Siku hizi hata uhudumu wa mabasi unatakiwa uwe na degree

Siku hizi hata uhudumu wa mabasi unatakiwa uwe na degree

Nyie hamjui tu makampuni ya mabasi wanalipa mishahara mizuri sana hasa ukiwa na elimu achana na hizi kazi za upigadebe kuna nyingine km hizo Ticket attendant Managers,wahasibu,na position nyingine zinahitaji wenye elimu na mishahara ni mizuri sana..

Speaking from experience mimi tangu nina miaka 19 nilikuwa nimeajiriwa kwenye kampuni ya mabasi niliajiriwa soon baada ya kumaliza form four,nkaenda Form 5 na 6 mpk chuo bosi akaniomba niendelee kubaki hapo,nikiri wazi kipindi ambacho nipo kwenye mabasi nilikuwa na hela sana ukiachana na mishahara kwenye mabasi kuna upigaji mwingi ambao mnapiga tukio na bosi hata hafahamu mpaka ile kampuni inafirisika(imefirisika kwa bosi kuingia kwenye biashara nyingine lakini sio kifedha)nilishapata mtaji wa kutosha wa kujiajiri...
Acha vijana tu waende huko
Eleza ulikua unalipwa shilingi ngapi kwa mwezi...
 
Kampuni ya mabasi ya ABC imetangaza nafasi za kazi kwa wahudumu wa mabasi (Bus Hostess) ambapo kuna vigezo kadhaa unatakiwa kuwa navyo.

Kigezo kimoja wqpo ni Bachelor Degree in Public Relation, Procurement, Account, Marketing au Business Administration.

Yaani wanataka wahudumu wasomi na sio ngumbaru. Tunakoelekea na hizi teknoljia za akina Chat GPT, tutakuja kuwa na waokota makopo wenye degree.

View attachment 2585512
Mjini ni mipango ya pesa elimu mbwembwe...kuna watu nawajua ni ma agent tu wa ma bus makubwa lakin wana maisha mazuri wana pay bills,wana vibanda vyao na biashara ambazo msingi wake umetokana na na kazi ya agent wa ma bus
 
Wahindi wanalipa chini ya Laki 3. Na watu kazi wanagombania.

Ukiwa kwenye bus hukosi hela ya pembeni nje ya mshahara. Kuna watu wanatuma mizigo midogo kienyeji wanakufata wewe hostess uwafikishie mikoani vibahasha vyao

Kuna abiria wa njiani dereva akipiga dili lazima akupoze
True
 
Kampuni ya mabasi ya ABC imetangaza nafasi za kazi kwa wahudumu wa mabasi (Bus Hostess) ambapo kuna vigezo kadhaa unatakiwa kuwa navyo.

Kigezo kimoja wqpo ni Bachelor Degree in Public Relation, Procurement, Account, Marketing au Business Administration.

Yaani wanataka wahudumu wasomi na sio ngumbaru. Tunakoelekea na hizi teknoljia za akina Chat GPT, tutakuja kuwa na waokota makopo wenye degree.

View attachment 2585512
Safi sana,sioni tatizo as long as wanalipwa stahiki zao vizuri..
Hii itasaidia watu kuona umuhimu wa shule..kupunguza wadada zetu mtaani.

Easy Man💪
 
Kampuni ya mabasi ya ABC imetangaza nafasi za kazi kwa wahudumu wa mabasi (Bus Hostess) ambapo kuna vigezo kadhaa unatakiwa kuwa navyo.

Kigezo kimoja wqpo ni Bachelor Degree in Public Relation, Procurement, Account, Marketing au Business Administration.

Yaani wanataka wahudumu wasomi na sio ngumbaru. Tunakoelekea na hizi teknoljia za akina Chat GPT, tutakuja kuwa na waokota makopo wenye degree.

View attachment 2585512
Yes good
 
ABC ni miongoni mwa kampuni ya mabasi inayolipa vizuri.
Mkifika pale cate Hotel morogoro mnapiga misosomolo kama yote.
 
Nyie hamjui tu makampuni ya mabasi wanalipa mishahara mizuri sana hasa ukiwa na elimu achana na hizi kazi za upigadebe kuna nyingine km hizo Ticket attendant Managers,wahasibu,na position nyingine zinahitaji wenye elimu na mishahara ni mizuri sana..

Speaking from experience mimi tangu nina miaka 19 nilikuwa nimeajiriwa kwenye kampuni ya mabasi niliajiriwa soon baada ya kumaliza form four,nkaenda Form 5 na 6 mpk chuo bosi akaniomba niendelee kubaki hapo,nikiri wazi kipindi ambacho nipo kwenye mabasi nilikuwa na hela sana ukiachana na mishahara kwenye mabasi kuna upigaji mwingi ambao mnapiga tukio na bosi hata hafahamu mpaka ile kampuni inafirisika(imefirisika kwa bosi kuingia kwenye biashara nyingine lakini sio kifedha)nilishapata mtaji wa kutosha wa kujiajiri...
Acha vijana tu waende huko
Mkuu naomba utupe abc za namna ya kupata Kazi huko.

Nafikiria heta Kwa kujitolea nielekeze
 
Back
Top Bottom