Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Dini ni biashara,ukichukua hata mia kwenye kile kikapu ndo utajua pesa na huyo mungu wa kanisani nani mkuu[emoji23][emoji23]utapigwa kipigo mpaka utahisi sio kanisa ni polisiUkiwaambia wakariri dini, kuwa hizi ni biashara kama biashara nyingine wanaona umekengeuka
Wanakunywa sana tuu, tena kuna fungu la bia za baba......😀😀 Sijataja jina ila mkija na mahasira nitataja mpaka sharika nilipopata kamnywesoDini ni biashara,ukichukua hata mia kwenye kile kikapu ndo utajua pesa na huyo mungu wa kanisani nani mkuu[emoji23][emoji23]utapigwa kipigo mpaka utahisi sio kanisa ni polisi
Mapadre wanazini,one time kabla sijaacha tungi shakunywa nao na masister bia sehemu flani pande za tegeta,anyways sitaki kuzama deep ila dini ni siasa na biashara period .Mungu wa ukweli hayupo kwenye dini yeyote anatafutwa na mtu binafsi ndo SIRI.
Biblia ni kitabu cha fasihi kilichoandikwa kwa ustadi mkubwa na kilikuwa na nia nzuri tu ya kuwafanya wanadamu wajitambue na kujua wananguvu kiasi gani,kila mtu anaweza kuwa kama yesu,jiulize kwanini mabuddha wamefukuzwa india na vitabu vyao vimechomwa na ndo huku yesu alipokuwako toka udogoni?kwa maana wanaijua siri ya kweli na dunia inapenda ufahari na utawala na sio watu kuwa huru.ndo hivyo wakatokea wahuni wengine wakabadilisha nyaraka,wengine wakaedit,wengine wakaongeza yao wengine wakachana ,wakatengeneza mfumo wa hierachy yani viongozi na watumishi ilikuwa ni siasa ndo maana wanapenda sadaka bila sadaka hakuna kanisa broh,hivi si ukichaa biblia unayo eti unaenda kanisani kusomewa aya tatu,unajisalisha pale we mwenyewe,unatoa kibunda halafu unarudi home..kwanini usinunue samaki wako fresh ukamuunga halafu ukashukuru tu kimoyomoyo kuliko kupoteza muda-Hawa/eva siyo mwanamke wa kwanza inamaana adam alikua na mke zaidi ya mmoja hata kama siyo kwa kipindi kimoja.
- Daudi alichepuka waziwazi
-Joshua aliua watu wengi kisa kuipata nchi ya ahadi, badae unakutana na amri usiue [emoji3][emoji3]
20 years to come kama hizi historia hazitatunzwa (hata yale masalia) basi hakuna atakayejua ukweliBiblia ni kitabu cha fasihi kilichoandikwa kwa ustadi mkubwa na kilikuwa na nia nzuri tu ya kuwafanya wanadamu wajitambue na kujua wananguvu kiasi gani,kila mtu anaweza kuwa kama yesu,jiulize kwanini mabuddha wamefukuzwa india na vitabu vyao vimechomwa na ndo huku yesu alipokuwako toka udogoni?kwa maana wanaijua siri ya kweli na dunia inapenda ufahari na utawala na sio watu kuwa huru.ndo hivyo wakatokea wahuni wengine wakabadilisha nyaraka,wengine wakaedit,wengine wakaongeza yao wengine wakachana ,wakatengeneza mfumo wa hierachy yani viongozi na watumishi ilikuwa ni siasa ndo maana wanapenda sadaka bila sadaka hakuna kanisa broh,hivi si ukichaa biblia unayo eti unaenda kanisani kusomewa aya tatu,unajisalisha pale we mwenyewe,unatoa kibunda halafu unarudi home..kwanini usinunue samaki wako fresh ukamuunga halafu ukashukuru tu kimoyomoyo kuliko kupoteza muda
Waache kwenda kwa mwamposa au mwakasege au kumsikiliza sijui papa weeeeee washakuwa mazombi hakuna namna sana sana labda mtu akiamua kufanya tafiti atatoka kwenye huu mtego20 years to come kama hizi historia hazitatunzwa (hata yale masalia) basi hakuna atakayejua ukweli
Ama waikatae dini au waendelee kuburuzwa kama mazombi
Natakiwa nijue nini?mambo ya kiroho ni imani,haya tuambie wewe unachojua juu ya miaka 18 ya Yesu ambayo haijaandikwa,umetafiti ukajua nini?Mkuu kwanini unapenda kufikiriwa bila kufanya tafiti,fikra zako ni za nini?unatakiwa usiamini unatakiwa ujue
Nikajua dini ni ujinga tuNatakiwa nijue nini?mambo ya kiroho ni imani,haya tuambie wewe unachojua juu ya miaka 18 ya Yesu ambayo haijaandikwa,umetafiti ukajua nini?
