Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Siweki neno:
Lakini ukitaka kujua kwa nini wamachinga walimlilia sana, kujitokeza kwa wingi njiani kumzika ni hii hapo juu
Hata Rais wa awanu ya pili mzee Ali Hassan Mwinyi wakati akisoma Tanzia yake huko Chato, alimsifu Hayati kwa kutowasumbua wamachinga kwenye utawala wake!
Wamachinga wanatafuta hela ya kula, Wasaidiwe kwa kujengewa miundombinu kwanza na siyo kufukuzwafukuzwa kama mbwa