Siku ambayo askari MP alipojitayarisha kumpiga risasi askari Sajenti kwa amri ya Mkuu wa Kambi ya Mgambo JKT

Siku ambayo askari MP alipojitayarisha kumpiga risasi askari Sajenti kwa amri ya Mkuu wa Kambi ya Mgambo JKT

Kuna Jambo kubwa la kujifunza...hii hulka ipo huku makanisani.mchungaji hataki uhoji mlolongo wa maamuzi .ukihoji procedures tu, unatengwa.
Huenda hekima ZAIDI NI kutii na kujifanya mjinga MAANA anaweza fanya maamuzi mabaya Kama usemavyo hapo juu.
Kwa hoja yako huyo luten aliudhiwa na offence iliyojitokeza na siyo kumwagika kwa pombe.mkuu angetatua hiyo offence tu.wanasema ukitaka kujua hasira ya mlevi mwaga pombe yake.hawasemi ukitaka kuona wema wa mlevi lipa pombe yake.
 
Story ninaipata vizuri sana. Ila aliyeleta story ameikosea sana.

Kwanza Sargent hawezi kukaa sehemu moja ya vinywaji na Mkuu wa Kikosi, therefore ile ilikuwa officer's mess.
Unayemtaja kukokiwa bunduki alikuwa na Cheo cha Lieutenant. Msukuma mmoja bongebonge.

Yule CO alikuwa bonge la Kamanda. Alipenda sana seriousness katika kila kazi hasa training mnapokuwa "uwanja wa damu". (R.I.P)

Lakini kwenye burudani alipenda sana jokes (of course pale baada ya kuona jamaa amelewa na hataki kutii amri, alimnong'oneza mtu fulani na kikafanyika kilichofanyika. Ilitumika SRA na si SMG (haikuwa na risasi), maana SRA inalia sana ikikokiwa, na good enough it worked, maana jamaa alisimama juu bila shuruti " paaap".) Ilikuwa burudani tosha!!

Operation nidhamu!!
Napata shida kuamini kuwa Kuruta wa operesheni Nidhamu wanashindwa kutofautisha majina ya silahaza msingi wanazocheza nazo wakati mwingi.


Pia kuna SMG ( Sub Machine Gun) yenye magazine inayobeba risasi 30.
Pia najua kuna utamaduni wa jeshi kuwa askari huwa wanakuwa na hall zao za chakula na starehe kulingana na vyeo vyao, kiasi kuwa ni nadra kuona Mkuu wa Kikosi mwenye cheo cha Juu, kujumuika kwenye starehe katika bwalo na askari wa ngazi za chini.
 
Back
Top Bottom