Sawa,acha ibaki hivyoNikajua dini ni ujinga tu
Nipo kampuni moja hivi ya ku supply vinywaji ,,nimejionea kwa macho yangu masister wananunua bia za kuzidiDini ni biashara,ukichukua hata mia kwenye kile kikapu ndo utajua pesa na huyo mungu wa kanisani nani mkuu[emoji23][emoji23]utapigwa kipigo mpaka utahisi sio kanisa ni polisi
Mapadre wanazini,one time kabla sijaacha tungi shakunywa nao na masister bia sehemu flani pande za tegeta,anyways sitaki kuzama deep ila dini ni siasa na biashara period .Mungu wa ukweli hayupo kwenye dini yeyote anatafutwa na mtu binafsi ndo SIRI.
... kwani wakristo wanasemaje kuhusu huyo Yesu? Mbona mnawawekea maneno midomoni?
Anyway, la muhimu kuliko yote ni kwamba Yesu alitwaa mwili, akazaliwa, akaa kwetu akitufundisha njia sahihi ya wokovu. Hapa hata Shetani amekwama kupinga! Hayo mengine sijui tarehe sijui nini ni blah blah tu.
Kwanza uyo yesu aliwahi kuwepo hapa duniani? isije ikawa hata habari zake ni za kutungwa tu
Yesu wa Nazareth
WANAZUONI wengi duniani, bado wanaumiza vichwa kuhusu tarehe sahihi aliyozaliwa Yesu Kristo, ambaye ni Nabii wa Wakristo.
Miaka nenda rudi, vitabu vingi vimeandikwa na makundi ya wanazuoni wa dini na historia kuanzia Mashariki ya Kati, Amerika, Ulaya, Afrika na bado hadi leo, maandishi mapya yanaendelea kuchapishwa juu ya kuzaliwa kwa Yetu Mnazareti.
Mjadala huo upo na hakika hautakoma kwani wanaoandika wanapingana kwa hesabu na historia. Wameshindwa kupata tarehe hasa aliyozaliwa Yesu ambaye pia huitwa Masihi.
Miaka 2000 iliyopita, mtawala wa tano wa Wayahudi, Pontio Pilato alimuuliza Yesu wa Nazareti swali lifuatalo: “Ukweli ni kitu gani?”
Aliuizwa swali hili wakati anakaribia kupewa hukumu ya kuwambwa msalabani baada ya kukamatwa akituhumiwa kujiita “Mfalme wa Wayahudi.”
Yesu hakujibu swali hili. Na hadi leo, kambi kadhaa za wanazuoni zinazidi kuvutana kuhusu jawabu sahihi kwa swali hili. Mfano mzuri wa mvutano huo unajitokeza katika mjadala kuhusu “siku ya kuzaliwa kwa Yesu wa Nazareti.”
Mpaka leo, kuna siku tatu tofauti zinazotajwa kama siku za kuzaliwa kwa Yesu. Kuna Desemba 25, Januari 6 na Januari 7. Ufafanuzi wa utata huu unafuata.
Tuanze na Desemba 25. Haya ni mawazo ya Mtakatifu Hippolytus wa Roma. Kwa mujibu wa utafiti wa Profesa Andrew McGowan wa Chuo Kiukuu cha Melbourne, mwaka 204BK, Hippolytus aliandika kwamba, “Tarehe ya kuzaliwa Yesu, Bethlehem, ni Desemba 25.”
