Ejolisi
Member
- Aug 26, 2022
- 57
- 87
Leo mida ya mchana nimetoka naelekea kwenye safari zangu nikakutana na mama flani ivi mfupi mwenye sura ya ugomvi sehemu kama ya kilima ivi kuna ka mteremko alivyoniona kutoka mbali kaanza kubwata kwa sauti kubwa wewe unaenda wapi nakuuliza unaenda wapi😂😂 si nakuuliza yaani nikikufikia nitakubutua mpaka uchanganyikiwe.
Niliogopa sana sababu hakuna mtu mwingine alikuwa anapita njia ile na hakuna njia nyingine ya kupita nikataka nikimbie nikashindwa, akaja kwa spidi akanitazamaa basi nimekufananisha😒 hata hakuniambia pole, kanikera sana.
Niliogopa sana sababu hakuna mtu mwingine alikuwa anapita njia ile na hakuna njia nyingine ya kupita nikataka nikimbie nikashindwa, akaja kwa spidi akanitazamaa basi nimekufananisha😒 hata hakuniambia pole, kanikera sana.