Siku hizi Wadada wanaenda kupiga picha na mabegi Airport

Kwa kweli we ndio wife material hakyamungu ! ,Shem kweli alipata jiko ,
 
Kumbe naweza kujipatia kipato nikipeleka mabegi airport kwa ajili ya kuyakodisha wapigie picha !!
 
itabidi walipe kodi
 
Kuna clip nliona,kn dada anasema nyumba kwa mwezi analipia mln 7
Na blahblah kibao
Ukimuangalia tu anaonekana ubongo wake hauko sawa

Ova
🀣🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…