Hippolytus alianzia kwenye tukio la Malaika Gabriel kumtokea Zakaria hekaluni na kumwambia kwamba mkewe Elizabeth angepata mimba na kumzaa Yohane.
Zakaria alikuwa kwenye ibada ya malipizi ya dhambi. Kwa mujibu wa kalenda ya Kiebrania ibada hiyo ilifanyika tarehe Julai 10 kila mwaka wa Kiyahudi.
Ulinganisho wa kalenda ya kale ya Wayahudi na kalenda ya kisasa unaonyesha kuwa siku hiyo ni sawa na Septemba 24 ya siku hizi. Hii maana yake ni kwamba Elizabeth alianza ujauzito wa Yohane Septemba 24.
Kwa mujibu wa uchambuzi wa Hippolytus, miezi sita baadaye malaika Gabriel alimtokea Bikira Maria na kumwambia atapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Hivyo, ujauzito wa Yohane ulioanza Septemba 24 uliutangulia ujauzito wa Yesu kwa miezi sita.
Hii maana yake ni kwamba, mimba ya Yesu ilianza Machi 25 na akazaliwa miezi tisa baadaye, yaani Desemba 25, anahitimisha Hippolytus.
Lakini, bado wapo Wakristo waliopinga tafsiri ya Hippolytus. Walihoji uhalali wa hesabu zake, wakitaka awaonyeshe hiyo miezi tisa ilikuwa na jumla ya siku ngapi.
Hawa wenye kupinga Krismas ya Desemba 25, huadhimisha Krismas ya Januari 7. Ni wafuasi wa Mfamle Julius Kaizari wa dola ya Kirumi. Sababu za upinzani wao zinafuata.
Katika mwaka 46KK Julius Kaizari aliunda kalenda iliyotokana na imani kwamba mzunguko wa dunia unachukua siku siku 365 tu. Lakini, baadaye wanasayansi waligundua kuwa mzunguko wa dunia huchukua siku 365 na robo.
Robo nne zinaunda mwaka mmoja. Hii maana yake ni kwamba, kila baada ya miaka mitatu, yaani katika mwaka wa nne, mzunguko wa dunia huchukua siku 366.
Miaka mitatu huitwa miaka mifupi, na mwaka wa nne kuitwa mwaka mrefu. Mwaka mrefu hugawanyika kwa namba “nne.”
Kwa mujibu wa “Kalenda ya Julius” mwaka wenye siku 365 una miezi 12; ambapo miezi minne ina siku 30, kila mmoja; miezi saba ina siku 31, kila mmoja; na mwezi Februari una siku 28.
Hesabu hizi hazihusishi siku 365 pekee kati ya siku 365 na “robo” za mzunguko wa dunia. Hivyo, kila baada ya miaka minne, “Kalenda ya Julius” ikawa inapoteza siku moja kamili.
Kwa ajili ya kuondoa dosari hii, katika kila mwaka mrefu, Julius aliamua kuongeza siku moja kwenye mwezi wa Februari, ili uwe na siku 29, na hivyo kukamilisha siku 366 za mwaka mrefu.
Kalenda hii ina miezi minne ya siku 30, miezi saba ya siku 31, mwezi Februari wa siku 28 katika mwaka mfupi, na mwezi Februari wenye siku 29 katika mwaka mrefu. Huitwa “Kalenda ya Julius”.
Baadaye wanasayansi waligundua tena kuwa mzunguko wa dunia hauchukui siku “365.25” pekee, bali huchukua siku “365.24218967.” Hapa kuna tofauti ya siku “0.00781033,” sawa na dakika “11.2468752.” Yaani, kimakosa, “Kalenda ya Julius” ilikuwa imeongeza dakika “11.2468752” katika mwaka mzima.
Kanisa Katoliki lilianza kutumia kalenda ya Liturijia inayofuata mantiki ya “Kalenda ya Julius” mwaka 325. Lakini, mwaka 1582 Papa Gregory wa 13 aligundua makosa hayo yaliyo kwenye “Kalenda ya Julius.”
