Siku hayati Magufuli aliposimama imara kutetea wamachinga, mbele ya Samia

Siku hayati Magufuli aliposimama imara kutetea wamachinga, mbele ya Samia


Siweki neno:

Lakini ukitaka kujua kwa nini wamachinga walimlilia sana, kujitokeza kwa wingi njiani kumzika ni hii hapo juu

Hata Rais wa awanu ya pili mzee Ali Hassan Mwinyi wakati akisoma Tanzia yake huko Chato, alimsifu Hayati kwa kutowasumbua wamachinga kwenye utawala wake!

Wamachinga wanatafuta hela ya kula, Wasaidiwe kwa kujengewa miundombinu kwanza na siyo kufukuzwafukuzwa kama mbwa
Maamuzi ya Magufuli kwa suala la wamachinga hayakuzingatia sheria,it was temporary and cheap popularity.

Uvunjifu wa sheria unaweza kuleta nafuu bandia na ya muda tu kwa kundi linalofaidika. Bali uhalisia unapofuatwa matokeo ni maumivu na kilio.
 

Siweki neno:

Lakini ukitaka kujua kwa nini wamachinga walimlilia sana, kujitokeza kwa wingi njiani kumzika ni hii hapo juu

Hata Rais wa awanu ya pili mzee Ali Hassan Mwinyi wakati akisoma Tanzia yake huko Chato, alimsifu Hayati kwa kutowasumbua wamachinga kwenye utawala wake!

Wamachinga wanatafuta hela ya kula, Wasaidiwe kwa kujengewa miundombinu kwanza na siyo kufukuzwafukuzwa kama mbwa
Maamuzi ya Magufuli kwa suala la wamachinga hayakuzingatia sheria,it was temporary and cheap popularity.

Uvunjifu wa sheria unaweza kuleta nafuu bandia na ya muda tu kwa kundi linalofaidika. Bali uhalisia unapofuatwa matokeo ni maumivu na kilio
 
Mnawapigia kelele machinga watoke bara barani ili mpitishe magari yenu, yes mpo sahihi lakini kumbukeni kuwa kuna watu hawana ajira na wanafamilia, wanategemea wauze magazeti, wauze mahindi ya kuchoma bara barani walishe familia

Kifupi ajira nchini ni janga kubwa kwa Taifa, wanaofukuza leo hao machinga wanasahau kwamba nao wamewahi kuwa machinga either kwa kuuza vitumbua/maandazi, pipi, sigara, bazoka n.k. kabla hawajafika hapo walipofika! Leo ndo wamekuwa wanyanyasaji wa wenzao. Ajira za serikali nchi nzima ni 750k Na binafisi ni 2.85m sasa hao Watanzania 58m nani atawaajiri nani atalisha familia zao kama sio kwa njia ya Umachinga kujipatia ridhiki ili kusogeza siku?! Leo Mtanzania anamnyanyasa Mtanzania mwenzake kisa anahadhi ya kukaa kwenye V8 kashasahau alikotoka.
 

Siweki neno:

Lakini ukitaka kujua kwa nini wamachinga walimlilia sana, kujitokeza kwa wingi njiani kumzika ni hii hapo juu

Hata Rais wa awanu ya pili mzee Ali Hassan Mwinyi wakati akisoma Tanzia yake huko Chato, alimsifu Hayati kwa kutowasumbua wamachinga kwenye utawala wake!

Wamachinga wanatafuta hela ya kula, Wasaidiwe kwa kujengewa miundombinu kwanza na siyo kufukuzwafukuzwa kama mbwa
Hakuna freedom isiyo na mipaka
 
Na wewe unaunga mkono wakapange biashara hata kwenye mlango wa ofisi ya Mkuu wa Wilaya? Hilo litakuwa ni Taifa la namna gani? JPM anafahamika alikuwa mtu wa kupenda sifa za hovyo hovyo especially kutoka kwenye makundi ya watu wenye uelewa mdogo katika jamii
kwan mkuu wa wilaya yeye ni nan? an uspecial gan mpk watu washndwe kufny biashara kisa yeye? haya matabaka yenu yakipuuz ndyo yanayowafany watu wapende kukwepa kulpa kodi ili kuikomoa serkal, pia waone siasa ndpo sehem ya kuchumia mali, badala ya kufny kazi....acha ubaguz
 

Siweki neno:

Lakini ukitaka kujua kwa nini wamachinga walimlilia sana, kujitokeza kwa wingi njiani kumzika ni hii hapo juu

Hata Rais wa awanu ya pili mzee Ali Hassan Mwinyi wakati akisoma Tanzia yake huko Chato, alimsifu Hayati kwa kutowasumbua wamachinga kwenye utawala wake!

Wamachinga wanatafuta hela ya kula, Wasaidiwe kwa kujengewa miundombinu kwanza na siyo kufukuzwafukuzwa kama mbwa
Mkuu falsafa ya mmachinga ni ngumu kuliko unavyoiongelea humu jukwaani. Uwepo wao umesababishwa na kifo cha viwanda vingi vilivyokuwa vimeajiri maelfu ya nguvu kazi.

