LUKA 1:26-
Mnamo mwezi wa SITA,malaika Gabriel alitumwa na Mungu aende galilaya kwenye mji uitwao Nazareth galilaya,kwa msichana mmoja bikira aitwaye mariyam,mchumba wa mtu mmoja jina lake Yosef,wa ukoo wa daudi.....usiogope maria,kwa maana mungu amekujalia neema.utachukua mimba,utazaa mtoto wa kiume,nawe utampa jina yesu
LUKE 1:26
And the angel said to her.do not be afraid Mary,for you have found favor with god.and behold, you'll conceive in your womb and bear a son,and you'll call his name Jesus