Hivyo, Papa akakosoa dosari husika kwa kuunda kalenda mpya, ikaitwa “Kalenda ya Gregory”. Baadhi ya Wakristo waliikataa mantiki iliyoongoza utengenezwaji wa “Kalenda ya Gregory” na kuendelea kutumia “Kalenda ya Julius.”
Hivyo, tangu mwaka 325 hadi leo imepita miaka 1697. Kwa kuzingatia tofauti ya siku “0.00781033” tulizoona hapo awali, hesabu ya kuzidisha inaonyesha kwamba “Kalenda ya Gregory” inaitangulia “Kalenda ya Julius” kwa siku “13.25413001.” Huu ni wastani wa siku 13 na robo.
Hivyo, wakati Wakristo wanaofuata “Kalenda ya Gregory” wanaposherehekea Krismas ya Desemba 25, wale wanaofuata “Kalenda ya Julius” watasubiri hadi Januari 7, yaani siku 13 baadaye.
Lakini pia, kuna Wakristo wanapinga Krismas ya Desemba 25 na kukataa Krismas ya Januari 7, wao wanaadhimisha Krismas ya Januari 6.
Kitabu cha “New Advent Encyclopedia,” kinasema hawa wanaoamini Yesu alizaliwa Januari 6 ni wafuasi wa Clement wa Alexandria, nchini Misri.
Clement alionyesha kwenye kitabu chake kiitwacho “Stromata,” kwamba Yesu alizaliwa “Januari 6.” Baadhi ya Wakristo walikubaliana na Clement hadi leo.
Kutokana na mkanganyiko huo wa siku aliyozaliwa Yesu Mnazareti, ndiyo maana yapo maeneo duniani yanaadhimisha kuzaliwa kwake Desemba 25, wengine Januari 6 na wapo wanaofanya kumbukizi Januari 7.
Mchungaji wa Kanisa la Mfalme Yesu lililoko Mwanjelwa, Mbeya, Ibarhim Kalembo akizungumza na Pambazuko kuhusu tarehe hasa ya kuzaliwa Yesu Kristo, alisema ni kweli kuna tofauti kulingana na maeneo husika, lakini uhakika kabisa hauelezwi kinagaubaga na Biblia yenyewe.
Amesema katika vitabu vingi vya vya Injili, ambavyo vikisomwa kwa pamoja, kuna utata wa siku ya kuzaliwa Yesu Kristo, kwani haitamkwi wala kuelezwa kwa uwazi.
“Hata wewe ni Mkristo, umewahi kusoma ama kuelezwa mahali kwamba Desemba 25 ndiyo hasa alizaliwa Mwana wa Mungu (Yesu), hakuna, lakini watu waliamua iwe hiyo Desemba 25 kwa wengi, pamoja na kwamba wapo wanaopinga tarehe hiyo,” ameongeza mchungaji huyo ambaye amesema ana shahada ya uzamili katika teolojia.
Anaeleza kuwa mvutano wa siku ya kuzaliwa Yesu huenda usifike mwisho na labda unaweza kutatuliwa na Yeye mwenyewe siku atakaporejea na endapo atatoa nafasi ya kuulizwa maswali.
“Hili swali limetushinda, limewashinda hata wakongwe wa historia ya maisha ya Yesu, wakiwamo Wayahudi wenyewe, huenda siku nzuri ya kupata jibu na tutakapomuona Mwenyewe,” ameongeza.
Chanzo: Gazeti laPambazuko, Toleo la Jumatatu, Desemba 26, 2022-Januari 1, 2023, ukurasa wa 10-12.
Ndipo hapo wanaobuka watu wanadai huyu jamaa hakuwai kutokea hapa duniani story yake ni tungo tu za watu maana nje ya masimulizi ya kwenye biblia uwezi kupata habari zake kwengine kama kweli alikwepo basi watu wengi wangemsimulia katika nyanja tofauti tofauti cha kushangaza mtililiko wa atory zake ni ule wa kwenye biblia na sio zaidi ya hapoSwala la kuzaliwa huwa sizingatii sana
Ila ile miaka 18+ ambayo kwenye biblia haijaandikwa natamani kujua alikua anafanya nini..?
Je alikua na mademu..?
Vipi alikua sio mgomvi?
