Siku hizi wake wanawaita waume zao "baba chanja", si "mume wangu" tena kama ilivyokuwa zamani

Siku hizi wake wanawaita waume zao "baba chanja", si "mume wangu" tena kama ilivyokuwa zamani

Ummesh

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2015
Posts
2,077
Reaction score
1,142
Nimekua nikimsikia mama akimtaja baba kama mume wake. Anaweza sema " mume wangu" anapokuwa akizungumza na wenzake.

Wamama wa siku hizi sasa, utasikia anasema " baba chanja wangu"

Tena wengi wetu tunaitwa baba chanja
.

Hata mimi leo nimesikia nikiitwa baba chanja alipokuwa akiongea na mwenzie.
Kazi kwelikweli.
 
Ngoja nikae pembeni ya dreva nisome mazingira kila tunapopita.

Wakuu kuna jambo huku mwongozo wenu tafadhar
 
Si bora kakuita baba chanja....

Ungesikia anawaambia "huyu ng'ombe wangu leo hatoki" ndio ungejua hujui
 
Baba chanja×2 chukua vyote chukua[emoji443][emoji441][emoji444]

Nahisi ni jina jipya la kimahaba tu ni swala la misimu mkuu[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom