Siku 350 bila punyeto wala picha za ngono

Siku 350 bila punyeto wala picha za ngono

Ndugu zangu nimekuja kuihuisha post yangu

Leo nimejaaliwa kufikisha miaka 2 miezi 11 na siku 10 tangu niache punyeto na kuangalia picha za ngono.sasa nipo huru na furaha tele

Kikubwa ni kuwapa moyo ndugu zangu mlio katika kupambana na uraibu huu,inawezekana kwa kuamua kwa dhati na kujitoa kwelikweli,maelezo mengine yapo kwenye post hiyo hapo juu

Mungu awabariki na kila LA heri.
 
Ndugu zangu nimekuja kuihuisha post yangu

Leo nimejaaliwa kufikisha miaka 2 miezi 11 na siku 10 tangu niache punyeto na kuangalia picha za ngono.sasa nipo huru na furaha tele

Kikubwa ni kuwapa moyo ndugu zangu mlio katika kupambana na uraibu huu,inawezekana kwa kuamua kwa dhati na kujitoa kwelikweli,maelezo mengine yapo kwenye post hiyo hapo juu

Mungu awabariki na kila LA heri.
Sasa kwani punyeto ni jinai,si ni starehe kama starehe zingine.
Sioni cha ajabu hapo,maana ni mbadala ya kuwa na mwanamke,sasa ukishapata/oa mwanamke si unaacha tu.
 
Sasa kwani punyeto ni jinai,si ni starehe kama starehe zingine.
Sioni cha ajabu hapo,maana ni mbadala ya kuwa na mwanamke,sasa ukishapata/oa mwanamke si unaacha tu.
Only if kuacha ingekuwa easy that way
 
Punyeto wewe unanifanya nakosa furaha yakuishi

Kiufupi nimepitia huu uzi nimepata hari mpya yakuanza tena mapambano yakuacha punyeto, nilipoingia 2022 niliapa sitofanya tena ila hadi leo nimeshafanya mara nne mara ya nne nilifanya jana baada yakupita kwenye group moja la WhatsApp mara paap nikakutana na video ya ngono kuna mpuuzi aliituma kimakosa nikajikuta nimepiga na baada ya hapo nikaifuta

Najutia sana maana nimeshaanza kuona madhara yake na nimedhamiria kuacha kweli nataka niache kuhesabu siku na mimi nitaweka mrejesho hapa.


Siku ya kwanza leo 19.01.22
 
Wanawake woooooooooote mtaani wamejaa tele niwaache nikapige nyeto! Hell NOooooo
 
Habari wakuu,

Kwa ufupi, nimekuwa nikifanya punyeto kuanzia 2003 mpaka February 2019. Iliniathiri sana kisaikojia na imenivurugia malengo yangu kwa kiwango kikubwa, wengi wanaofanya wanajua fedheha na madhara yake.

Nilijaribu kuacha miaka yote hii lakini nilikuwa nafanikiwa kwa muda mfupi tu; ndivyo wanavyofanya wengi walio katika tatizo hili.

Nikaamua kufanya maamuzi magumu ya kuacha, bila kujali nimeshindwa mara ngapi. Nimekuwa nikijisemea kauli hii "kitu chochote ambacho ukikiacha haufi kinawezekana kuacha" safari ilikuwa ngumu sana hasa siku100 za kwanza, nilishawishika sana katika nafsi yangu kuingia katika tovuti za ngono, lakini nilikaza nafsi na kusonga mbele.

Hivi nashukuru Mungu nimefikisha Siku 350 bila punyeto wala kuangalia picha za ngono, ninafuraha na akili yangu ipo huru zaidi kupambana na maisha. Ujasiri umeongezeka, na mwelekeo na malengo pia, pia ufanisi katika mapenzi upo vizuri bila kusahau mahusiano mazuri na marafiki pamoja na jamii kwa ujumla.

Namalizia kwa kusema kuacha punyeto na picha za ngono inawezekana, sio kwa dawa bali kwa uamuzi wa kweli kutoka moyoni na kujitoa muhanga kutimiza uamuzi wako. Mateso mwanzoni lazima, lakini baada ya muda mwili utazoea maisha mengine, na utakuwa huru hatimaye.

