inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ushahidi si utafute tu kwamba Christmas ni sikukuu ya kipagani,askofu kilaini alishayasema haya,na kilaini ndiye bingwa wa historia ya kanisa,sikuu zote Christmas na pasaka kusherekewa kipindi Cha baridi(winter) ni sikukuu za kipagani ambayo kanisa la Roma kuwapoza wapagani wa kirumi ili wasione dini mpya nzito,likaziweka kuwa sikukuu za kidiniWeka ushahidi wapagani walikuwa wanasherehekea kuzaliwa kwa Yesu
Na usiku wa Leo wewe utakuwa unasherekea miaka 2023 toka Yesu aondoke, kumbuka tarehe zilianza kuhesabiwa toka Yesu alivyosema atarudi
Dhumuni la Christmas ni kusherehekea Nini? Wakristo wanasherehekea Nini?Ushahidi si utafute tu kwamba Christmas ni sikukuu ya kipagani,askofu kilaini alishayasema haya,na kilaini ndiye bingwa wa historia ya kanisa,sikuu zote Christmas na pasaka kusherekewa kipindi Cha baridi(winter) ni sikukuu za kipagani ambayo kanisa la Roma kuwapoza wapagani wa kirumi ili wasione dini mpya nzito,likaziweka kuwa sikukuu za kidini
Biblia si imeweka wazi Maryam alipata mimba lini!?..,na inasema siku za kuzaa zikatimia,akajifingua,Sasa kwa nini zisitumiwe hizo tarehe kusherehekea kuzaliwa kwa yesu waende kuweka sherehe hizo tarehe nyingine zinazoshabihiana na sherehe za wapagani!?Dhumuni la Christmas ni kusherehekea Nini? Wakristo wanasherehekea Nini?
Wewe kuzalia sikukuu ya wajinga ,ukiwa unasherekea utasema unasherekea sikukuu ya wajinga au kuzaliwa kwako?
Luka 1:26 mimba imetungwa mwezi wa SITA,so yesu kazaliwa machi,kwa nini isiwe machi hiyo xmass badala yake imekua disemba na kanisa biblia wanayo!?Dhumuni la Christmas ni kusherehekea Nini? Wakristo wanasherehekea Nini?
Wewe kuzalia sikukuu ya wajinga ,ukiwa unasherekea utasema unasherekea sikukuu ya wajinga au kuzaliwa kwako?
Tarehe inaweza kuwa sawa ila dhumuni likawa tofautiMokiti kuna Kitabu nilikuwa nacho sijui kiko wapi,Ila nikipata nitaleta ushahidi WA hizo sikukuu za kipagani
Hakuna tarehe rasmi ndani ya bibliaBiblia si imeweka wazi Maryam alipata mimba lini!?..,na inasema siku za kuzaa zikatimia,akajifingua,Sasa kwa nini zisitumiwe hizo tarehe kusherehekea kuzaliwa kwa yesu waende kuweka sherehe hizo tarehe nyingine zinazoshabihiana na sherehe za wapagani!?
Ni hivi hizo sikukuu zilikuwepo kabla ya nyinyi kuanza kushehereka kuzaliwa Kwa Yesu.Tarehe inaweza kuwa sawa ila dhumuni likawa tofauti
Hakuna ushahidi wapagani walisherekea kuzaliwa kwa Yesu
Ila Kuna ushahidi mpaka Leo wakristo wanasherehekea kuzaliwa kwa Yesu
Ndio nimekwambia dhumuni ndio la muhimuNi hivi hizo sikukuu zilikuwepo kabla ya nyinyi kuanza kushehereka kuzaliwa Kwa Yesu.
Nitakuelewa Tu kama mliamua kuchagua hiyo tar 25/ Dec
Luka 1:26 mimba imetungwa mwezi wa SITA,so yesu kazaliwa machi,kwa nini isiwe machi hiyo xmass badala yake imekua disemba na kanisa biblia wanayo!?
LUKA 1:26-Hiyo ni mimba ya Elizabeth ilipofikisha miezi SITA biblia haisomwi kwa kuchomoa mstari
Luka 1: 24Baadaye Elisabeti mkewe akapata mimba. Akajificha nyumbani kwa muda wa miezi mitano, akisema: 25“Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana; ameniangalia na kuniondolea aibu niliyokuwa nayo mbele ya watu.”
Maulidi ni birthday ya mtume saw,ndiyo maana waenda ofisini siku ya maulidi Kama ni siku ya kazi hawapendi,so tarehe maalum ipoHakuna tarehe rasmi ndani ya biblia
Kwani wewe una tarehe rasmi alipo zaliwa Muhammad?
Soma story nzima hiyo sio Koran ambayo verse hazina mtiririkoLUKA 1:26-
Mnamo mwezi wa SITA,malaika Gabriel alitumwa na Mungu aende galilaya kwenye mji uitwao Nazareth galilaya,kwa msichana mmoja bikira aitwaye mariyam,mchumba wa mtu mmoja jina lake Yosef,wa ukoo wa daudi.....usiogope maria,kwa maana mungu amekujalia neema.utachukua mimba,utazaa mtoto wa kiume,nawe utampa jina yesu
LUKE 1:26
And the angel said to her.do not be afraid Mary,for you have found favor with god.and behold, you'll conceive in your womb and bear a son,and you'll call his name Jesus
Pole sana naona roho mtakatifu wako kakuingiza mkenge mpaka umepigwa banDhumuni la Christmas ni kusherehekea kuzaliwa kwa Yesu, ni kumbukumbu Yesu alizaliwa duniani, hakuna mkristo anasherekea kinyume chake
Tarehe sio issue , dhumuni la sherehe ndio tunaangalia
Kesho tunasherekea kuingia miaka 2023 toka kipindi Cha Yesu , waislamu kina adriz medisonmuta ETUGRUL BEY inamankusweke Kisai Gavana wote watakuwa wanashangilia miaka 2023 toka Yesu aondoke duniani
Tusherekee miaka 2023 toka Yesu aondoke duniani, happy new yearPole sana naona roho mtakatifu wako kakuingiza mkenge mpaka umepigwa ban
Hayo majina Maryam na yesu hapo ni huyohuyo Elizabeth na mwanae!?Soma story nzima hiyo sio Koran ambayo verse hazina mtiririko
Hiyo ni mimba ya Elizabeth ilipofikisha miezi SITA biblia haisomwi kwa kuchomoa mstari
Luka 1: 24Baadaye Elisabeti mkewe akapata mimba. Akajificha nyumbani kwa muda wa miezi mitano, akisema: 25“Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana; ameniangalia na kuniondolea aibu niliyokuwa nayo mbele ya watu.”
Story inaeleza elezabeth akiwa na mimba ya yohana mbatizaji Ikiwa na miezi 5 badae ilipo fika mwezi wa SITA Malaika akatumwa kwa Mariam , kasome kisa kizima usichomoe mstariHayo majina Maryam na yesu hapo ni huyohuyo Elizabeth na mwanae!?
Hahahaaaaa mbona havina uhusiano!!!Story inaeleza elezabeth akiwa na mimba ya yohana mbatizaji Ikiwa na miezi 5 badae ilipo fika mwezi wa SITA Malaika akatumwa kwa Mariam , kasome kisa kizima usichomoe mstari
Ndio nimekuelemisha siku ingine usipost ukajiona umepost bonge la pointHahahaaaaa mbona havina uhusiano!!!