Vipi kuhusu tungi hajawahi kuonja kweli..?
Story ya yesu bado ni incomplete
... kwani wakristo wanasemaje kuhusu huyo Yesu? Mbona mnawawekea maneno midomoni?
Anyway, la muhimu kuliko yote ni kwamba Yesu alitwaa mwili, akazaliwa, akaa kwetu akitufundisha njia sahihi ya wokovu. Hapa hata Shetani amekwama kupinga! Hayo mengine sijui tarehe sijui nini ni blah blah tu.
Achana na tarehe 25 Desemba hiyo ni sikukuu ya wapagani walioamua sherehe za miungu yao na kuipa hadhi kuwa siku ya kuzaliwa Yesu.
Yesu wa Nazareth
WANAZUONI wengi duniani, bado wanaumiza vichwa kuhusu tarehe sahihi aliyozaliwa Yesu Kristo, ambaye ni Nabii wa Wakristo.
Miaka nenda rudi, vitabu vingi vimeandikwa na makundi ya wanazuoni wa dini na historia kuanzia Mashariki ya Kati, Amerika, Ulaya, Afrika na bado hadi leo, maandishi mapya yanaendelea kuchapishwa juu ya kuzaliwa kwa Yetu Mnazareti.
Mjadala huo upo na hakika hautakoma kwani wanaoandika wanapingana kwa hesabu na historia. Wameshindwa kupata tarehe hasa aliyozaliwa Yesu ambaye pia huitwa Masihi.
Miaka 2000 iliyopita, mtawala wa tano wa Wayahudi, Pontio Pilato alimuuliza Yesu wa Nazareti swali lifuatalo: “Ukweli ni kitu gani?”
Aliuizwa swali hili wakati anakaribia kupewa hukumu ya kuwambwa msalabani baada ya kukamatwa akituhumiwa kujiita “Mfalme wa Wayahudi.”
Yesu hakujibu swali hili. Na hadi leo, kambi kadhaa za wanazuoni zinazidi kuvutana kuhusu jawabu sahihi kwa swali hili. Mfano mzuri wa mvutano huo unajitokeza katika mjadala kuhusu “siku ya kuzaliwa kwa Yesu wa Nazareti.”
Mpaka leo, kuna siku tatu tofauti zinazotajwa kama siku za kuzaliwa kwa Yesu. Kuna Desemba 25, Januari 6 na Januari 7. Ufafanuzi wa utata huu unafuata.
Tuanze na Desemba 25. Haya ni mawazo ya Mtakatifu Hippolytus wa Roma. Kwa mujibu wa utafiti wa Profesa Andrew McGowan wa Chuo Kiukuu cha Melbourne, mwaka 204BK, Hippolytus aliandika kwamba, “Tarehe ya kuzaliwa Yesu, Bethlehem, ni Desemba 25.”
Hippolytus alianzia kwenye tukio la Malaika Gabriel kumtokea Zakaria hekaluni na kumwambia kwamba mkewe Elizabeth angepata mimba na kumzaa Yohane.
Zakaria alikuwa kwenye ibada ya malipizi ya dhambi. Kwa mujibu wa kalenda ya Kiebrania ibada hiyo ilifanyika tarehe Julai 10 kila mwaka wa Kiyahudi.
Ulinganisho wa kalenda ya kale ya Wayahudi na kalenda ya kisasa unaonyesha kuwa siku hiyo ni sawa na Septemba 24 ya siku hizi. Hii maana yake ni kwamba Elizabeth alianza ujauzito wa Yohane Septemba 24.
Kwa mujibu wa uchambuzi wa Hippolytus, miezi sita baadaye malaika Gabriel alimtokea Bikira Maria na kumwambia atapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Hivyo, ujauzito wa Yohane ulioanza Septemba 24 uliutangulia ujauzito wa Yesu kwa miezi sita.
Hii maana yake ni kwamba, mimba ya Yesu ilianza Machi 25 na akazaliwa miezi tisa baadaye, yaani Desemba 25, anahitimisha Hippolytus.
