Siku hizi UTI sugu na Gono vimejificha kwa mabinti wale warembo sana, kuweni makini

Wana wake walio wengi kwa Sasa ni wachafu sana kupitiliza... Sijui wamekumbwa na nini. ( hasa sehemu zao nyeti wananuka shombo kali sana).
.
 
Wana wake walio wengi kwa Sasa ni wachafu sana kupitiliza... Sijui wamekumbwa na nini. ( hasa sehemu zao nyeti wananuka shombo kali sana).
.
Infections tu hizo waende hospital, ila wengi hawana uelewa wanadhani ni uchafu na wanachukua hatua ya usafi uliopitiliza mpaka na perfume wanatumia, kumbe wanaharibu.
 
bado nauliza, vipi maambukizi ya UKIMWI kwa makundi hayo tajwa?
 
Pamoja na haya ulioandika ,jambo la msingi ni kwamba never ever trust any one whether anafanya bank, ikulu,tra,BOT,mwanajeshi, mchungaji,shehe,,mwalimu,mwanafunzi,mkulima or any one else when it comes in the issue of safe sex in our generation, watu wanaonekana wana afya na wamenona lakini mioyoni wamebeba siri zito .
 
Hii ni kwa sababu wanamiliku matoi ya uume zaidi majumbani mwao
 
Ko UTI inaambukizwa kwa anal sex? Huu uongo mtupuuu, na hao wasiofanya anal sex UTI wanatoa wapi??
 
Kwakweli mi kwa sasa sipigi dem yoyote bila ndom… Labda mama watoto tu.. hizi pisi zitatuua… Nilipata Gono plus upele flan hivi (scabies) asee nimetezeka sana sirudii ujinga huu. Pombe zilinicost nikauza match. Nashukuru tu sikupata ngoma ila kiukweli ingekua ndo zama zile hakuna ARV basi wengi tungekua tushaangamia maana nasikia muathirika akiwa anatumia ARV kidogo inapunguza chance ya kusambaza VVU. Sirudii kuuza match[emoji28]
 
Mbna Gays hatuoni wakilalama kuwa wanaumwa UTI, ni wanaume tena hao straight ndo kila kukichaa wanalalama tena wanasema wamepata kwa wanawake.

Yaan kila kitu lazima muhusishe GAYS, khaaah
 
Nakazia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…