Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,804
Maamuzi ya Magufuli kwa suala la wamachinga hayakuzingatia sheria,it was temporary and cheap popularity.
Siweki neno:
Lakini ukitaka kujua kwa nini wamachinga walimlilia sana, kujitokeza kwa wingi njiani kumzika ni hii hapo juu
Hata Rais wa awanu ya pili mzee Ali Hassan Mwinyi wakati akisoma Tanzia yake huko Chato, alimsifu Hayati kwa kutowasumbua wamachinga kwenye utawala wake!
Wamachinga wanatafuta hela ya kula, Wasaidiwe kwa kujengewa miundombinu kwanza na siyo kufukuzwafukuzwa kama mbwa
Uvunjifu wa sheria unaweza kuleta nafuu bandia na ya muda tu kwa kundi linalofaidika. Bali uhalisia unapofuatwa matokeo ni maumivu na kilio.