[emoji23]Ni mtazamo wake... yaani mimi kabisa nikae chini niwaamini watu (hovyo) aliowataja wanishawishi kwa hoja? Kundi la watu walio wafu kisiasa na wasio aminika?Aliyeelewa anieleweshe tafadhali
Yaani Trat na traaa!!! Trab!Aliyeelewa anieleweshe tafadhali
Waungane ili wawe kina nani?Hapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono...
Hakuna mwenye nguvu nje ya CCM. Hili nililishuhudia kwa Lowassa aisee.Hapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono...
Dr Bashiru bora angebaki chuo, huyu wa sasa hadi watu wanamuona wa ovyo dahhh!!inasikitisha[emoji23]Ni mtazamo wake..yani mimi kabisa nikae chini niwaamini watu (hovyo) aliowataja wanishawishi kwa hoja? Kundi la watu walio wafu kisiasa na wasio aminika!!?
Mandonga tena 🤣🤣🤣🤣Hivi we jamaa unadhani katika hao uliowataja wanaweza kumfikia walau nusu ya nguvu aliyokuwa nayo Edo wa 2015...
Jamaa amezingua, Watu wenyewe aliowataja hawana hata Ushawishi.Mandonga tena 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Jamaa amezingua, Watu wenyewe aliowataja hawana hata Ushawishi.
Tena umaarufu wao upo chini kuliko Timu ya Ihefu waliowafunga Yanga 😂
Watachinjwa saa mbili asubuhiHapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono...
Wenye kutazama vitu kwa jicho la tatu wameelewaUmeeleweka vizuri kabisaa!
Hapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono...
Wenye kutazama vitu kwa jicho la tatu wameUmeeleweka vizuri kabisaa!
Una hofu mpaka unakimbia kivuli chako mwenyewe.Watachinjwa saa mbili asubuhi