Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Baba wa taifa mwalimu Nyerere alisema upinzani wa kweli wa hii nchi utatoka ndani ya CCM.
Ccm inawatu makini wengitu ambao wakiamua kuwa wazalendo wanaweza kufanya maajabu makubwa ya kimaendeleo katika nchi yetu.
Hawa wapinzani hawana uwezo wakuingoza nchi sababu wenyewe hawajiamini.
Kumbuka uchaguzi mkuu 2015 katika nafasi ya urais ndio utajua wapinzani hawajawa na uwezo wa kuongoza.
Ccm inawatu makini wengitu ambao wakiamua kuwa wazalendo wanaweza kufanya maajabu makubwa ya kimaendeleo katika nchi yetu.
Hawa wapinzani hawana uwezo wakuingoza nchi sababu wenyewe hawajiamini.
Kumbuka uchaguzi mkuu 2015 katika nafasi ya urais ndio utajua wapinzani hawajawa na uwezo wa kuongoza.