Siku hizi UTI sugu na Gono vimejificha kwa mabinti wale warembo sana, kuweni makini

Nakazia ujumbe mkuu, umenena Kweli kbsa
 
Nilipigwa sindanya Doxy ilidunda.

Nikapewa Cipro pills lakini wapi!!

Nikapewa AMOXCLAV ndio ikawa afadhali.

Janeth mtoto mzuri mrefu mweupe daah

UTI SUGU

2017 Hio
 
Hakuna UTI inaeambukizwa kwa njia ya vagina sex au anal sex.. wote mnaosema mmeambukizwa UTI sugu ni mliambukizwa Chlamydia au Gonorrhea baaasii amna stori mingi.
Sure [emoji419] watu wanapata gonococcal urethritis wanasingizia U.T.I, sema in broad terms kwa layman wameshaaminishana hivyo kwa vile maambukizi yanakua yameascend mpaka katika njia ya mkojo. So any urinary tract symptoms wanageneralize kua U.T.I.

Pia hii ya kuita U.T.I flani ni sugu hapo napo wanakosea.
 
Wewe Vero ulininyoosha na Ile uliita mkojo mchafu kumbe gono

Mtoto,pis,mtoto waiti,ila baada ya masaa ma4 miwasho kuanza nilinyooka

Nilipanda Hadi gorofa ya 4 NHIF kutafta kadi yangu ya bima bila kupenda,
Hahahahah pole sana mkuu.
 
Hata useme namna gani hawata kuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…