Tena hasa hawa wanaoanzia na ..... Sapi Mkwawa karibu wote ninaowajua Mimi ni IslamUko sahihi Faiza ni kweli Mkwawa alikuwa Muislam na ndivyo sote tuliokulia na kuishi maeneno ya karibu kabisa na Kalenga tunajua hivyo na halina ubishi. Hata sasa wanafamilia wa Mkwawa wengi wao ni waislamu.
Sheikh Mohamed Said kuupa nguvu ukristo maana yake ukristo ulikuwepo lakini haukuwa na nguvu.Tafadhali naomba darsa kiduchu kwa manufaa ya mnakasha.
Ninachojua UIslam ulitangulia kabla ya ukristo,Uislam ulikwenda sambamba na biashara ya utumwa.Chief Mkwawa alishiriki biashara ya utumwa ingawa hili linafichwa chwa sijui kisa nini.Ukristo na ukoloni wa kizungu ulikomesha biashara ya utumwa uliokuwa ukiwafaidisha waarabu na kushabikiwa na uislam.
Ngongo,Sheikh Mohamed Said kuupa nguvu ukristo maana yake ukristo ulikuwepo lakini haukuwa na nguvu.Tafadhali naomba darsa kiduchu kwa manufaa ya mnakasha.
Ninachojua UIslam ulitangulia kabla ya ukristo,Uislam ulikwenda sambamba na biashara ya utumwa.Chief Mkwawa alishiriki biashara ya utumwa ingawa hili linafichwa chwa sijui kisa nini.Ukristo na ukoloni wa kizungu ulikomesha biashara ya utumwa uliokuwa ukiwafaidisha waarabu na kushabikiwa na uislam.
Askofu wa kwanza Jimbo Katoliki la Iringao(Kwa maana ya Muafrika) alitokea Kalenga,Ukoo wa Mgulunde ambaye alikuwa moja ya wanandugu wa Chief Mkwawa,Aliitwa Mario Abdalah Mgulunde...huyu ndie Askofu wa kwanza mkatoliki mweusi wa Iringa baada ya Francesco Caligliero(tamka Caliero) ambaye alikuwa Padre mlezi wa jimbo kabla ya kuja Askofu Attilio Betlamino aliyekuwa mtaliano.
Askofu Mario Abdalah Mgulunde alitoka ktk familia ya Kiislamu na alikulia ktk uislam mpaka pale Wamisionary wa shirika la Consolata walioingia Iringa mwaka 1897 walipomchukua na kumpeleka shule za mission na kumbatiza.Wahehe Waislam wanapatikana Kalenga ktk mkoa wa Iringa,japo kiukweli wapo wachache,na wengine wapo eneo la Pawaga Itunundu.Uislam Kalenga uliletwa na Waarabu waliokuwa wanafanya biashara na Mkwawa,na kwa sbb Wazungu walikuwa "waonezi" na wauwaji,Mtwa Mkwavinyika Mkwawa akaamua kujiunga na Muarabu na akafuata dini hiyo na watu wake akawaamuru kufuata dini hiyo.
Wamisionary walikuja baadae sana,wakaja kuomba ardhi kwa Mkwawa,sbb Mkwawa alikuwa hataki wakae pale akawapa mlima wenye mawe sana ambao alijua kwa ukubwa wa mawe yale Wamisionari Wabenedictin toka Ujerumani watakata tamaa na kuondoka.Wajerumani wakapokea eneo na kuanza kucharanga mawe na kuyatupa pembeni,ndio maana eneo hilo Wahehe wakaliita "Tosa-Maganga" maanake "Tupa Mawe".Walijenga majengo juu ya miamba ya mawe,mpaka leo ukienda unayakuta.Hapo sasa ndio Ukristo ukaanza kuenea eneo la Iringa.Hivyo Ukristo Ukatoliki uliukuta Uislam umeshaenezwa eneo la Uhehe
Ngongo,
Mimi kwa kuwa umetaka darsa In Shaallah nitakupa darsa.
Lakini darsa lina taratibu zake.
Halichanganyi mambo kwa hiyo hayo ya utumwa yatafuata
baadae In Shaallah.
