Siku hayati Magufuli aliposimama imara kutetea wamachinga, mbele ya Samia

Hamna aliyesema wafukuzwe kama mbwa..waondolewe barabarani
 
Wavuvi wanalipa kodi?
Wakulima wanalipa kodi?
Wafugaji wanalipa kodi?

Mnachekesha na vijisababu vyenu [emoji23][emoji23]
Afadhali hao wanafanya uzalishaji kuliko hawa machinga hawazalishi chochote..wakawe wakulima, wavuvi wazalishe
 

Zetu dua🙏
 
Serikali isikwepe wajibu wake, kama haiwezi kutafuta permanent solution basi itafute temporary solution. Hawa watu wanafukuzwa wanaenda wapi?
Warudi walikokua kabla, wote wale walioko mabarabarani wana meza zao katika masoko na minada, wameziacha wamezikodisha kwa machinga wengine, hivyo hakuna ambae hana pa kwenda, hata hivyo si jukumu la mamlaka kuwatafutia mahali pa kuenda , sababu hapo walipo siyo mahali sahihi na ni kinyume na taratibu za mipango miji.
 
Kumbe hata Mwendazake aliona kwamba wamachinga wanahitaji kuwekewa utaratibu mzuri ndio wahamishwe. Ndio agizo la Mama Samia pia. Hawatofautiani.
Nani kasema wanatofautiana? Waguse wamachinga isivyo halali uone muziki wake !
 
Jifunze kuishi bila mwendazake. Kila nabii na zama zake ndugu.
 
Huko kwa weupe ni kwao, ndio maana hata Mkuu wao kasema tusijifananishe nao kwa kutoa mfano wa coca cola.
 
Hivi ni jukumu la nani hasa kuwatafutia watu sehemu za kufanyia biashara zao?
 
Mleta mada unadhani maamuzi yalikuwa sahihi? Unaweza kusolve tatizo kwa njia rahisi lakini ukafanikiwa kwa muda tu. Kwa hali ilivyo kuacha biashara hii bila mpangilio ilikuwa ni kosa kubwa sana na sasa linaigharimu serikali. Hii biashara imekuwa kichaka cha wanaokwepa kodi pia.

We unadhani kila mfanyabiashara akifanya umachinga serikali itatekeleza vipi shuhuli za maendeleo. Maji, Elimu, Barabara, Afya na miundombinu mingine itagharamiwa na nini.

Tuache kuleta kauli za nyuma na kutaka zifuatwe kama msahafu au Biblia. Zilikuwa na mashiko kwa kipindi kile na si sasa.

Raisi alishaweka wazi hataki kukusanya kodi ya dhuluma bali kodi ikusanywe kwa haki. Hivyo tutengeneze mazingira wezeshi kwa wafanyabiashara waweze kulipa kodi. Tulipe kodi kwa maendeleo yetu wenyewe
 
Ubunifu wa Morogoro ulitakiwa kuwa applied nchi nzima .... andaa mazingira then waelekeze watu kwenda sehemu sahihi. JPM namkubali sana kwa kudeal na viongozi wasio wabunifu wasio na mawazo endelevu, wazembe na waoga.
 
Labda utakuwa unaishi Afghanistan wewe... Huwezi kuvua bila leseni, mkulima kuna ushuru wa mazao kwa gunia ukipeleka sokoni, mfugaji ukipeleka mifugo mnadani kuuza unalipa ushuru pale mnadani...
Rudi shule utoe umbumbumbu...kwani machinga si wanalipia vitambulisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…