Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hata Tanzania unadhani askari anatakiwa kutii chochote kutuka kwa mkuu wake? Unafikri mkuu akimwambia nedna nyumbani ukampige risasi mke wangu analazimika kwenda? Sisi jeshi letu sheria nyingi tumerithi kutoka Uingereza hivyo ondoa wasiwasi kuwa lazima askari atii kila kitu anachoamrishwa.Wakati mwingine sheria za kijeshi zinahitaji reforms.....nchi nyingine kama ujerumani askari anahaki ya kutotii amri ya kamanda wake kama amejiridhisha kuwa amri hiyo ikitekelezwa itakiuka haki za kibinaadamu..
Kama hukuwahi kupita jkt umekosa jambo muhimu maishani. Ukiacha jkt hii ya leo 'ilioboreshwa', ya enzi zile ilikuwa ni sehemu iliohitaji utumiaji mkubwa wa akili na maarifa ili siku ipite. Hali ambayo baada ya kutoka ilimwezesha mtu kuishi maisha ya aina yoyote.sisi ambao hatujawahi kupita hata skauti tunajionea sawa tu hii story mara Luteni kanali mara sajent
JF ina manjagu duh!Story ninaipata vizuri sana. Ila aliyeleta story ameikosea sana.
Kwanza Sargent hawezi kukaa sehemu moja ya vinywaji na Mkuu wa Kikosi, therefore ile ilikuwa officer's mess.
Unayemtaja kukokiwa bunduki alikuwa na Cheo cha Lieutenant. Msukuma mmoja bongebonge.
Yule CO alikuwa bonge la Kamanda. Alipenda sana seriousness katika kila kazi hasa training mnapokuwa "uwanja wa damu". (R.I.P)
Lakini kwenye burudani alipenda sana jokes (of course pale baada ya kuona jamaa amelewa na hataki kutii amri, alimnong'oneza mtu fulani na kikafanyika kilichofanyika. Ilitumika SRA na si SMG (haikuwa na risasi), maana SRA inalia sana ikikokiwa, na good enough it worked, maana jamaa alisimama juu bila shuruti " paaap".) Ilikuwa burudani tosha!!
Operation nidhamu!!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nimeshindwa kuelewa kosa la sargent kutaka kupigwa risasi wakati luten ndio mwenye kosa.
Na kingine nimeshindwa kuelewa imekuwaje mesi ya ma afisa inakuwa sehemu moja na askari wa vyeo vya chini.
Kingine sijui au sijawahi ona askari akiwa mesi na silaha tangu niko jeshini labda huu ni utaratibu wa kikosi chenu hapo mgambo tanga kwenye shamba la gendaheka lenye kontua 400 kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Au wewe umemuelewa ndugu yangu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Jeshini kuna kitu inaitwa.(kusikiliza kauli ya mwisho)ndio inaheshimuka kuliko vyoteKwani hata Tanzania unadhani askari anatakiwa kutii chochote kutuka kwa mkuu wake? Unafikri mkuu akimwambia nedna nyumbani ukampige risasi mke wangu analazimika kwenda? Sisi jeshi letu sheria nyingi tumerithi kutoka Uingereza hivyo ondoa wasiwasi kuwa lazima askari atii kila kitu anachoamrishwa.
Aaha sherehe za kuruta tu kunakuwa na Service man wachache[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Rank za kijeshi hata kwenye sherehe hakuna interaction za kiboya...
Mkuu wa kambi akimwambia askari nenda nyumbani kwangu kampige mke wangu risasi anatakiwa kutii?Jeshini kuna kitu inaitwa.(kusikiliza kauli ya mwisho)ndio inaheshimuka kuliko vyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli, linakuwa na sheria zinazo eleweka, na viongozi wanao jitambua. Kiongozi anaejua akitoa amri isio halali haitatekelezwa na atawajibishwa kwa kutoa amri hiyo, huwa yuko makini. Hapa kwetu askari anaepokea amri yoyote, hata akivalishwa nguo za kipolisi na kumwambia sense kupiga wafuasi wa Chadema, hana la kuhoji.ilo jeshi litakua halitawaliki hakuna nidham
HahahaMkuu nje ya mada, kwahiyo alichofanya sabaya ni sawa baada ya kupokea amri kutoka juu?
Kama nimelemewa risasi 30 naachaje kwa mfano wakati mkuu kaniambia.Mkuu wa kambi akimwambia askari nenda nyumbani kwangu kampige mke wangu risasi anatakiwa kutii?
Mkuu nimerekebishwa na jamaa alikuwapo kuwa ilikuwa Officers baa na jamaa alielekezwa bunduki alikuwa luteni mmoja Msukuma!Mkuu wa kambi alikuwa sahihi.
Vipi enzi hizo Mgambo jkt hapakuwa na officers bar ?
Ilikuwaje Sajenti akae baa moja na CO?
Ni Luteni Mkuu, kuna mtu alikuwa Mgambo amenikumbusha. Alikuwa Luteni mmoja MsukumaNi Luteni au Sajenti