Sasa na tuanze hili la ''Ukristo kupewa nguvu.''
Ingia hapa:
Mohamed Said: KANISA KATIKA TANGANYIKA YA KIKOLONI
Biashara ya watumwa "slave trade" ilianzishwa na kuratibiwa na waarabu chini ya Oman sultanate rule.HAPANA, labda wasomaji wengine watusaidie kuhusu hili suala
Ngongo,Nimekusoma Sheikh Mohamed Said ingawa andiko lako limejaa ukakasi nianze na hili Uislam ulitangulia kabla ya Ukristo sina ubishi nalo ninapokushangaa ni pale unapoonyesha jaribu kuonyesha Uislam ni dini ya asili ya Afrika (EA) wakati nayo ililetwa na majahari na waarabu.Dini za asili za Afrika zinajulikana wazi Uislam na Ukristo tuliletewa haijalishi ipi ilianza na ipi ilikuja nyuma zote zililetwa.
Umejaribu kuonyesha Ukristo ulifungamana na serekali za kikoloni na Uislam ulipingana na Ukoloni lakini tukichimbua historia ya kudai uhuru wa Tanganyika tunawaona wakristo wa maeneo tofuti tofauti wakipinga ukoloni akiwemo Baba wa Taifa Dr Mwl Julius Kambarage Nyerere.
Sheikh Mohamed Said umeonyesha kupendezwa na ujio wa waarabu/waajemi na Uislam kwa maana hiyo basi kama waaarabu wangebahatika kuitawala Tanganyika wazee wako wa Kiislam wasingekuwa na sababu za kudai uhuru ?????.Dhana hiyo naiona hata leo mnaishabikia huko Zanzibar kwamba Sultan hakuwa na shida utawala wake ulikuwa bora kwakuwa tu ndio walioleta dini ya kiislam na majahazi !.
Mkuu Ngongo kuna kitu hapa kinataka kisiwekwe sawa,Nimemsoma vizuri Mzee wangu Mohamed Said lkn kuna mahali kama anaparuka kupasema:Nimekusoma Sheikh Mohamed Said ingawa andiko lako limejaa ukakasi nianze na hili Uislam ulitangulia kabla ya Ukristo sina ubishi nalo ninapokushangaa ni pale unapoonyesha jaribu kuonyesha Uislam ni dini ya asili ya Afrika (EA) wakati nayo ililetwa na majahari na waarabu.Dini za asili za Afrika zinajulikana wazi Uislam na Ukristo tuliletewa haijalishi ipi ilianza na ipi ilikuja nyuma zote zililetwa.
Umejaribu kuonyesha Ukristo ulifungamana na serekali za kikoloni na Uislam ulipingana na Ukoloni lakini tukichimbua historia ya kudai uhuru wa Tanganyika tunawaona wakristo wa maeneo tofuti tofauti wakipinga ukoloni akiwemo Baba wa Taifa Dr Mwl Julius Kambarage Nyerere.
Sheikh Mohamed Said umeonyesha kupendezwa na ujio wa waarabu/waajemi na Uislam kwa maana hiyo basi kama waaarabu wangebahatika kuitawala Tanganyika wazee wako wa Kiislam wasingekuwa na sababu za kudai uhuru ?????.Dhana hiyo naiona hata leo mnaishabikia huko Zanzibar kwamba Sultan hakuwa na shida utawala wake ulikuwa bora kwakuwa tu ndio walioleta dini ya kiislam na majahazi !.
Ngaliba Dume,Mkuu Ngongo kuna kitu hapa kinataka kisiwekwe sawa,Nimemsoma vizuri Mzee wangu Mohamed Said lkn kuna mahali kama anaparuka kupasema:
-Kwanza hapa tujue kuwa Mtwa Mkwawa mwenyewe hakuwa na dini kwa maana ya Muislam au mkristo
Yeye alikuwa mfuasi wa dini ya asili akiamini ktk mizimu na waganga wa kienyeji,baada ya kuwa ameli-
ga jeshi la Mjeruma Mtwa Mkwawa alikimbia na akawa anatafutwa sana na Wajeruma popote alipo.
