- Thread starter
- #61
Siku ukijua huwa kinaongea chenyewe usiku lazima ukiogopeIweje mtu akiogope kinyago chako mwenyewe ulichokichonga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ukijua huwa kinaongea chenyewe usiku lazima ukiogopeIweje mtu akiogope kinyago chako mwenyewe ulichokichonga?
Hapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono, Dkt. Magufuli kiutendaji na Dkt. Kikwete kiuzungumzaji. 'Combination' ya watu hao kwa hakika ndio itakayeleta upinzani wa kweli kwa CCM.
Siku ambayo hao watatu wakiungana kuna uwezekana CCM itapata tabu kwa kiasi fulani lakini kama sio hao kizazi hiki hakina mtu nje ya hao wa kuitetemesha CCM.
Sio Lissu ,Lema au Mbowe wataweza kuiondoa CCM madarakani wala kizazi kinachotokana na wao.
Miaka 60 mnajenga nchi au njaa ? Hali mliyojenga ndiyo hii
Mnajenga mnara wa Babeli😝😝😝Tunajenga
Mnajenga mnara wa Babeli😝😝😝
Hapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono, Dkt. Magufuli kiutendaji na Dkt. Kikwete kiuzungumzaji. 'Combination' ya watu hao kwa hakika ndio itakayeleta upinzani wa kweli kwa CCM.
Siku ambayo hao watatu wakiungana kuna uwezekana CCM itapata tabu kwa kiasi fulani lakini kama sio hao kizazi hiki hakina mtu nje ya hao wa kuitetemesha CCM.
Sio Lissu, Lema au Mbowe wataweza kuiondoa CCM madarakani wala kizazi kinachotokana na wao.
Hawahawa wauaji wa watu waliokuwa wanaokotwa kwenye viroba? Kwanza Nashiru alikuwa MC au katibu mkuu? Mi nilikuwa sielewi kazi yake na chongolo amekuna kumfundisha nini mana ya katibu mkuuHapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono, Dkt. Magufuli kiutendaji na Dkt. Kikwete kiuzungumzaji. 'Combination' ya watu hao kwa hakika ndio itakayeleta upinzani wa kweli kwa CCM.
Siku ambayo hao watatu wakiungana kuna uwezekana CCM itapata tabu kwa kiasi fulani lakini kama sio hao kizazi hiki hakina mtu nje ya hao wa kuitetemesha CCM.
Sio Lissu, Lema au Mbowe wataweza kuiondoa CCM madarakani wala kizazi kinachotokana na wao.
kile chama cha wajane mmeshakisajili?Umeeleweka vizuri kabisa!
Na Watanzania wazalendo.Hawatakiwi na nani?
Watanzania wazalendo wote wanawataka wazalendo wenzaoNa Watanzania wazalendo.
Ndiyo hatutaki viongozi kutoka Rwanda,Burundi,Uganda au Chato Empire.Watanzania wazalendo wote wanawataka wazalendo wenzao
Kutoka oman jeNdiyo hatutaki viongozi kutoka Rwanda,Burundi,Uganda au Chato Empire.
Unafikiri kuwa upinzani ni lelemama?Upinzani unahitaji watu wenye kariba ya hao niliowataja usonge mbele ,kizazi Cha lema ,lissu na Mbowe kinaurudisha nyuma sana upinzani
Nyie CCM mmeshaanza kuogopa CDM baada ya mama kulazimika kusalimu amri kwa kamanda Mbowe. Tulieni yule dikteta uchwara hayupo safari hii.Hapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono, Dkt. Magufuli kiutendaji na Dkt. Kikwete kiuzungumzaji. 'Combination' ya watu hao kwa hakika ndio itakayeleta upinzani wa kweli kwa CCM.
Siku ambayo hao watatu wakiungana kuna uwezekana CCM itapata tabu kwa kiasi fulani lakini kama sio hao kizazi hiki hakina mtu nje ya hao wa kuitetemesha CCM.
Sio Lissu, Lema au Mbowe wataweza kuiondoa CCM madarakani wala kizazi kinachotokana na wao.
Karibu ndiyo hiyo watu wanalishwa ndizi mbichi au tusubiri waanze kulishwa mihogo mibichi 😝😝😝Endelea kusubiri karibu utajua😁😁😁
Hawana lolote hao, wengine wametoka jalalani!Hapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono, Dkt. Magufuli kiutendaji na Dkt. Kikwete kiuzungumzaji. 'Combination' ya watu hao kwa hakika ndio itakayeleta upinzani wa kweli kwa CCM.
Siku ambayo hao watatu wakiungana kuna uwezekana CCM itapata tabu kwa kiasi fulani lakini kama sio hao kizazi hiki hakina mtu nje ya hao wa kuitetemesha CCM.
Sio Lissu, Lema au Mbowe wataweza kuiondoa CCM madarakani wala kizazi kinachotokana na wao.