Siku Dkt. Bashiru, Prof. Kabudi au Balozi Polepole wakisimama dhidi ya CCM nitaogopa sana lakini Lissu, Lema na Mbowe hawana maajabu

Siku Dkt. Bashiru, Prof. Kabudi au Balozi Polepole wakisimama dhidi ya CCM nitaogopa sana lakini Lissu, Lema na Mbowe hawana maajabu

Bashiru, Polepole na Kabudi, wanatisha kwenye siasa. Hata samia na kikwete wanajua hilo na wanakazi ya kuwachunga wasijeungana kuleta upinzani.

Huu ni ukweli mchungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Hapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono, Dkt. Magufuli kiutendaji na Dkt. Kikwete kiuzungumzaji. 'Combination' ya watu hao kwa hakika ndio itakayeleta upinzani wa kweli kwa CCM.

Siku ambayo hao watatu wakiungana kuna uwezekana CCM itapata tabu kwa kiasi fulani lakini kama sio hao kizazi hiki hakina mtu nje ya hao wa kuitetemesha CCM.

Sio Lissu, Lema au Mbowe wataweza kuiondoa CCM madarakani wala kizazi kinachotokana na wao.
Mbwa habweki na mifupa mdomoni!.. hao ulowataja matumbo yao ndo priority yao
 
Hapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono, Dkt. Magufuli kiutendaji na Dkt. Kikwete kiuzungumzaji. 'Combination' ya watu hao kwa hakika ndio itakayeleta upinzani wa kweli kwa CCM.

Siku ambayo hao watatu wakiungana kuna uwezekana CCM itapata tabu kwa kiasi fulani lakini kama sio hao kizazi hiki hakina mtu nje ya hao wa kuitetemesha CCM.

Sio Lissu, Lema au Mbowe wataweza kuiondoa CCM madarakani wala kizazi kinachotokana na wao.

Ujengewe sanamu...iwekwe mlima kilimanjaro...
 
Aliyeelewa anieleweshe tafadhali
Mwamba kaongea lakn ajafikiria hao alio wataja wamelelewa katika academy hip kama xi CCM hvo mixing ya siasa wanayo ndo maana anaweza kuwaona niatarii lkn xo Kwa kutetemesha Tena CCM apo ndipo alipo jichanganya
 
Usikariri maisha
Ndivyo ilivyo sio kukariri. Nje ya ccm hawana nguvu wanaweza kuwekwa korokoroni au wakawekwa under house arest na ukaambiwa wanaumwa wako india.
 
Ndivyo ilivyo sio kukariri. Nje ya ccm hawana nguvu wanaweza kuwekwa korokoroni au wakawekwa under house arest na ukaambiwa wanaumwa wako india.

Nakusihi usikariri maisha
 
Nakusihi usikariri maisha
Hiyo ndiyo fact. Nje ya ccm hao hawana nguvu. Hata hayo wanayoyasema ni kwamba tu maza kaamua kuwavumilia angekuwa kama jpm wangeshaanz akuhenyeshwa na hakuna ambaye angewatetea.
 
Back
Top Bottom