Anything without which you can't die is possible to let it go (chochote ambacho hakikufanyi uishi kinawezekana kuacha)

It is possible to break addiction, but not easy.

Mungu awabariki

Sent using Jamii Forums mobile app


UPDATES

Idadi ya Siku bila picha za ngono wala punyeto mpaka sasa =389 days(mwaka 1 na siku 24)

Naendelea kupambana,japo sasa hivi mapambano ni mepesi sana,yaani ni sawa na timu yako inaongoza kwa goli 6-0,halafu dakika za 75,unacheza kwa ku relax,halafu timu yenyewe unayocheza Nayo ni Liverpool na moto wake ule umeikalisha sita,sema nini pambano hili mwanzoni huwa ni gumu sana unaweza kata tamaa ( never give up) never lose hope,mm nimeweza wewe unashindwaje? Mm ni binadamu kama wewe,Mungu awabariki
Oyeee
 
Punyeto wewe unanifanya nakosa furaha yakuishi

Kiufupi nimepitia huu uzi nimepata hari mpya yakuanza tena mapambano yakuacha punyeto, nilipoingia 2022 niliapa sitofanya tena ila hadi leo nimeshafanya mara nne mara ya nne nilifanya jana baada yakupita kwenye group moja la WhatsApp mara paap nikakutana na video ya ngono kuna mpuuzi aliituma kimakosa nikajikuta nimepiga na baada ya hapo nikaifuta

Najutia sana maana nimeshaanza kuona madhara yake na nimedhamiria kuacha kweli nataka niache kuhesabu siku na mimi nitaweka mrejesho hapa.


Siku ya kwanza leo 19.01.22
Countdown 6days bila dhambi la punyeto

Nakuchukia sana punyeto wew ni adui yangu mkubwa usirudie kuwa karibu nami!

Eeh Mwenyezi Mungu nisaidie.
 
Wamechora mstari wanashindana nan atarusha mbali kwa punyeto.....alinisimulia x wangu aliyesoma old Moshi sec miaka hiyo
 
Punyeto wewe unanifanya nakosa furaha yakuishi

Kiufupi nimepitia huu uzi nimepata hari mpya yakuanza tena mapambano yakuacha punyeto, nilipoingia 2022 niliapa sitofanya tena ila hadi leo nimeshafanya mara nne mara ya nne nilifanya jana baada yakupita kwenye group moja la WhatsApp mara paap nikakutana na video ya ngono kuna mpuuzi aliituma kimakosa nikajikuta nimepiga na baada ya hapo nikaifuta

Najutia sana maana nimeshaanza kuona madhara yake na nimedhamiria kuacha kweli nataka niache kuhesabu siku na mimi nitaweka mrejesho hapa.


Siku ya kwanza leo 19.01.22
Kama umeshakuwa addicted na punyeto huwezi kuhiacha kwa kujiapiza au kujiamulia tu....... Subiri siku inakupa fedheha ndio utajikuta unahiacha automatic....
Ninaandika hivi kutokana na experience yangu binafsi
 
Punyere addiction is overrated, haina uraibu wa kiivyo mpaka watu wa struggle kweikweli ku-quit.
Hongera sana Kaka, Cha msingi sana jitahidi kumwomba sana Mungu.

Mi pia ni miongoni mwa waathirika wa kipindi hicho toka 2004 - 2013, tena nilikuwa naweza kupiga hata goli 6 kwa siku 1.

Nilijitahidi sana kuacha hata kwa miezi mitatu, lakini nilipokumbuka tu nilirudi kwa kasi ile ile.

Nilifunga na kuomba Mungu anisaidie kuondokana na huo mtihani.

Namshukuru sana Mungu maana tangu 2013 - 2022 hivi sasa sijui nini maana ya punyeto.
 