-Baada ya Wajerumani kumkosa wakaamua kumteka mwanae Mtwa Mkwawa aliykuwa anaitwa Sapi Mkwawa
Wakamchukua na kumpeleka Kilwa,kumbuka Kilwa ndio ilikuwa "Escape area" ya Wajeruman wakati wote
Wa utawala wao.Hata Zelewisky anavyokwenda kupigana na Mkwawa alitokea Kilwa kupitia Usagala
Sapi alipelekwa Kilwa ili kumtumia ujumbe Mkwawa kuwa mtoto wake ametekwa hivyo ajitokeze.Baada ya
Kukaa na Sapi Wajeruman wakampenda kwa aina ya uwezo wake wa kuongoza,wakampeleka Ujerumani na
Baadae wakamfanya kuwa Liwali wa Kilwa,na ili awe Liwali ilibidi aendane na utamaduni wa watu wake,hivyo Sapi akaingia kwenye Uislam na akawa Liwali wa Kilwa.
Kuanzia hapo Sapi na kizazi chake cha kuja chini wakawa Waislam,hivyo hata mwanae Adam Sapi Mkwawa alipozaliwa akawa tu "by default" Muislam.Baada ya hapo wale walio ktk ukoo wa Chief kuanzia Sapi na Adam Sapi wakawa Waislam.Hata baada ya Waingereza kurudisha utawala wa machief,Adam na wasaidizi wakke baadhi walioitwa "Wanzagila" walikuwa waislam
Hivyo sehemu ndogo tu ya Wahehe wa kizazi cha Sapi na mwanae Adam ndio walikuwa Waislam,hata wasaidizi wengine na watu wa karibu na Mkwawa kama kina Mwamgongolwa hawakuwa Waislam na Msikiti Kalenga umekuja kujengwa na Chief Adam Sapi miaka ya 1950's
Muingiliano kati ya Wahehe na Waarabu ilikuwa ni sbb ya biashara,Mtwa Mkwawa alikuwa na "shamba lake la pembe za ndovu" ambazo aliwauzia Waarabu,eneo hilo la "shamba" ndio mbuga ya Ruaha National Park ya sasa(Utakumbuka ndio mbuga yenye tembo wengi kuliko zote)
Walichoinga wahehe kwa Waarabu ni vazi,lkn Muhehe hakutaka liwe kama kanzu,yeye aliita "mgolole" na kichwani alijivika kiremba huku chini akivaa "lubega" nyeupa,hili ndio vazi rasmi la Wahehe mpaka leo
Kumbukumbu za Maandishi ya Kiarabu ya Makumbusho ya Mkwawa,ni yale aliokuwa nayo Sapi wakati akiwa Liwali kule Kilwa,akiwasiliana na wafanyabiashara wa kirabu kwa niaba ya Wajerumani,na Adam ndio aliyejengea kaburi la baba yake Sapi kwa mtindo wa kiislam baada ya kurudi toka Makerere na kukabidhiwa Uchief
Wahehe waliupokea Ukristo Ukatoliki toka kwa Wamisionari,na hasa Wamisionari wa Consolata toka Italia mwaka 1896 eneo la Tosamaganga,baadae Wamisionari hao wakasambaa eneo la Madibira bonde la Ihefu,Rujewa eneo la Usangu,Nyabula,Ilole na Pawaga.Toka mwaka 1896 Vatican ilituma Padre Francesco Caligliero(Mwenye jina la shule ya Cagliero iliyopo Ipogoro Iringa) kueneza Ukristo na kuifanya Iringa kama sehemu ya Metroponia ya Nyanda za Juu za Tanganyika,baadae ilipokomaa ndipo Papa akateua Askofu toka Italy kuja kuwa askofu wa Iringa,huyu Mzungu aliitwa Attilio Betlamino na alifia Tosamaganga na kuzikwa ndani ya kanisa hilo.
