Siku hizi matukio yananipita sana

Siku hizi matukio yananipita sana

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Kwema wandugu?
Yani unakuta kuna tukio la kitaifa nakuja kuona matokeo tu mitandaoni. Juzi palikuwa na suala la tuzo za wachekeshaji. Nakuja kuona tu watu wanalalamika yule jamaa hajustahili. Mara yule jamaa aliupiga mwingi (yule wa kuachwa) ndio katika kupita huko X nimakutana na clip.

Hapa nje ya mada. Yule jamaa wa D2 nimetafakari kwa nini alikosa nikagundua kuwa comedy zake zina mambo mengi ya "kikubwa". Wajuaji wakaona hastahili.

Back to topic. Sasa sijakaa sawa nasikia tuzo za Trace Music. Najiuliza huwa wanatangazia wapi? Kama ni taarifa za habari, nimo. Kama ni social media nimo ( jf na X zaidi). Nasikia tu Bien alistahili. Naina Diamond mara Marioo sijui nini.

Kipindi kile Mwamposa anajaza uwanja wa Mkapa wala sikuwa najua. Siku hiyo niko pale maeneo ya Usalama naona watu kama wanaandamana kuelekea huko. Ndio nikaambiwa watu wanaelekea kwa Mkapa kupata miujiza. Dah!

Sasa najiuliza nazeeka? Yapo pia matukio mengi tu ya kisiasa pia. Soka ndio kabisaaa. Nakuja kusikia leo Yanga anacheza. Kampa mtu Hi 5 🖐️. Sijui Al nani kala kichwa cha makolo. Dah!
Tujulishane source za hizi taarifa wakuu. Nataka kuwa updated and uo to date as before
 
Alikosea kumtaja Tembo na kumuakikishia kia hawezi kuwa Mwinjsku
 
Mfano leo nafungua tbc nakutana na matangazo mubashara ya kuombea Taifa amani. Hata sijui walitangaza lini na wakati gani, ila naona tu umati wa kutosha
 
Kwema wandugu?
Yani unakuta kuna tukio la kitaifa nakuja kuona matokeo tu mitandaoni. Juzi palikuwa na suala la tuzo za wachekeshaji. Nakuja kuona tu watu wanalalamika yule jamaa hajustahili. Mara yule jamaa aliupiga mwingi (yule wa kuachwa) ndio katika kupita huko X nimakutana na clip.

Hapa nje ya mada. Yule jamaa wa D2 nimetafakari kwa nini alikosa nikagundua kuwa comedy zake zina mambo mengi ya "kikubwa". Wajuaji wakaona hastahili.

Back to topic. Sasa sijakaa sawa nasikia tuzo za Trace Music. Najiuliza huwa wanatangazia wapi? Kama ni taarifa za habari, nimo. Kama ni social media nimo ( jf na X zaidi). Nasikia tu Bien alistahili. Naina Diamond mara Marioo sijui nini.

Kipindi kile Mwamposa anajaza uwanja wa Mkapa wala sikuwa najua. Siku hiyo niko pale maeneo ya Usalama naona watu kama wanaandamana kuelekea huko. Ndio nikaambiwa watu wanaelekea kwa Mkapa kupata miujiza. Dah!

Sasa najiuliza nazeeka? Yapo pia matukio mengi tu ya kisiasa pia. Soka ndio kabisaaa. Nakuja kusikia leo Yanga anacheza. Kampa mtu Hi 5 🖐️. Sijui Al nani kala kichwa cha makolo. Dah!
Tujulishane source za hizi taarifa wakuu. Nataka kuwa updated and uo to date as before
Majukumu yanaongezeka unakosa muda wa kufatilia mambo yasiyokua na umuhimu. Mimi kuna wasanii maarufu lakini nawasikia kwa majina tu sijui muonekano wao wala nyimbo zao mfano phina, abi cham n.k. Hata hapa mtaani taarifa za matukio ya wiki nzima huwa nazipata kwa wife, asiponipa mutahasari maana yake sijui mtaa unaenda vipi.
 
Majukumu yanaongezeka unakosa muda wa kufatilia mambo yasiyokua na umuhimu. Mimi kuna wasanii maarufu lakini nawasikia kwa majina tu sijui muonekano wao wala nyimbo zao mfano phina, abi cham n.k. Hata hapa mtaani taarifa za matukio ya wiki nzima huwa nazipata kwa wife, asiponipa mutahasari maana yake sijui mtaa unaenda vipi.
Kweli kabisa. Nyakati zinabadilika
 
Back
Top Bottom