chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Hamna aliyesema wafukuzwe kama mbwa..waondolewe barabaraniBado sijaona sababu ya msingi kabisa ya kuwaondoa wamachinga barabarani.
Kama wanaziba njia na wanakaa kwenye mifereji ilo linazungumzika na inawezekana kuwasogeza sio kuwafukuza kama mbwa. Hii nchi ni ya kila mmoja.
Kuna watu nimeona wanasema nchi za weupe hakuna wamachinga....nawaambia watembee waone kuna nchi wamachinga mpaka kwenye reli.