Vitunguu saumu vina gesi mbaya sana ukivimeza vinaharibu mfumo wammeng'enyo wa chakula japo ni dawa kweli.Mimi naona vinaua labda ukiwa unaviweka huko chini lkn Kwa kumeza sidhni km inahrbu
Mimi naona vinaua labda ukiwa unaviweka huko chini lkn Kwa kumeza sidhni km inahrbu
Duuh apo si utakuwa unaiunga papuchi.Pamoja na mtindi#NAKAZIA
Haviwekwi kwa bibi, ila unameza kama dawa...Duuh apo si utakuwa unaiunga papuchi.
Nataka nikuletee wewe haja zanguKwani wewe hutimbagi haja zako unapeleka kwa paka au
OK 👍Haviwekwi kwa bibi, ila unameza kama dawa...
Kwa nn umeita kwa bibi🤣🤣🤣🤣Haviwekwi kwa bibi, ila unameza kama dawa...
Napunguza ukali wa maneno...Kwa nn umeita kwa bibi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana mbona articles zipo for free soma uelewe vipi mwanaume anapata UTI kupitia ngono ya nyuma.Hueleweki. Mara useme sio ugonjwa wa zinaa in the same breath unasema wala tigo wanapata UTI, hiyo sio zinaa? Huko sio kujamiiana?
Huwakumba wanawake. Husababishwa na bakteria wa magonjwa ya zinaa wanapofika kutoka katika uke kwenda kwenye mfuko wa uzazi wa mwanamkeP.I.D nayo ni ugonjwa gani
Noma sana kweli kweli Mzee wangu 😂Noma sana!
Hiko ni kisa kimoja pekee.Visa vimekuwa ni vingi sana siku hizi watu kuachiwa Gono na uti Sugu kutoka kwa mabinti ambao hawakuwadhania kulingana na urembo na usafi waliokuwa nao watu hawaamini yani wamepataje.
Juzi kuna mkongo kaja ofisini kwangu baada ya kuadimika kwa wilki mbili hakuonekana mjini tulivyomuuliza shida nini akasema kuwa alikuwa anaumwa UTI sugu hadi akalazwa kahangaika kuutibu kwa laki 3, analalamika kuna binti anauza Duka la nguo la jirani ndio kamuambukiza jamaa alitupia voko na Dola za kikongo binti akaelewa na huyo binti ni pisi shombe shombe ya kwenda msafii ukimuangalia ila kamuachia mtu uti sugu wiki mbili yupo kitandani.
Jamaa anasema Congo huko kwao hakuna Uti ndio kaja kuipata hapa tukacheka sana, jamaa anatembea na condom kwenye walet kakoma haswaa.
Ila wanawaambukiza kwa kufanya nini? Maana Babu Njunju anasema mnapotoa TiGo mnatoa na UTI kwa njia hio vipi hapo unasemaje?Ni kweli mkuu, wanawake hawawezi kuambukiza wanaume UTI kwa kujamiiana...
Ila wanawaambukiza kwa kufanya nini? Maana Babu Njunju anasema mnapotoavipiTiGo mnatoa na UTI kwa njia hio
Unakuwa kwenye risk ya kupata maambukizi kwa 65% kabla hata ya kuivaa hiyo condom - chukua hiyoNi vyema tukaendelea kukumbushana kuhusu matumizi sahihi ya Condom, kuwa waaminifu kwenye mahusiano yetu ikiwemo kutokuwa na mahusiano mengi (Multiple partners).
Vijana waambiwe kuwa utamu wa pipi ni mate yako, kwahiyo unaweza kutumia mpira na ukapata ladha ile ile tarajiwa 🤗
Huwakumba wanawake. Husababishwa na bakteria wa magonjwa ya zinaa wanapofika kutoka katika uke kwenda kwenye mfuko wa uzazi wa mwanamke