Siku hizi UTI sugu na Gono vimejificha kwa mabinti wale warembo sana, kuweni makini

Siku hizi UTI sugu na Gono vimejificha kwa mabinti wale warembo sana, kuweni makini

Ebu zipigie Nyagi kubwa uone kama kuna UTI, kaswende, gonorea au pangusa itakusogelea.....☹️Tusitishane aloooo....😠
 
Chemsheni mizizi ya minazi mnywe washenzi nyie ama mkikosa mnazi chemsheni majani ya miwa inatibu .U.T.I sugu.acheni kushindana na maku,kumamaku zenu.Mi kitu Huwa nafanya nikija kupiga show nameza Azuma na maji ya kutosha Huwa nkimaliza mkojo unakuwa umejaa na Azuma insaidia kusafisha zile mataka taka zake.Some time Huwa nasimamisha show napiga funda za maji mbili za kibabe theni ndo namuweka doggy style.acheni ufala nyie mafala.
 
Hueleweki. Mara useme sio ugonjwa wa zinaa in the same breath unasema wala tigo wanapata UTI, hiyo sio zinaa? Huko sio kujamiiana?
Pole sana mbona articles zipo for free soma uelewe vipi mwanaume anapata UTI kupitia ngono ya nyuma.

Ngono ya mbele haileti UTI bali magonjwa ya zinaa..ngono ya nyuma inabeba vyote UTI na STDs
 
Visa vimekuwa ni vingi sana siku hizi watu kuachiwa Gono na uti Sugu kutoka kwa mabinti ambao hawakuwadhania kulingana na urembo na usafi waliokuwa nao watu hawaamini yani wamepataje.

Juzi kuna mkongo kaja ofisini kwangu baada ya kuadimika kwa wilki mbili hakuonekana mjini tulivyomuuliza shida nini akasema kuwa alikuwa anaumwa UTI sugu hadi akalazwa kahangaika kuutibu kwa laki 3, analalamika kuna binti anauza Duka la nguo la jirani ndio kamuambukiza jamaa alitupia voko na Dola za kikongo binti akaelewa na huyo binti ni pisi shombe shombe ya kwenda msafii ukimuangalia ila kamuachia mtu uti sugu wiki mbili yupo kitandani.

Jamaa anasema Congo huko kwao hakuna Uti ndio kaja kuipata hapa tukacheka sana, jamaa anatembea na condom kwenye walet kakoma haswaa.
Hiko ni kisa kimoja pekee.

Nawe uliambukizwa na pisi kali au umeweka uzi kuwadisi wanawake kwa ujumla wao?
 
Tunapata UTI kwa kujamiiana kwa back door na hiyo hupata hata wanaofanya ngono ya watu wa jinsi moja.

Kuna nadharia inasema unaweza kupata UTI mwanaume bila kuichomeka back door kama tu mfano mwanamke amejichokonoa ass kisha akajichokonoa mbele bila kujisafisha. Lakini bado tafiti zinahitajika zaidi kuthibitisha hilo kwa mujibu wa wataalamuna wenyewe.
Ila wanawaambukiza kwa kufanya nini? Maana Babu Njunju anasema mnapotoa
TiGo mnatoa na UTI kwa njia hio
vipi
 
Ni vyema tukaendelea kukumbushana kuhusu matumizi sahihi ya Condom, kuwa waaminifu kwenye mahusiano yetu ikiwemo kutokuwa na mahusiano mengi (Multiple partners).

Vijana waambiwe kuwa utamu wa pipi ni mate yako, kwahiyo unaweza kutumia mpira na ukapata ladha ile ile tarajiwa 🤗
Unakuwa kwenye risk ya kupata maambukizi kwa 65% kabla hata ya kuivaa hiyo condom - chukua hiyo
 
Back
Top Bottom