Siku chache kabla ya kuachia madaraka, Kenyatta amteua Mkuu mpya wa Jeshi la Ardhini

Siku chache kabla ya kuachia madaraka, Kenyatta amteua Mkuu mpya wa Jeshi la Ardhini

Hii ndio tatizo la kusoma na kutoelewa. Where did I say it's rotational based on tribes? I said it's rotational among the three forces. Hadi nikakupa mfano na the last two CDFs. Aliyetangulia kabla ya Kibochi alikuwa ni Kenya Navy. Kibochi ni wa Kenya Army so kisheria anayekuja baada yake ni lazima atoke Kenya Air Force. Ni nini hujaelewa hapo bongolala?

Hao watu ni wakenya na ni lazima wawe wametoka kabila fulani. Hiyo ndio inakuuma wewe kilaza? The current CDF is a Kikuyu, kabla yake alikuwa mgiriama kutoka pwani na atakayeingia ni aidha mjaluo au msomali. Au ulitegemea awe Mnyamwezi?

..hiyo ni HUJUMA kwa raisi anayekuja, iwe ni odinga, au ruto.

..uhuru kenyatta amefanya ukora kupachika mkikuyu mwenzake kuwa cdf wakati yeye anakaribia kuondoka madarakani.

..uteuzi wa cdf ulitakiwa usubiri ufanywe na raisi atakayeingia baada ya uchaguzi mkuu wa kenya.
 
..hiyo ni HUJUMA kwa raisi anayekuja, iwe ni odinga, au ruto.

..uhuru kenyatta amefanya ukora kupachika mkikuyu mwenzake kuwa cdf wakati yeye anakaribia kuondoka madarakani.

..uteuzi wa cdf ulitakiwa usubiri ufanywe na raisi atakayeingia baada ya uchaguzi mkuu wa kenya.
Ni uteuzi gani wa CDF imefanyika na wewe pia? Hebu nitajie jina ya CDF wa Kenya na aliteuliwa lini? Mbona mnapenda kuforce mawazo yenu potovu?

Wewe pia umesona bila kuelewa chochote Kama tu yule kilaza mwenzako alyetangulia
 
Ni uteuzi gani wa CDF imefanyika na wewe pia? Hebu nitajie jina ya CDF wa Kenya na aliteuliwa lini? Mbona mnapenda kuforce mawazo yenu potovu?

Wewe pia umesona bila kuelewa chochote Kama tu yule kilaza mwenzako alyetangulia

..Kwanini Uhuru Kenyatta anateua watu wakati anakaribia kuachia madaraka, wiki chache kabla ya uchaguzi mkuu?

..Hata kama sheria inamruhusu wakati mwingine ni vizuri kutumia busara na sio kufanya mambo kama mkora.
 
..Kwanini Uhuru Kenyatta anateua watu wakati anakaribia kuachia madaraka, wiki chache kabla ya uchaguzi mkuu?

..Hata kama sheria inamruhusu wakati mwingine ni vizuri kutumia busara na sio kufanya mambo kama mkora.
Ndio maana nikasema uache kulazimisha mawazo yako potovu yawe ukweli. Anayehuduma kama CDF nchini Kenya kwa sasa aliteuliwa Mei 2020 na atahudumu kwa kipindi cha miaka minne jinsi sheria inavyosema (unless he attains mandatory retirement age before that time).

Huyo mwingine aliyeteuliwa juzi na Uhuru ni wewe na watanzania wenzako ndio wanamfahamu. Sisi tunajua tu aliyepandishwa ngazi
 
Ndio maana nikasema uache kulazimisha mawazo yako potovu yawe ukweli. Anayehuduma kama CDF nchini Kenya kwa sasa aliteuliwa Mei 2020 na atahudumu kwa kipindi cha miaka minne jinsi sheria inavyosema (unless he attains mandatory retirement age before that time).

Huyo mwingine aliyeteuliwa juzi na Uhuru ni wewe na watanzania wenzako ndio wanamfahamu. Sisi tunajua tu aliyepandishwa ngazi

..Taarifa ya Kimombo inasema Uhuru Kenyatta, amefanya promotions, appointments, and postings, ndani ya land force, air force, na navy.

..Argument yangu ni kwamba Raisi aliyebakisha less than a month in office hatakiwa kufanya kama Uhuru Kenyatta.

..Hizo promotions, and especially appointments, and postings, should have been left for the incoming commander in chief to deal with.

..Ni kawaida Raisi anayeondoka kupandisha askari vyeo na kutoa nishani / medals, lakini sio ku-appoint. Hata hapa Tanzania tulipata 4 star generals kwa mara ya kwanza wakati Nyerere ana-retire, lakini hakufanya uteuzi Jeshini.
 
..Taarifa ya Kimombo inasema Uhuru Kenyatta, amefanya promotions, appointments, and postings, ndani ya land force, air force, na navy.

..Argument yangu ni kwamba Raisi aliyebakisha less than a month in office hatakiwa kufanya kama Uhuru Kenyatta.

..Hizo promotions, and especially appointments, and postings, should have been left for the incoming commander in chief to deal with.

