[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Bashiru, Polepole na Kabudi, wanatisha kwenye siasa. Hata samia na kikwete wanajua hilo na wanakazi ya kuwachunga wasijeungana kuleta upinzani.
Huu ni ukweli mchungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbwa habweki na mifupa mdomoni!.. hao ulowataja matumbo yao ndo priority yaoHapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono, Dkt. Magufuli kiutendaji na Dkt. Kikwete kiuzungumzaji. 'Combination' ya watu hao kwa hakika ndio itakayeleta upinzani wa kweli kwa CCM.
Siku ambayo hao watatu wakiungana kuna uwezekana CCM itapata tabu kwa kiasi fulani lakini kama sio hao kizazi hiki hakina mtu nje ya hao wa kuitetemesha CCM.
Sio Lissu, Lema au Mbowe wataweza kuiondoa CCM madarakani wala kizazi kinachotokana na wao.
Kama ujaelewa akili ndogoAliyeelewa anieleweshe tafadhali
Hapa nayazungumzia magijwi hodari wa kujenga na kutetea hoja. Ni watu ambao kwa mfanano wamebeba taswira za Baba wa taifa kimaono, Dkt. Magufuli kiutendaji na Dkt. Kikwete kiuzungumzaji. 'Combination' ya watu hao kwa hakika ndio itakayeleta upinzani wa kweli kwa CCM.
Siku ambayo hao watatu wakiungana kuna uwezekana CCM itapata tabu kwa kiasi fulani lakini kama sio hao kizazi hiki hakina mtu nje ya hao wa kuitetemesha CCM.
Sio Lissu, Lema au Mbowe wataweza kuiondoa CCM madarakani wala kizazi kinachotokana na wao.
Hakuna mwenye nguvu nje ya CCM. Hili nililishuhudia kwa Lowassa aisee.
Chama dola kitakupa kesi zote ukienda against hata kama ulikuwa nani.
Hakuna mwenye nguvu nje ya CCM nobodyUsikariri maisha
Hakuna mwenye nguvu nje ya CCM nobody
Bashiru, Polepole na Kabudi, wanatisha kwenye siasa. Hata samia na kikwete wanajua hilo na wanakazi ya kuwachunga wasijeungana kuleta upinzani.
Huu ni ukweli mchungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwamba kaongea lakn ajafikiria hao alio wataja wamelelewa katika academy hip kama xi CCM hvo mixing ya siasa wanayo ndo maana anaweza kuwaona niatarii lkn xo Kwa kutetemesha Tena CCM apo ndipo alipo jichanganyaAliyeelewa anieleweshe tafadhali
Ndivyo ilivyo sio kukariri. Nje ya ccm hawana nguvu wanaweza kuwekwa korokoroni au wakawekwa under house arest na ukaambiwa wanaumwa wako india.Usikariri maisha
Ndivyo ilivyo sio kukariri. Nje ya ccm hawana nguvu wanaweza kuwekwa korokoroni au wakawekwa under house arest na ukaambiwa wanaumwa wako india.
Hiyo ndiyo fact. Nje ya ccm hao hawana nguvu. Hata hayo wanayoyasema ni kwamba tu maza kaamua kuwavumilia angekuwa kama jpm wangeshaanz akuhenyeshwa na hakuna ambaye angewatetea.Nakusihi usikariri maisha