Zapa RadioFm
Senior Member
- Feb 12, 2016
- 112
- 171
Kuna Taarifa tunaendelea kuzifatilia zinasema Mbunge mwingine wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Ameshafikia Bei La fungu na Mandalizi ya Mwisho yanaendelea na Ndani ya siku Saba kwanzia Leo atatimkia CCM
Tunaendelea kufatilia Tutawajuza nini Kinaendelea
Tunaendelea kufatilia Tutawajuza nini Kinaendelea