Siku Dkt. Bashiru, Prof. Kabudi au Balozi Polepole wakisimama dhidi ya CCM nitaogopa sana lakini Lissu, Lema na Mbowe hawana maajabu

Siku Dkt. Bashiru, Prof. Kabudi au Balozi Polepole wakisimama dhidi ya CCM nitaogopa sana lakini Lissu, Lema na Mbowe hawana maajabu

Hapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono, Dkt. Magufuli kiutendaji na Dkt. Kikwete kiuzungumzaji. 'Combination' ya watu hao kwa hakika ndio itakayeleta upinzani wa kweli kwa CCM.

Siku ambayo hao watatu wakiungana kuna uwezekana CCM itapata tabu kwa kiasi fulani lakini kama sio hao kizazi hiki hakina mtu nje ya hao wa kuitetemesha CCM.

Sio Lissu, Lema au Mbowe wataweza kuiondoa CCM madarakani wala kizazi kinachotokana na wao.
Mbona Pro CCM mnaanza kuhalisha jamani?Mmefanya utafiti lini?Mbona Lissu mnamwogopa sana?Mnapenda kujipa moyo sana?Labda nikwambie ,Lissu hata JPM alipokuwepo alikuwa anatisha sana .Kwa sisi tunqotumia technical analysisi tunajua Lissu atatisha sana.
 
Waadilifu na wazalendo hawatakiwi Awamu hii.
Siyo Waadilifu hao wala uzalendo kwao ni sifuri mtu unauza elimu yako kwa mtawala ama kweli Rushwa ni adui wa haki,pamoja na elimu yao walifanya mambo ya hovyo sana.
 
Baba wa taifa mwalimu Nyerere alisema upinzani wa kweli wa hii nchi utatoka ndani ya CCM.

Ccm inawatu makini wengitu ambao wakiamua kuwa wazalendo wanaweza kufanya maajabu makubwa ya kimaendeleo katika nchi yetu.

Hawa wapinzani hawana uwezo wakuingoza nchi sababu wenyewe hawajiamini.

Kumbuka uchaguzi mkuu 2015 katika nafasi ya urais ndio utajua wapinzani hawajawa na uwezo wa kuongoza.
Hawana uwezo wakuongoza uku wansoongoza hawataki fair play ground.Hizi akili unazo wewe tu ila wanaoongoza hawawazi kijinga hivyo kwasababu wanajua nguvu ya upinzani.
 
Nje ya ccm ni weupe Sana maana ukiwa upinzani hoja yako upimwa kwa ujazo wa ukweli
Pindi polisi wakiwavamia tu watakunya hapohapo
 
Ndiyo maana Humphrey Polepole,Dr.Bashir na Prof.Kabudi hawatakiwi kwa namna yoyote ile maana lengo lao ni kutengeneza matabaka na kuigawa nchi.
Wala hujui kitu wewe. Kwani uliambiwa hakuna matabaka nchi hii.
Hao ni waomini wa tabaka la wavuja jasho maslahi yao kutawala. Sio waomini wa tabaka lenye nacho kushika uongozi kwa maslahi yao.
 
Wala hujui kitu wewe. Kwani uliambiwa hakuna matabaka nchi hii.
Hao ni waomini wa tabaka la wavuja jasho maslahi yao kutawala. Sio waomini wa tabaka lenye nacho kushika uongozi kwa maslahi yao.
Tabaka la Wasiojulikana hilo.
 
Mambo ya aibu🐒🐒🐒
FUWk7ujXwAQ846f.jpeg
 
Hapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono, Dkt. Magufuli kiutendaji na Dkt. Kikwete kiuzungumzaji. 'Combination' ya watu hao kwa hakika ndio itakayeleta upinzani wa kweli kwa CCM.

Siku ambayo hao watatu wakiungana kuna uwezekana CCM itapata tabu kwa kiasi fulani lakini kama sio hao kizazi hiki hakina mtu nje ya hao wa kuitetemesha CCM.

Sio Lissu, Lema au Mbowe wataweza kuiondoa CCM madarakani wala kizazi kinachotokana na wao.
Hakuna upinzani au watia changamoto kama wanavyoitwa siku hizi wa kunadi sera na wananchi wakawaelewa kamwe, kama hawajui basi uwanja huo hapo na siku ya sanduku kuna watu watasingizia wameibiwa wakati wako pamoja na wezi hapo hapo!!!
 
Kabudi ni kama Mwalimu kimaono
Dkt.Bashiru ni kama Magufuli kiutendaji
Polepole kama Kikwete kiuzungumzaji
Naomba kujua umri wako kwanza tafadhali kabla sijakujibu kwa hoja.
 
NAHISI MWIGULU ATAPATA TABU SANA HUU MSIMU, HUKO ALIKO MAPIGO YA MOYO MBIO MBIO. ILA NAHISI KUWAPOTEZA SANA WATU KWA PRESHA..SABABU YA HII MIKUTANO YA HADHARA..YANGU MACHO NA MASIKIO JAMANI
 
Back
Top Bottom