ukaruka kwenda Kigali kukutana na Kagame, yaani umetupita hapa katikati Kama sisi sio watu, Mama hapendi hii kitu, wanakuwa Kama hawajaiona Royal tour, waziri changamka.

Mama anataka kuturudisha kwenye ramani ya Dunia US na Ulaya kituo Chao kiwe Tanzania kwanza, nasi pia tujulikane kwao.

Sio waziri anapokelewa na Biden halafu rais anapokelewa na Mange.
View attachment 2378303View attachment 2378304View attachment 2378305View attachment 2378306
Ukiiga utashindwa kufika. Buni mtindo wako, ili upate mwendo mrefu. Ya Ruto na Kagame waachie wenyewe, sisi tuna ajenda zetu. Itapofika muda na kutimia kwa ajenda tutawaita.

By the way, si lazima wote msome darasa moja ili mfanikiwe. Wao wakienda EU pengine sisi tutakwenda Dubai N.K.
 
Taarifa za kupasua matofali uwanja wa taifa?
Ni aibu tupu...
Tanzania hatuna umuhimu wowote katika siasa za East Africa, sembuse duniani..
Tunaonwa kama ling'ombe fulani limekaa pale kwenye sehemu kubwa ya bahari ya Hindi, na halijui hata kuitumia kunufaisha wananchi wake....
Nchi inayopakana na nchi zote za afrika mashariki isiwe na umuhimu afrika mashariki!!!..elimu na uwezo wako wa kufikiri itakua duni,palikua na coalition of the willing,ililenga kujitenga tz,wamefika wapi!?..hao wa kupasua matofali kagame anawajua vizuri walichomfanta na m23 yake
 
Back
Top Bottom