Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,159
- 1,274
waende wanapotakiwa kuwa(jina iulizwe serikali sio mimi),barabara sio soko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waende wanapotakiwa kuwa(jina iulizwe serikali sio mimi),barabara sio soko
Hili swali ni vyema iulizwe serikali,ila kwa kiufupi ni kwamba barabarani siyo sehemu sahihi ya kufanyia biashara-Barabara ina matumizi yake sahihi yaliyo-ainishwa kisheria.Waende wakafanyie biashara wapi?
Hili swali ni vyema iulizwe serikali,ila kwa kiufupi ni kwamba barabarani siyo sehemu sahihi ya kufanyia biashara-Barabara ina matumizi yake sahihi yaliyo-ainishwa kisheria.
Hata Yesu walisema anavunja torati ya Musa… R. I. P jiwe walilolikataa wajenzi huru.Magufuli alikuwa anavunja sheria alizozikuta.
Machinga barabarani lazima waondokee siyo ombi.
Kwa hiyo una-maanisha kwa kuwa nchi flani wanafanya upuuzi,kuiga kunafanya upuuza kuwa busara?
Baadaye huo utaratibu ulipoanza kuwekwa akafoka sana, akasema waachwe wauze popote wanapojisikia na wasisumbuliweKwenye hiyo video JPM anataka wapewe utaratibu mzuri wa kufanya biashara kabla ya kuwaondoa.
Ni kufuru kumlinganisha Jiwe na Jina lipitalo makina yote.Hata Yesu walisema anavunja torati ya Musa… R. I. P jiwe walilolikataa wajenzi huru.
Achana nae huyu! Chuki zake dhidi ya Samia na ukabila wake zinamfanya ajitoe ufahamu humu siku hizi!Na wewe unaunga mkono wakapange biashara hata kwenye mlango wa ofisi ya Mkuu wa Wilaya? Hilo litakuwa ni Taifa la namna gani? JPM anafahamika alikuwa mtu wa kupenda sifa za hovyo hovyo especially kutoka kwenye makundi ya watu wenye uelewa mdogo katika jamii
Pia kikubwa kwa jamii yoyote iliyostaarabika huwezi jenga barabara na kuanza kuitumia kama soko!! Wote tunaonekana hamnazo!! Halafu watu wanapita barabarani na kugongwaWavuvi wanalipa kodi?
Wakulima wanalipa kodi?
Wafugaji wanalipa kodi?
Mnachekesha na vijisababu vyenu 😂😂
Treli ikitaka kupita inawasubiri waondoshe bidhaa?Bado sijaona sababu ya msingi kabisa ya kuwaondoa wamachinga barabarani.
Kama wanaziba njia na wanakaa kwenye mifereji ilo linazungumzika na inawezekana kuwasogeza sio kuwafukuza kama mbwa. Hii nchi ni ya kila mmoja.
Kuna watu nimeona wanasema nchi za weupe hakuna wamachinga....nawaambia watembee waone kuna nchi wamachinga mpaka kwenye reli.
Nchi ina shida kubwa hivyo ya ardhi ya kufanyia biashara!?Waende wakafanyie biashara wapi?
Hawaondolewi wanapangwa sehemu stahiki watambuliwe na sio kusababisha usumbufu kwa wafanyabiashara wenzao ambao kodi zote stahiki wanalipaSerikali ya ccm imeshindwa kwenye suala la ajira,ni uonevu kuwaondoa machinga pasipo tengeneza kwanza mifumo ya uzalishaji Ili vijana warudi kwenye uzalishaji na sio kuwa wachuuzi na madalali wa kuuza bidhaa za viwanda vya China na kukuza uchumi wa china.
Mkoloni aliweza maliza tatizo la ajira nchini kwa raslimali hizi hizi ambazo serikali ya ccm ni kipofu kuzitumia.
Wewe hujui kitu kabisa....JPM alikuwa anafahamu Hali halisi ya maisha ya mtu wa kawaida...JPM aliagiza machinga wawekewe utaratibu mzuri na siyo kwenda kumwaga bidhaa zao Kama utawala wa makaburu...Nadhani wewe ni miongoni mwa wapotoshaji wakubwa au huelewi namna watu wanavyoteseka kimaisha...kumbuka machinga wa Sasa ni tofauti na wale wa miaka ya nyuma...kwenye umachinga wa Sasa wapo waliofika vyuo vikuu na wenye elimu ya sekondari waliokosa ajira...wako kwa maelfu na maelfu nchi nzima mijini na vijijini...Nyie endeleeni kushabikia ujinga unaofanywa na baadhi ya viongozi wa Sasa wa serikali ya awamu ya sita...mtakuja kujuta..pale vurugu zikitokea kwa magari kushambuliwa, ofisi kuchomwa Moto na maduka kuunguzwa sijui mtajificha wapi...siyo kwamba mtu anapenda kutandaza bidhaa barabarani anafanya hivyo ili apate chochote kuilisha familia na kusomesha watoto wake...eti Sasa mtu anakuja kukanyaga bidhaa hizo ambazo mtaji wake labda ni sh. 40 elfu tu....Mimi kamwe siwezi kushabikia dhuluma, ujinga na upumbavu wa Aina hii...ni unyama kwa kweli...Sasa ipo baadhi ya mijitu ndani ya serikali ya Sasa inadhani huu ndio wakati wa Kula...inafanya vitendo vya hovyo San wea ambavyo vinamchonganisha Raise na wananchi...Hivi Sasa Mama hazungumzwi vizuri mitaani kwa sababu ya mijitu iliyoko madarakani inayofanya vitendo vya kinyama kabisa...Mijitu hi nadhani imeamua kumhujumu Rais.....upo wakati Mama anasema nendeni mkakae vizuri na wamachinga na kuweka utaratibu mzuri yenyewe yanaziba masikio na siku ya pili yanaanza kubomoa vibanda huko vingunguti na kwingineko...hovyo kabisa...Na wewe unaunga mkono wakapange biashara hata kwenye mlango wa ofisi ya Mkuu wa Wilaya? Hilo litakuwa ni Taifa la namna gani? JPM anafahamika alikuwa mtu wa kupenda sifa za hovyo hovyo especially kutoka kwenye makundi ya watu wenye uelewa mdogo katika jamii