Cc barafu UncleBen Ngongo Nyani Ngabu Mimi Mwanakijiji Tangawizi Yericko Nyerere naiman64
Ngaliba Dume asante sana kwa kuniita na kwa maelezo haya,ninaafikiana na wewe sbb maelezo yako kweli hayapishani sana na yale juu niliyotoa mimi.Na ukiona "gwiji" wa historia kama Mzee wetu Mohamed Said kaonekana kukushukuru basi safiMkuu Ngongo kuna kitu hapa kinataka kisiwekwe sawa,Nimemsoma vizuri Mzee wangu Mohamed Said lkn kuna mahali kama anaparuka kupasema:
-Kwanza hapa tujue kuwa Mtwa Mkwawa mwenyewe hakuwa na dini kwa maana ya Muislam au mkristo
Yeye alikuwa mfuasi wa dini ya asili akiamini ktk mizimu na waganga wa kienyeji,baada ya kuwa ameli-
ga jeshi la Mjeruma Mtwa Mkwawa alikimbia na akawa anatafutwa sana na Wajeruma popote alipo.
-Baada ya Wajerumani kumkosa wakaamua kumteka mwanae Mtwa Mkwawa aliykuwa anaitwa Sapi Mkwawa
Wakamchukua na kumpeleka Kilwa,kumbuka Kilwa ndio ilikuwa "Escape area" ya Wajeruman wakati wote
Wa utawala wao.Hata Zelewisky anavyokwenda kupigana na Mkwawa alitokea Kilwa kupitia Usagala
Sapi alipelekwa Kilwa ili kumtumia ujumbe Mkwawa kuwa mtoto wake ametekwa hivyo ajitokeze.Baada ya
Kukaa na Sapi Wajeruman wakampenda kwa aina ya uwezo wake wa kuongoza,wakampeleka Ujerumani na
Baadae wakamfanya kuwa Liwali wa Kilwa,na ili awe Liwali ilibidi aendane na utamaduni wa watu wake,hivyo Sapi akaingia kwenye Uislam na akawa Liwali wa Kilwa.
Kuanzia hapo Sapi na kizazi chake cha kuja chini wakawa Waislam,hivyo hata mwanae Adam Sapi Mkwawa alipozaliwa akawa tu "by default" Muislam.Baada ya hapo wale walio ktk ukoo wa Chief kuanzia Sapi na Adam Sapi wakawa Waislam.Hata baada ya Waingereza kurudisha utawala wa machief,Adam na wasaidizi wakke baadhi walioitwa "Wanzagila" walikuwa waislam
Hivyo sehemu ndogo tu ya Wahehe wa kizazi cha Sapi na mwanae Adam ndio walikuwa Waislam,hata wasaidizi wengine na watu wa karibu na Mkwawa kama kina Mwamgongolwa hawakuwa Waislam na Msikiti Kalenga umekuja kujengwa na Chief Adam Sapi miaka ya 1950's
Muingiliano kati ya Wahehe na Waarabu ilikuwa ni sbb ya biashara,Mtwa Mkwawa alikuwa na "shamba lake la pembe za ndovu" ambazo aliwauzia Waarabu,eneo hilo la "shamba" ndio mbuga ya Ruaha National Park ya sasa(Utakumbuka ndio mbuga yenye tembo wengi kuliko zote)
Walichoinga wahehe kwa Waarabu ni vazi,lkn Muhehe hakutaka liwe kama kanzu,yeye aliita "mgolole" na kichwani alijivika kiremba huku chini akivaa "lubega" nyeupa,hili ndio vazi rasmi la Wahehe mpaka leo
Kumbukumbu za Maandishi ya Kiarabu ya Makumbusho ya Mkwawa,ni yale aliokuwa nayo Sapi wakati akiwa Liwali kule Kilwa,akiwasiliana na wafanyabiashara wa kirabu kwa niaba ya Wajerumani,na Adam ndio aliyejengea kaburi la baba yake Sapi kwa mtindo wa kiislam baada ya kurudi toka Makerere na kukabidhiwa Uchief
Wahehe waliupokea Ukristo Ukatoliki toka kwa Wamisionari,na hasa Wamisionari wa Consolata toka Italia mwaka 1896 eneo la Tosamaganga,baadae Wamisionari hao wakasambaa eneo la Madibira bonde la Ihefu,Rujewa eneo la Usangu,Nyabula,Ilole na Pawaga.Toka mwaka 1896 Vatican ilituma Padre Francesco Caligliero(Mwenye jina la shule ya Cagliero iliyopo Ipogoro Iringa) kueneza Ukristo na kuifanya Iringa kama sehemu ya Metroponia ya Nyanda za Juu za Tanganyika,baadae ilipokomaa ndipo Papa akateua Askofu toka Italy kuja kuwa askofu wa Iringa,huyu Mzungu aliitwa Attilio Betlamino na alifia Tosamaganga na kuzikwa ndani ya kanisa hilo.
