Siku 350 bila punyeto wala picha za ngono

Sio mpiga nyeto wewe hivi wewe unaijua punyeto mzee ?

Ukiacha cheto tu death loading.....
 
Narudia maneno yako kila kitu kinawezekana ukiamua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unaona ni safi kwako endelea,ila ukiona mbaya mbinu ya kuacha nimekupa hapo juu.kwangu mm ni mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuacha punyeto inawezekana, lakini sio rahisi kufanya hivyo. Njia Bora zaidi ya kuacha punyeto Ni kipambaba na mazingira yanayopelekea kupiga punyeto,,Kama kuacha kutembelea websites zinazoweza kuamsha hisia za ngono.hata hivyo kuacha kutembelea hizo websites ikiwa bado unatumia vifaa vya electronic ni mtihani. ikiwa Ni kweli mtoa mada umekaa muda huo bill kupiga punyeto, unastahili pongezi

Sent using Jamii Forums mobile app,using POP 2 power
 
Ni kweli ulichosema kaka,nashukuru kwa pongezi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana mkuu, mimi nilianza punyeto mwaka 1988 hadi nilipooa ndo nikaanza kuacha kabisa, nilioa mwaka 2003 lakini baada ya ndoa wife akiondoka kama siku mbili tu mi napiga punyeto, ila sasa nna miaka sijapiga punyeto, na nikipiga nakuwa kama mgonjwa, hii imenifanya niache kabisa.
Kwa muda wote tangu mwaka 2008 nimetumia sana punyeto, kama kuathirika basi mimi inawezekana nimeathirika, japo sijui kuathirika huko kukoje.
Nilivyokuwa boarding school, Ifunda. Nikagundua kuwa tupo wengi sana wapiga puli, hivyo tukawa sometime tunashindana kwa kufundishana style tofauti, lotion zilikuwa zinaisha si kwa kupaka bali kupigia puli.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kaka,tupo wengi wenye visa hivi,lakini tutambue kwamba inawezekana kuacha,japo sio kiwepesi hasa mwanzoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…