Siku 350 bila punyeto wala picha za ngono

Tupo wengi sana ambao tulikuwa addicted, mi nilifanilkiwa kuacha miezi sita, ila siku nilipoanza nikajipimia lwa bao nne za punyeto siku hiyo, ndo sijaacha tena.
Ila nawalaumu sana wanawake wanaokaa uchi, au kutembea huku wamebana matako au kuvaa nguo zinazobana mwili, hawa ndo wanatutega tunaanguka kila siku, waendelee kulaaniwa hawa viumbe.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kuuliza sbb ya nyeto ni nini?! Huwezi kutongoza , huna pesa so unaogopa mademu ni gharama au sababu nini haswa embu nielezeni.

Nataka kuzijua sababu haswaaa


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwanza una umri gani! Mi nilianza kupiga nyeto nna miaka 15 yaani balehe imenikuta napiga puli.
Sababu za kupiga puli:
1. Ili kujiepusha a wanawake, kuna consequense nyingi unapokuwa na mwanamke, kuna mimba, magonjwa nk.

2.Kiuchumi..ukianzisha uhusiano na mwanamke kuna kutoana pesa, wakati mimi ninajijenga kiuchumi, mwanamke anakufilisi.

3.Kijamii ,kuanza ngono ukiwa hujaoa ni jambo lisilo na picha nzuri kwenye jamii, majina ya uasherati sio mazuri.Punyeto ni siri, hivyo unaweza kuonekana descent man huku ukipiga punyeto, yaani unaweza usiamini ukiambiwa padri anapiga punyeto. Itabakia siri yako siku zote, ila kujificha na mwanamke ni ngumu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu toa experience yako ulivyoweza kuacha, kama hujawahi kupiga punyeto naomba usitushauri , mimi hawa walimu kama Motivational speakers huwa wananiudhi, anakufundisha biashara wakati yeye hafanyi biashara, yaani biashara yake ni wewe uliyeenda kumsikiliza na ukatoa pesa kufundishwa. Hakuna u reality na kinachoongelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna uzi kule jamii photo wa Nyumba ni Choo na wa Happy birthday Mia Khalifa hebu fanya kuzipitia unaweza kunishukuru
 
Aisee ndugu zangu punyeto sio nzuri,japokuwa kuacha Ni ngumu ila ukiamua unaacha,mi nilianza nikiwa kidato Cha nne mwaka 2009 Yani mpaka leo nimeshindwa kabisa kuacha labda nikioa ndio itakuwa rahisi kuacha,imenifanya mwili wangu kuwa na uchovu sugu kila mda kulala lala hasa wakati wa mchana,macho kutokuona vizuri,kusahau sahau ,kukojoa mkojo wa njano nk,kwa asilimia kubwa punyeto Haina faina yoyote kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
daaah watu uzi huu kumbe una wafuasi asee..
punyeto si nzuri asee mbn wanawake wapo wengi, sasa unajipunguzia nguvu mwenyew alaf wadau wakigegeda mkeo au manzi yako unalalamika kuwa wanawake ni wasalit ...kumbe mchawi ni ww....acha kabisa hii mambo

Sent using [Samsung galaxy s10]
 
Hahahahahahahahahhaha umenifanya nicheke kwa sauti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…