Cc barafu UncleBen Ngongo Nyani Ngabu Mimi Mwanakijiji Tangawizi Yericko Nyerere naiman64
Barafu,Ngaliba Dume asante sana kwa kuniita na kwa maelezo haya,ninaafikiana na wewe sbb maelezo yako kweli hayapishani sana na yale juu niliyotoa mimi.Na ukiona "gwiji" wa historia kama Mzee wetu Mohamed Said kaonekana kukushukuru basi safi
Kama hijawa documented hiyo basinimepoteaMkwawa alikuwa anajua kiarabu na alikitumia kama lugha ya mawasiliano na waarabu katika maswala ya kibishara hizo picha ni baaz ya barua alizoziandika chifu mkwawa
Rumaliza atakuaje na "jina halisi" la Khalfan bin Khamis al Barwani?Itakubidi umjue mshirika mkubwa wa Mkwawa, Rumaliza mzaliwa wa Lindi
ambae jina lake halisi ni Muhammad bin Khalfan bin Khamis al Barwani.
Rumaliza ndiye aliyekuwa akimpa silaha Mkwawa apambane na Wajerumani
na silaha hizi alikuwa akizitoa Zanzibar.
Kwameh,Rumaliza atakuaje na "jina halisi" la Khalfan bin Khamis al Barwani?
Huoni kama ni aibu na kituko kwa Rumaliza kuwa na "jina halisi" la Kiarabu? Haiwezekani, unatudanganya!
You are betraying African pride, the Bantu identity. Kisa? Kukumbatia dini za watu wengine!
Huwezi kukuta Muarabu anasema eti anaitwa "jina halisi" Rwaitama Sikujua.
Rumaliza atakuaje na "jina halisi" la Khalfan bin Khamis al Barwani?
Huoni kama ni aibu na kituko kwa Rumaliza kuwa na "jina halisi" la Kiarabu? Haiwezekani, unatudanganya!
You are betraying African pride, the Bantu identity. Kisa? Kukumbatia dini za watu wengine!
Huwezi kukuta Muarabu anasema eti anaitwa "jina halisi" Rwaitama Sikujua.
Waarabu.Dini za watu wengine wepi unazoziongelea mbona hueleweki?
Kwameh,Waarabu.
Mtu anaeitwa "Rumaliza" hawezi kuwa na "jina halisi" na Kiarabu.
Waarabu na Wazungu wameleta dini zao, majina yao, tamaduni, mavazi, na lugha zao. Tumeyakumbatia kichwa kichwa.
Malcolm X alikuwa anasema ukienda China huwezi kukuta Mchina anaitwa Murphy, au Bunch.
Muafrika ambae hakuelimishwa thamani ya utu wake ndio anasema eti RUMALIZA jina lake halisi ni KHALFANI bin BARWANI.
I mean, kama jina lake halisi ni KHALFANI bin BARWANI amepata wapi jina la RUMALIZA?
Kama sio kumeza mi culture na mi dini ya watu wengine?
Rumaliza atakuaje na "jina halisi" la Khalfan bin Khamis al Barwani?
Huoni kama ni aibu na kituko kwa Rumaliza kuwa na "jina halisi" la Kiarabu? Haiwezekani, unatudanganya!
You are betraying African pride, the Bantu identity. Kisa? Kukumbatia dini za watu wengine!
Huwezi kukuta Muarabu anasema eti anaitwa "jina halisi" Rwaitama Sikujua.