..Ni kawaida Raisi anayeondoka kupandisha askari vyeo na kutoa nishani / medals, lakini sio ku-appoint. Hata hapa Tanzania tulipata 4 star generals kwa mara ya kwanza wakati Nyerere ana-retire, lakini hakufanya uteuzi Jeshini.
And what is the title of this thread? Is it not saying that "...Uhuru ateua mkuu wa majeshi mpya"? Is that not misleading?

About appointments, it is the duty of the president as the commander-in-chief to make appointments in the military where and when necessary as that is his constitutional duty. The appointments he made were done so to fill vacuums left by retiring/retired officers. The military is a sensitive arm of the government that can't go unmanned, especially in a transitional year like ours at the moment. We are going to an election in a matter of weeks, just in case you forgot. Did you expect those positions to remain vacant at a critical time like this?

Uhuru will remain the president of Kenya until a new president is sworn into office and he is expected to perform all his duties up to the last minute.
 
Wacha upuuzi wewe ati ADC ameteuliwa kuwa CDF? Hivi unajua ADC huwa wana vyeo vidogo? Huwa hawazidi u-colonel! Sasa hawezi rushwa vyeo namna hiyo mara nyingi CDF hutoka kwa major generals au Lieutenant generals!
Nadhani ulikuwa haujaelewa sentesi inasema aliyekuwa ADC
 
Wacha upuuzi wewe ati ADC ameteuliwa kuwa CDF? Hivi unajua ADC huwa wana vyeo vidogo? Huwa hawazidi u-colonel! Sasa hawezi rushwa vyeo namna hiyo mara nyingi CDF hutoka kwa major generals au Lieutenant generals!
Sasa si usome kilichoandikwa kwenye gazeti hapo kuliko kumattack mleta mada, au lugha ya malikia inasumbua. Na kwanini umekariri kuwa ADC anakuwa na cheo kidogo
 
..hiyo ni HUJUMA kwa raisi anayekuja, iwe ni odinga, au ruto.

..uhuru kenyatta amefanya ukora kupachika mkikuyu mwenzake kuwa cdf wakati yeye anakaribia kuondoka madarakani.

..uteuzi wa cdf ulitakiwa usubiri ufanywe na raisi atakayeingia baada ya uchaguzi mkuu wa kenya.
Aliyechaguliwa sio CDF. Tatizo lako nini?
 
View attachment 2298278
Peter Mbogo Njiru
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amemteua msaidizi wake wa zamani (aide-de-camp - ADC) Peter Mbogo Njiru kuwa Mkuu wa Majeshi wa Kenya, ikiwa ni wiki chache kabla ya kuondoka madarakani.

Njiru amepandishwa cheo kutoka kuwa Meja Jenerali na kuwa Luteni Jenerali nafasi ambayo ilikuwa ikishikiliwa na Walter Raria aliyestaafu baada ya kutumikia nafasi hiyo kwa miaka minne.

ADC wa sasa wa Kenyatta, Timothy Stelu ambaye alikuwa Kanali amepandishwa cheo kuwa Brigedia lakini ataendelea kubaki katika nafasi ya ADC akimlinda Rais.


------------------------

Uhuru Picks His Former ADC Peter Mbogo Njiru to Head Kenya Army

President Uhuru Kenyatta, on Wednesday, July 20, promoted his former aide-de-camp (ADC) Peter Mbogo Njiru to become the Commander of the Kenya Army.

Njiru was also promoted from the rank of Major General to Lieutenant General - a position previously held by Walter Raria.

Njiru took over after Raria retired on completion of four years tour of duty.

The current ADC, Timothy Stelu, who previously served as a colonel, was promoted to the rank of Brigadier. He will continue serving as the ADC to the Head of State.

This comes a week after the former colonel was awarded the Elder of the Order of the Burning Spear (E.B.S.) commendation by the President.

"His Excellency Hon Uhuru Kenyatta, President of the Republic of Kenya, and Commander-in-Chief of the Defence Forces, on the advice of the Defence Council, chaired by Hon Eugene Wamalwa, Cabinet Secretary for Defence, has today July 20, 2022 made the following promotions, appointments and postings of the officers of the Kenya Defence Forces," a notice from the Ministry of Defence announced.

In total, the Head of State promoted 22 officers attached to KDF spanning the Kenya Army, Kenya Air Force and Kenya Navy.

Others who were promoted are Brigadier David Kimaiyo Chemwaina Tarus (Major General and appointed

General Officer Commanding Western Command), Brig Juma Shee Mwinyikai (Major General and appointed General Officer Commanding Eastern Command) and Brig Fredrick Leuria (Major General and appointed Assistant Chief of Defence Forces in charge of Operations, Plans, Doctrine and Training).

In the Air Force division, Brig Benard Waliaula was promoted to the position of Major General and appointed.

Director Defence National Security Industries, Col Mohammed Salah Farah (promoted to Brigadier and appointed Base Commander, Laikipia Air Base) while Col Mohamed Dahir Ali became a Brigadier as well as the Principal of the Defence Forces Technical College.