Lakini, bado wapo Wakristo waliopinga tafsiri ya Hippolytus. Walihoji uhalali wa hesabu zake, wakitaka awaonyeshe hiyo miezi tisa ilikuwa na jumla ya siku ngapi.
Hawa wenye kupinga Krismas ya Desemba 25, huadhimisha Krismas ya Januari 7. Ni wafuasi wa Mfamle Julius Kaizari wa dola ya Kirumi. Sababu za upinzani wao zinafuata.
Katika mwaka 46KK Julius Kaizari aliunda kalenda iliyotokana na imani kwamba mzunguko wa dunia unachukua siku siku 365 tu. Lakini, baadaye wanasayansi waligundua kuwa mzunguko wa dunia huchukua siku 365 na robo.
Robo nne zinaunda mwaka mmoja. Hii maana yake ni kwamba, kila baada ya miaka mitatu, yaani katika mwaka wa nne, mzunguko wa dunia huchukua siku 366.
Miaka mitatu huitwa miaka mifupi, na mwaka wa nne kuitwa mwaka mrefu. Mwaka mrefu hugawanyika kwa namba “nne.”
Kwa mujibu wa “Kalenda ya Julius” mwaka wenye siku 365 una miezi 12; ambapo miezi minne ina siku 30, kila mmoja; miezi saba ina siku 31, kila mmoja; na mwezi Februari una siku 28.
Hesabu hizi hazihusishi siku 365 pekee kati ya siku 365 na “robo” za mzunguko wa dunia. Hivyo, kila baada ya miaka minne, “Kalenda ya Julius” ikawa inapoteza siku moja kamili.
Kwa ajili ya kuondoa dosari hii, katika kila mwaka mrefu, Julius aliamua kuongeza siku moja kwenye mwezi wa Februari, ili uwe na siku 29, na hivyo kukamilisha siku 366 za mwaka mrefu.
Kalenda hii ina miezi minne ya siku 30, miezi saba ya siku 31, mwezi Februari wa siku 28 katika mwaka mfupi, na mwezi Februari wenye siku 29 katika mwaka mrefu. Huitwa “Kalenda ya Julius”.
Baadaye wanasayansi waligundua tena kuwa mzunguko wa dunia hauchukui siku “365.25” pekee, bali huchukua siku “365.24218967.” Hapa kuna tofauti ya siku “0.00781033,” sawa na dakika “11.2468752.” Yaani, kimakosa, “Kalenda ya Julius” ilikuwa imeongeza dakika “11.2468752” katika mwaka mzima.
Kanisa Katoliki lilianza kutumia kalenda ya Liturijia inayofuata mantiki ya “Kalenda ya Julius” mwaka 325. Lakini, mwaka 1582 Papa Gregory wa 13 aligundua makosa hayo yaliyo kwenye “Kalenda ya Julius.”
Hivyo, Papa akakosoa dosari husika kwa kuunda kalenda mpya, ikaitwa “Kalenda ya Gregory”. Baadhi ya Wakristo waliikataa mantiki iliyoongoza utengenezwaji wa “Kalenda ya Gregory” na kuendelea kutumia “Kalenda ya Julius.”
Hivyo, tangu mwaka 325 hadi leo imepita miaka 1697. Kwa kuzingatia tofauti ya siku “0.00781033” tulizoona hapo awali, hesabu ya kuzidisha inaonyesha kwamba “Kalenda ya Gregory” inaitangulia “Kalenda ya Julius” kwa siku “13.25413001.” Huu ni wastani wa siku 13 na robo.
Hivyo, wakati Wakristo wanaofuata “Kalenda ya Gregory” wanaposherehekea Krismas ya Desemba 25, wale wanaofuata “Kalenda ya Julius” watasubiri hadi Januari 7, yaani siku 13 baadaye.
Lakini pia, kuna Wakristo wanapinga Krismas ya Desemba 25 na kukataa Krismas ya Januari 7, wao wanaadhimisha Krismas ya Januari 6.
Kitabu cha “New Advent Encyclopedia,” kinasema hawa wanaoamini Yesu alizaliwa Januari 6 ni wafuasi wa Clement wa Alexandria, nchini Misri.
