kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
Sio mpiga nyeto wewe hivi wewe unaijua punyeto mzee ?
Ukiacha cheto tu death loading.....
Ukiacha cheto tu death loading.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Narudia maneno yako kila kitu kinawezekana ukiamua.Wakuu.
Wakati nipo form three mwaka 2013, kuna Mwl wangu mmoja wa Biology alitueleza maana ya kupiga punyeto, faida na hasara zake. Mimi nilimwelewa zaidi kwenye kipengele cha faida, ukizingatia nilikuwa sijui kutongoza mwanamke.
Nimepiga sana punyeto fully karibu kila siku mpaka nikaingia form six. Chuo nikaendeleza japo wakati huo nilishaanza kugegeda, sema tu hii kitu ina utamu wake bhana, ni tamu sana. Muda wowote ukitaka unakojoa bila usumbufu.
Kwa sasa nina watoto wawili na napiga sana mashine, sema nikinywa pombe nakuwa fit zaidi.
Nimeamua kuacha mwenyewe, sijalazimishwa na mtu.
Kila kitu kinawezekana ukiamua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo yote pale juu kaka,soma vizuriDah! Unachoongea ni sahihi mzee.
Kuna siku nilitoka kumgegeda mtu, baadae nikasema haiwezekani ngoja ninyetuke kidogo.
Nimetafuta namna ya kuacha ila imeshindikana, japokuwa nipo kwenye mahusiano kwa muda sasa.
Wakati umefika wa mm kutoka,binafsi sijawahi furahia kuwepo huko,nilikuwa nalazimika tuBendera ya chaputa #ita pepea nusu mringoti kwa sababu ya kumpoteza moja kati ya member wetu ambaye kajitoa chamani licha ya kutumikia kwa muda mrefu
Kama unaona ni safi kwako endelea,ila ukiona mbaya mbinu ya kuacha nimekupa hapo juu.kwangu mm ni mbaya.Acha uongo. Nyeto unapumzika tu.
Nilipumzika nyeto baada ya kushauriwa na jamaa wangu mmoja baharia ila sikuwa na demu wala sikusaka K (mimi domo zege [emoji16]). Baada ya jamaa wangu baharia kupata umeme huko kwenye harakati za kusaka K. Nikajirudia zangu kwenye nyeto.
Mimi bado mdogo sana, nasoma vitini na sina hela.
Hizo ni fikira zako,fikira zako haziwezi kuwa zangu..ukifanikiwa kuwa na fikira zangu utaweza,goodluckyhujaacha , sema uko likizo
Usisahau upande mwingine wa shilling ( hasara)Faida za punyeto
1.cost effective method
2. No stress
3.unajipimia
Ni kuamua kwa dhati na kujitoa kwelikweli,utafanikiwa,mwili utazoea namna nyingine ya maisha baada ya muda.
Kwanza siwezi kujidanganya mwenyewe,pili kitu kupendwa na wengi haimaanishi ni kizuri.japokuwa unatudanganya, ila nakupa pole kwa kuacha kitu kinachopendwa na wengi.
Mpaka sasa sijafa kaka,ninayo maisha tele,namshukuru MunguSio mpiga nyeto wewe hivi wewe unaijua punyeto mzee ?
Ukiacha cheto tu death loading.....
Siwezi kujidanganya mwenyewe kakaMleta mada anajuwa wazi kuwa anadanganya.
ni swala la mda tuHizo ni fikira zako,fikira zako haziwezi kuwa zangu..ukifanikiwa kuwa na fikira zangu utaweza,goodlucky
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuacha punyeto inawezekana, lakini sio rahisi kufanya hivyo. Njia Bora zaidi ya kuacha punyeto Ni kipambaba na mazingira yanayopelekea kupiga punyeto,,Kama kuacha kutembelea websites zinazoweza kuamsha hisia za ngono.hata hivyo kuacha kutembelea hizo websites ikiwa bado unatumia vifaa vya electronic ni mtihani. ikiwa Ni kweli mtoa mada umekaa muda huo bill kupiga punyeto, unastahili pongezi
Sent using Jamii Forums mobile app,using POP 2 power
Habari wakuu,
Kwa ufupi, nimekuwa nikifanya punyeto kuanzia 2003 mpaka February 2019. Iliniathiri sana kisaikojia na imenivurugia malengo yangu kwa kiwango kikubwa, wengi wanaofanya wanajua fedheha na madhara yake.
Nilijaribu kuacha miaka yote hii lakini nilikuwa nafanikiwa kwa muda mfupi tu; ndivyo wanavyofanya wengi walio katika tatizo hili.
Nikaamua kufanya maamuzi magumu ya kuacha, bila kujali nimeshindwa mara ngapi. Nimekuwa nikijisemea kauli hii "kitu chochote ambacho ukikiacha haufi kinawezekana kuacha" safari ilikuwa ngumu sana hasa siku100 za kwanza, nilishawishika sana katika nafsi yangu kuingia katika tovuti za ngono, lakini nilikaza nafsi na kusonga mbele.
Hivi nashukuru Mungu nimefikisha Siku 350 bila punyeto wala kuangalia picha za ngono, ninafuraha na akili yangu ipo huru zaidi kupambana na maisha. Ujasiri umeongezeka, na mwelekeo na malengo pia, pia ufanisi katika mapenzi upo vizuri bila kusahau mahusiano mazuri na marafiki pamoja na jamii kwa ujumla.
Namalizia kwa kusema kuacha punyeto na picha za ngono inawezekana, sio kwa dawa bali kwa uamuzi wa kweli kutoka moyoni na kujitoa muhanga kutimiza uamuzi wako. Mateso mwanzoni lazima, lakini baada ya muda mwili utazoea maisha mengine, na utakuwa huru hatimaye.
Anything without which you can't die is possible to let it go (chochote ambacho hakikufanyi uishi kinawezekana kuacha)
It is possible to break addiction, but not easy.
Mungu awabariki
Sent using Jamii Forums mobile app
UPDATES
Idadi ya Siku bila picha za ngono wala punyeto mpaka sasa =373 days(mwaka 1 na siku 8)
Naendelea kupambana,japo sasa hivi mapambano ni mepesi sana,yaani ni sawa na timu yako inaongoza kwa goli 6-0,halafu dakika za 75,unacheza kwa ku relax,halafu timu yenyewe unayocheza Nayo ni Liverpool na moto wake ule umeikalisha sita,sema nini pambano hili mwanzoni huwa ni gumu sana unaweza kata tamaa ( never give up) never lose hope,mm nimeweza wewe unashindwaje? Mm ni binadamu kama wewe,Mungu awabariki
Asante kaka,tupo wengi wenye visa hivi,lakini tutambue kwamba inawezekana kuacha,japo sio kiwepesi hasa mwanzoni.Hongera sana mkuu, mimi nilianza punyeto mwaka 1988 hadi nilipooa ndo nikaanza kuacha kabisa, nilioa mwaka 2003 lakini baada ya ndoa wife akiondoka kama siku mbili tu mi napiga punyeto, ila sasa nna miaka sijapiga punyeto, na nikipiga nakuwa kama mgonjwa, hii imenifanya niache kabisa.
Kwa muda wote tangu mwaka 2008 nimetumia sana punyeto, kama kuathirika basi mimi inawezekana nimeathirika, japo sijui kuathirika huko kukoje.
Nilivyokuwa boarding school, Ifunda. Nikagundua kuwa tupo wengi sana wapiga puli, hivyo tukawa sometime tunashindana kwa kufundishana style tofauti, lotion zilikuwa zinaisha si kwa kupaka bali kupigia puli.
Sent using Jamii Forums mobile app