In the Navy division, Stelu was appointed alongside Col John Wekesa Khaoya who ascended to the position of Brigadier and will now serve as the Chief of Welfare and Compensation, at the Defence Headquarters.

Source: aa.com.tr

Huyo ni mkuu wa jeshi la nchi kavu, siyo CDF. CDF anabakia Robert Kibicho kwa taarifa yako!
 
Mkuu wa majeshi ni Grnerali Robert Kibicho, huyu ni kamanda wa jeshi la ardhini.

..Uhuru Kenyatta anapachika watu wake kabla hajaondoka madarakani.

..sio sahihi Uhuru Kenyatta kufanya uteuzi wakati muda wake wa kuwa ofisini ni chini ya mwezi mmoja.

..huo ni UKORA.
 
..Uhuru Kenyatta anapachika watu wake kabla hajaondoka madarakani.

..sio sahihi Uhuru Kenyatta kufanya uteuzi wakati muda wake wa kuwa ofisini ni chini ya mwezi mmoja.

..huo ni UKORA.
Hayo ni maoni yako. Halafu sijui mbona una uchungu kuhusu uteuzi huu ilhali wewe sio Mkenya.
 
Hayo ni maoni yako. Halafu sijui mbona una uchungu kuhusu uteuzi huu ilhali wewe sio Mkenya.

..Wakenya ni ndugu zangu kwa hiyo lazima niwe-concerned na kinachoendelea nchini kwao.
 
View attachment 2298278
Peter Mbogo Njiru
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amemteua msaidizi wake wa zamani (aide-de-camp - ADC) Peter Mbogo Njiru kuwa Mkuu wa Majeshi wa Kenya, ikiwa ni wiki chache kabla ya kuondoka madarakani.

Njiru amepandishwa cheo kutoka kuwa Meja Jenerali na kuwa Luteni Jenerali nafasi ambayo ilikuwa ikishikiliwa na Walter Raria aliyestaafu baada ya kutumikia nafasi hiyo kwa miaka minne.

ADC wa sasa wa Kenyatta, Timothy Stelu ambaye alikuwa Kanali amepandishwa cheo kuwa Brigedia lakini ataendelea kubaki katika nafasi ya ADC akimlinda Rais.


------------------------

Uhuru Picks His Former ADC Peter Mbogo Njiru to Head Kenya Army

President Uhuru Kenyatta, on Wednesday, July 20, promoted his former aide-de-camp (ADC) Peter Mbogo Njiru to become the Commander of the Kenya Army.

Njiru was also promoted from the rank of Major General to Lieutenant General - a position previously held by Walter Raria.

Njiru took over after Raria retired on completion of four years tour of duty.

The current ADC, Timothy Stelu, who previously served as a colonel, was promoted to the rank of Brigadier. He will continue serving as the ADC to the Head of State.

This comes a week after the former colonel was awarded the Elder of the Order of the Burning Spear (E.B.S.) commendation by the President.

"His Excellency Hon Uhuru Kenyatta, President of the Republic of Kenya, and Commander-in-Chief of the Defence Forces, on the advice of the Defence Council, chaired by Hon Eugene Wamalwa, Cabinet Secretary for Defence, has today July 20, 2022 made the following promotions, appointments and postings of the officers of the Kenya Defence Forces," a notice from the Ministry of Defence announced.

In total, the Head of State promoted 22 officers attached to KDF spanning the Kenya Army, Kenya Air Force and Kenya Navy.

Others who were promoted are Brigadier David Kimaiyo Chemwaina Tarus (Major General and appointed

General Officer Commanding Western Command), Brig Juma Shee Mwinyikai (Major General and appointed General Officer Commanding Eastern Command) and Brig Fredrick Leuria (Major General and appointed Assistant Chief of Defence Forces in charge of Operations, Plans, Doctrine and Training).

In the Air Force division, Brig Benard Waliaula was promoted to the position of Major General and appointed.

Director Defence National Security Industries, Col Mohammed Salah Farah (promoted to Brigadier and appointed Base Commander, Laikipia Air Base) while Col Mohamed Dahir Ali became a Brigadier as well as the Principal of the Defence Forces Technical College.

In the Navy division, Stelu was appointed alongside Col John Wekesa Khaoya who ascended to the position of Brigadier and will now serve as the Chief of Welfare and Compensation, at the Defence Headquarters.

Source: aa.com.tr
REKEBISHA KICHWA CHA HABARI:
Huyo aliyeteuliwa ni Mkuu wa Kikosi Cha Ardhini ( Kenya Army) na siyo Mkuu wa Majeshi
 
Ndio maana nikasema uache kulazimisha mawazo yako potovu yawe ukweli. Anayehuduma kama CDF nchini Kenya kwa sasa aliteuliwa Mei 2020 na atahudumu kwa kipindi cha miaka minne jinsi sheria inavyosema (unless he attains mandatory retirement age before that time).

Huyo mwingine aliyeteuliwa juzi na Uhuru ni wewe na watanzania wenzako ndio wanamfahamu. Sisi tunajua tu aliyepandishwa ngazi
Huyo ni Mkuu wa Kikosi / Jeshi la Ardhini na siyo Mkuu wa Majeshi
 
Back
Top Bottom