Punyeto katika ulimwengu wa kiroho ni mbaya sana. Niliwahi simuliwa na mchungaji mmoja ilinibidi nikate shauri kabisa na kuweka nguvu kupingana nayo kipindi cha ujana wangu. niliambiwa katikaulimwengu wa kiroho punyeto ni kafala ya pili ya kwanza ni ile ya kutoa uhai wa binadamu na ya pili ni punyeto
 
Punyeto katika ulimwengu wa kiroho ni mbaya sana. Niliwahi simuliwa na mchungaji mmoja ilinibidi nikate shauri kabisa na kuweka nguvu kupingana nayo kipindi cha ujana wangu. niliambiwa katikaulimwengu wa kiroho punyeto ni kafala ya pili ya kwanza ni ile ya kutoa uhai wa binadamu na ya pili ni punyeto
Daaah
 
Habari wakuu,

Kwa ufupi, nimekuwa nikifanya punyeto kuanzia 2003 mpaka February 2019. Iliniathiri sana kisaikojia na imenivurugia malengo yangu kwa kiwango kikubwa, wengi wanaofanya wanajua fedheha na madhara yake.

Nilijaribu kuacha miaka yote hii lakini nilikuwa nafanikiwa kwa muda mfupi tu; ndivyo wanavyofanya wengi walio katika tatizo hili.

Nikaamua kufanya maamuzi magumu ya kuacha, bila kujali nimeshindwa mara ngapi. Nimekuwa nikijisemea kauli hii "kitu chochote ambacho ukikiacha haufi kinawezekana kuacha" safari ilikuwa ngumu sana hasa siku100 za kwanza, nilishawishika sana katika nafsi yangu kuingia katika tovuti za ngono, lakini nilikaza nafsi na kusonga mbele.

Hivi nashukuru Mungu nimefikisha Siku 350 bila punyeto wala kuangalia picha za ngono, ninafuraha na akili yangu ipo huru zaidi kupambana na maisha. Ujasiri umeongezeka, na mwelekeo na malengo pia, pia ufanisi katika mapenzi upo vizuri bila kusahau mahusiano mazuri na marafiki pamoja na jamii kwa ujumla.

Namalizia kwa kusema kuacha punyeto na picha za ngono inawezekana, sio kwa dawa bali kwa uamuzi wa kweli kutoka moyoni na kujitoa muhanga kutimiza uamuzi wako. Mateso mwanzoni lazima, lakini baada ya muda mwili utazoea maisha mengine, na utakuwa huru hatimaye.

Anything without which you can't die is possible to let it go (chochote ambacho hakikufanyi uishi kinawezekana kuacha)

It is possible to break addiction, but not easy.

Mungu awabariki

Sent using Jamii Forums mobile app


UPDATES

Idadi ya Siku bila picha za ngono wala punyeto mpaka sasa =389 days(mwaka 1 na siku 24)

Naendelea kupambana,japo sasa hivi mapambano ni mepesi sana,yaani ni sawa na timu yako inaongoza kwa goli 6-0,halafu dakika za 75,unacheza kwa ku relax,halafu timu yenyewe unayocheza Nayo ni Liverpool na moto wake ule umeikalisha sita,sema nini pambano hili mwanzoni huwa ni gumu sana unaweza kata tamaa ( never give up) never lose hope,mm nimeweza wewe unashindwaje? Mm ni binadamu kama wewe,Mungu awabariki
Acha ujinga tafuta mke uoe
 
Punyeto katika ulimwengu wa kiroho ni mbaya sana. Niliwahi simuliwa na mchungaji mmoja ilinibidi nikate shauri kabisa na kuweka nguvu kupingana nayo kipindi cha ujana wangu. niliambiwa katikaulimwengu wa kiroho punyeto ni kafala ya pili ya kwanza ni ile ya kutoa uhai wa binadamu na ya pili ni punyeto
Hakuna mwanaume hajawahi kupiga punyenye
 
Jana nusu ninase kwenye mtego kifala saaana, yaan nimekaa zaidi ya miaka mi 3 bila hiyo kitu halafu kijinga jinga tu nilitaka nijae daah
 
Back
Top Bottom