Clement alionyesha kwenye kitabu chake kiitwacho “Stromata,” kwamba Yesu alizaliwa “Januari 6.” Baadhi ya Wakristo walikubaliana na Clement hadi leo.
Kutokana na mkanganyiko huo wa siku aliyozaliwa Yesu Mnazareti, ndiyo maana yapo maeneo duniani yanaadhimisha kuzaliwa kwake Desemba 25, wengine Januari 6 na wapo wanaofanya kumbukizi Januari 7.
Mchungaji wa Kanisa la Mfalme Yesu lililoko Mwanjelwa, Mbeya, Ibarhim Kalembo akizungumza na Pambazuko kuhusu tarehe hasa ya kuzaliwa Yesu Kristo, alisema ni kweli kuna tofauti kulingana na maeneo husika, lakini uhakika kabisa hauelezwi kinagaubaga na Biblia yenyewe.
Amesema katika vitabu vingi vya vya Injili, ambavyo vikisomwa kwa pamoja, kuna utata wa siku ya kuzaliwa Yesu Kristo, kwani haitamkwi wala kuelezwa kwa uwazi.
“Hata wewe ni Mkristo, umewahi kusoma ama kuelezwa mahali kwamba Desemba 25 ndiyo hasa alizaliwa Mwana wa Mungu (Yesu), hakuna, lakini watu waliamua iwe hiyo Desemba 25 kwa wengi, pamoja na kwamba wapo wanaopinga tarehe hiyo,” ameongeza mchungaji huyo ambaye amesema ana shahada ya uzamili katika teolojia.
Anaeleza kuwa mvutano wa siku ya kuzaliwa Yesu huenda usifike mwisho na labda unaweza kutatuliwa na Yeye mwenyewe siku atakaporejea na endapo atatoa nafasi ya kuulizwa maswali.
“Hili swali limetushinda, limewashinda hata wakongwe wa historia ya maisha ya Yesu, wakiwamo Wayahudi wenyewe, huenda siku nzuri ya kupata jibu na tutakapomuona Mwenyewe,” ameongeza.
Chanzo: Gazeti laPambazuko, Toleo la Jumatatu, Desemba 26, 2022-Januari 1, 2023, ukurasa wa 10-12.
Ufafanuzi mzuri sana, Mkuu hakuna muendelezo?Ni dhana potofu iliyozoeleka miongoni mwa Wakristo kwamba Paulo na Mitume wa Kristo walikuwa na kauli moja katika mahubiri yao ya Yesu aliyesulubiwa.
Wakristo wanafikiri kwamba mitume na Paulo walikuwa wakihubiri fundisho moja na kila mtu alimwamini Yesu wa kimungu ambaye alikuja kusulubiwa kwa ajili ya dhambi za ulimwengu. Walakini, ikiwa mtu anachunguza bibilia kwa uangalifu, mtu huyo angeona kwamba Paulo na wanafunzi hawakuwa wakihubiri fundisho moja na hawakumwamini Yesu yule yule.
Mitume kule Yerusalemu walisikia kwamba Paulo amekuwa akihubiri mafundisho tofauti huko Galatia na Korintho.
Paulo alikuwa anawaambia wasifuate sheria tena na kwamba hawapaswi kula tena nyama ya kosher au kutahiriwa (kulingana na Mwanzo 17::14, agano linavunjwa kama hakuna tohara) n.k. Kwa hiyo Mitume wakaenda Galatia na Korintho na kuwahakikishia watu wote kwamba Paulo amekosea,
Paulo aliposikia hayo alirudi moja kwa moja mijini ………
Wagalatia 1:6
6 Nastaajabu kwamba mnamwacha upesi hivi yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo na kugeukia Injili nyingine.
Inasema Injili tofauti, kwa hiyo ni wazi wanafunzi walikuwa wakiwafundisha mafundisho tofauti na haikuwa tu masuala madogo.
