Siku hizi wanawake wanatamani ndoa, ila hawaipendi

Siku hizi wanawake wanatamani ndoa, ila hawaipendi

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Kuna binti hapa mtaani, ni mstaarabu sana. Nimeforce kadri niwezavyo mpaka nimepata mbususu yake iliyododa. Kabla ya kupata penzi lake tulikuwa ni marafiki tulioshibana sana, alikuwa akinishirikisha masuala yake binafsi kisha naangalia namna ya kutatua. Pia nilizungumza naye kuhusu mambo aliyoyapenda, mojawapo lilikuwa ni suala zima la ndoa

Binti alipenda sana ndoa. Akivutiwa sana na jirani yake aliyekuwa anaishi na mumewe kwa amani na masihara ya hapa na pale, aliishia kusema "waliobahatika kupata waume ndo hao, sie wengine tumekuja kusindikiza tu, maake waoaji siku hizi hakuna".

Baada ya kuwa nimeichezea mbususu yake vya kutosha, nikathibitisha kuwa iko na kiwango cha kuridhisha, mihemko ya mwili wake iko poa, ikabidi sasa nigusie suala la kumuoa. Siku nilipomuelezea alibaki kaduwaa tu

Kwa kufupisha story, niseme tu NIMEMPOTEZA. Yaani hata mbususu yake nimeipoteza pia, akijibu calls zangu anajikeep busy sana. Nimekwisha zungumza hata na mama yake, kaishia kuniambia nielewane nae, yuko radhi kuniachia binti ake hata bure kwa kuwa nimekuwa nao karibu, ananichukulia sawa na mwanae tu

Ila binti ndo kasharuka viunzi, haitaji tena ukaribu na mimi kisa mawazo ya ndoa😥
 
MWANAMKE ukimtangulizia ngono hakika umemuhalibu na umetengeneza bomu ambalo is obviously litakuja kukulipukia mwenyewe


Ngono sio msingi mzuri wa NDOA ndio maana wanaume wengi wanapigwa na vitu vizito na kuja kuanza kuwaponda WANAWAKE kumbe tatizo ni wao


Guys Don give womens f give them knowledge, enlightenment, wisdom and they will thanks you very much for the rest of their lives
 
IMG-20240616-WA0185.jpg
 
Kuna binti hapa mtaani, ni mstaarabu sana. Nimeforce kadri niwezavyo mpaka nimepata mbususu yake iliyododa. Kabla ya kupata penzi lake tulikuwa ni marafiki tulioshibana sana, alikuwa akinishirikisha masuala yake binafsi kisha naangalia namna ya kutatua. Pia nilizungumza naye kuhusu mambo aliyoyapenda, mojawapo lilikuwa ni suala zima la ndoa

Binti alipenda sana ndoa. Akivutiwa sana na jirani yake aliyekuwa anaishi na mumewe kwa amani na masihara ya hapa na pale, aliishia kusema "waliobahatika kupata waume ndo hao, sie wengine tumekuja kusindikiza tu, maake waoaji siku hizi hakuna".

Baada ya kuwa nimeichezea mbususu yake vya kutosha, nikathibitisha kuwa iko na kiwango cha kuridhisha, mihemko ya mwili wake iko poa, ikabidi sasa nigusie suala la kumuoa. Siku nilipomuelezea alibaki kaduwaa tu

Kwa kufupisha story, niseme tu NIMEMPOTEZA. Yaani hata mbususu yake nimeipoteza pia, akijibu calls zangu anajikeep busy sana. Nimekwisha zungumza hata na mama yake, kaishia kuniambia nielewane nae, yuko radhi kuniachia binti ake hata bure kwa kuwa nimekuwa nao karibu, ananichukulia sawa na mwanae tu

Ila binti ndo kasharuka viunzi, haitaji tena ukaribu na mimi kisa mawazo ya ndoa😥
Nadhani ungempa muda. Ila kwa ukipofikia mpe space, fanya mambo yako. Hayo mambo si ya ku force, ndio anatamani but she is afraid or has no idea or hakuchukulii kama mpenz anakuona kama rafiki yake. ( friendzoned)

Usilazimishe
 
Back
Top Bottom