Watu 15 waliotoka kufanya kazi kiwanda fulani wanakwenda kupata mtaji wa aina moja na wanauza vitu vya aina moja, matokeo yake wote wanafilisika kwa wakati mmoja!. Ni aina fulani ya ugangaji wa njaa usio na uhakika wa kesho itakuwa vipi.

Nawaonea huruma nikiamini suluhisho ni ufufuaji wa viwanda vingi huko mikoani. Mama Samia akiwa anatekeleza muelekeo mpya na aanze kuufikiria upya uwepo wa mtaji mkubwa utakaowainua wamachinga. Vinginevyo ni jeshi linaloongezeka na lenye mwisho wenye kukatisha tamaa.
 
IMG_7519.jpg

Noma sana,
 
Nchi. Hii bwana,ajira hakuna,watu wameajiajiri kwenye umachinga,badala ya Serikali kuwatafutia utaratibu mzuri wa kufanya biashara,serikali inawafukuza kama inatoa kinyesi,sasa mnawafukuza waende wapi?waishi vipi?
 
Wewe hujui kitu kabisa....JPM alikuwa anafahamu Hali halisi ya maisha ya mtu wa kawaida...JPM aliagiza machinga wawekewe utaratibu mzuri na siyo kwenda kumwaga bidhaa zao Kama utawala wa makaburu...Nadhani wewe ni miongoni mwa wapotoshaji wakubwa au huelewi namna watu wanavyoteseka kimaisha...kumbuka machinga wa Sasa ni tofauti na wale wa miaka ya nyuma...kwenye umachinga wa Sasa wapo waliofika vyuo vikuu na wenye elimu ya sekondari waliokosa ajira...wako kwa maelfu na maelfu nchi nzima mijini na vijijini...Nyie endeleeni kushabikia ujinga unaofanywa na baachi ya viongozi wa Sasa wa serikali ya awamu ya sita...mtakuja kujuta..pale vurugu zikitokea kwa magari kushambuliwa, ofisi kuchomwa Moto na maduka kuunguzwa sijui mtajificha wapi...siyo kwamba mtu anapenda kutandaza bidhaa barabarani anafanya hivyo ili apate chochote kuilisha familia na kusomesha watoto wake...eti Sasa mtu anakuja kukanyaga bidhaa hizo ambazo mtaji wake labda ni dh. 40 elfu tu....Mimi kamwe siwezi kushabikia dhuluma, ujinga na upumbavu wa Aina hii...ni unyama kwa kweli...Sasa ipo baadhi ya mijitu ndani ya serikali ya Sasa inadhani huu ndio wakati wa Kula...inafanya vitendo vya hovyo Sasa ambavyo vinamchonganisha Raise na wananchi...Hivi Sasa Mama hazungumzwi vizuri mitaani kwa sababu ya mijitu iliyoko madarakani inayofanya vitendo vya kinyama kabisa...Mijitu hi nadhani imeamua kumhujumu Rais.....upo wakati Mama anasema nendeni mkakae vizuri na wamachinga na kuweka utaratibu mzuri yenyewe yanaziba masikio na siku ya pili yanaanza kubomoa vibanda huko vingunguti na kwingineko...hovyo kabisa...
Kila miundombinu iliwekwa kwa kazi yake maalum, so wewe unafurahi wamachinga kuziba barabara, njia za watembea kwa miguu, mitaro ya maji, kupanga biashara zao mbele ya maduka ya watu, kutumiwa na wenye maduka kuwauzia bidhaa zao ili kukwepa kodi?? Huo ni ujinga!! Utaratibu wanaowekewa hawautaki, wanataka wabembelezwe, wao ni akina nani hasa hadi wabembelezwe kwenye hii nchi? Kuna makundi mengi tu nchi hii na hayabembelezwi, wao ni akina nani haswa?? Serikali makini haiwezi kuogopa kufanya jambo sahihi kisa eti watu watafanya vurugu, ni serikali dhaifu na iliyofeli tu ndiyo itaogopa kufanya maamuzi sahihi!! Waambie wafanye hizo vurugu zao then watajua nini maana ya mamlaka!! And sidhani kama kiongozi anayejiamini ataogopa kuwa unpopular kwa ajili ya kufanya maamuzi sahihi, viongozi wasiojiamini pekee ndiyo huwa wanapenda kuwatumia watu kama machinga kusaka sifa za kijinga...
 
kwan mkuu wa wilaya yeye ni nan? an uspecial gan mpk watu washndwe kufny biashara kisa yeye? haya matabaka yenu yakipuuz ndyo yanayowafany watu wapende kukwepa kulpa kodi ili kuikomoa serkal, pia waone siasa ndpo sehem ya kuchumia mali, badala ya kufny kazi....acha ubaguz
Waruhusu waje wapange bidhaa na mlangoni kwako
 
Back
Top Bottom