Wagalatia 2:11-21
Paulo Anampinga Petro
11 Petro alipofika Antiokia nilimpinga usoni kwa maana alikuwa amekosea waziwazi.
12 Kabla ya kufika watu fulani waliotoka kwa Yakobo, alikuwa akila pamoja na watu wa mataifa mengine. Lakini walipofika alianza kujitenga na watu wa mataifa mengine kwa kuwaogopa wale waliokuwa wa kundi la tohara. ( kwa nini watu kama vile mtume Yakobo bado waliamini kwamba sheria kuhusu chakula ingepaswa kutumika bado? Ikiwa Yesu alikuja kuchukua nafasi ya sheria, basi kwa nini bado wanaifuata sheria?) 13Wayahudi wengine walijiunga naye katika unafiki wake. kwa unafiki wao hata Barnaba alipotoshwa. (kwa hiyo, Petro, Yakobo na Barnaba wamekosea?)
14 Nilipoona kwamba watu hawaishi kulingana na ukweli wa Injili, nilimwambia Petro mbele ya watu wote, "Wewe ni Myahudi, lakini unaishi kama Myunani na si kama Myahudi. , kwamba unawalazimisha watu wa mataifa mengine kufuata desturi za Kiyahudi?
15 "Sisi tulio Wayahudi kwa kuzaliwa na wala si 'watenda dhambi Mataifa'
16 tunajua kwamba mtu hahesabiwi haki kwa kuishika sheria, bali kwa imani ya Yesu Kristo. Vivyo hivyo na sisi tumemwamini Kristo Yesu ili tuhesabiwe haki. kwa imani katika Kristo na si kwa kushika sheria, kwa maana kwa kushika sheria hakuna mtu atakayehesabiwa haki (kwa nini wanabishana juu ya kufuata sheria au la? Kwa nini hawapatani na mafundisho?)
17 "Ikiwa tunatafuta kuhesabiwa haki katika Kristo, inaonekana kwamba sisi wenyewe ni wenye dhambi, je! hiyo inamaanisha kwamba Kristo anaendeleza dhambi? Sivyo hivyo!
18 Nikijenga upya kile nilichobomoa, nathibitisha kwamba mimi ni mvunja sheria.
19 Kwa maana kwa njia ya sheria naliifia sheria ili nipate kuishi kwa ajili ya Mungu.
20 Nimesulubiwa pamoja na Kristo, wala siishi tena, bali Kristo yu hai ndani yangu.Uhai ninaoishi katika mwili, ninaishi kwa imani ya Mwana wa Mungu. ambaye alinipenda na kujitoa nafsi yake kwa ajili yangu.
21 Siibatili neema ya Mungu, kwa maana ikiwa haki inaweza kupatikana kwa sheria, Kristo alikufa bure.
Paulo anawashutumu Wakristo wote wa Kiyahudi akiwemo Petro na Barnaba. Tuna upande wa Paulo tu wa hadithi lakini ukumbusho wa Petro wa hadithi hii haujatolewa kwetu katika Agano Jipya.
Petro angemjua Yesu vizuri zaidi kuliko Paulo. Kuna mabishano iwapo 1 Petro ni barua iliyoandikwa na Petro na karibu wasomi wote, wa kale na wa kisasa wanakubali kwamba 2 Petro si barua iliyoandikwa na Petro.
Matendo 4:31
31 Baada ya kusali, mahali walipokuwapo pakitikiswa. Na wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakanena neno la Mungu kwa ujasiri.
Ikiwa Petro alijazwa Roho Mtakatifu kwanini Paulo anamwita Petro mnafiki kwa kula na watu wa mataifa halafu watu walipotoka kwa Yakobo aliinuka. Yakobo ni ndugu wa kambo wa Yesu, aliishi na kukaa pamoja na Yesu.
Kwa nini bado alifikiri kwamba watu wanapaswa kula nyama ya kosher?
Hatuna maelezo yoyote ya hadithi ya Peter kuhusu tukio hili.
Barnaba pia anaitwa mnafiki katika mstari wa 13. Angalia jinsi katika mstari wa 15 mawazo 17 Paulo anabishana nao kuhusu sheria.
Hiyo ina maana kwamba wanafunzi walitaka kufuata sheria na kupendekeza kuifuata.
Vinginevyo Paulo hangeitaja. Angewezaje kumwambia Petro mambo hayo na kuangalia kile ambacho Yesu alisema kuhusu Petro.