Siku kadhaa kupita bila majibu baada ya TelAviv kudundwa na ballistic kutoka Yemen kuna ujumbe mzito.

Siku kadhaa kupita bila majibu baada ya TelAviv kudundwa na ballistic kutoka Yemen kuna ujumbe mzito.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Siku droni ya houthi ilipoweza kupenya mpaka TelAviv na kupiga jengo liliosababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi kadhaa,papo kwa papo asubuhi yake tukasikia bandari ya Hodeida imeshambuliwa.
Kwa shambulio la ballistic hapo juzi na kupita siku mbili bila majibu kuna mambo mengi ya kujiuliza.

Jee Israel imeanza kutetemeka inapopigwa, hivyo kupata kigugumizi cha kujibu.Hapo zamani haikuwa hivyo.

Au wameogopa baada ya kujua kuwa Houth wana vitu kama hivyo vya ziada wanavyoweza kuvivurumisha tena Tel Aviv.Ikumbukwe Houth wameshazidondosha droni za MQ-R 9 kumi mpaka sasa.

Yawezekana ndio Israel inajipanga ili ikifanya shambulio liwe kubwa zaidi na kuongeza kutisha maadui zake kama ilivyosema baada ya kushambulia Hodeida kuwa piga lile lilikuwa ni ujumbe kwa maadui zake mashariki ya kati yote.


Ujumbe nilioupata binafsi ni kuwa Netanyahu na baraza lake wanafikiri itakuwaje iwapo ballistic kama ile ikirushwa mara ya pili na ikatua mjini kati TelAviv watawezaje kuzuia wananchi kuingia barabarani kwa nguvu kutaka kumuondoa madarakani.
 
Ninavyoijua Israel lazima watajibu.
Watajibu kigaidi haswaa
Inajulikana watajibu isipokuwa majibu yao siku hizi ni ya kunyatia nyatia sio kama hapo zamani
 
Siku droni ya houthi ilipoweza kupenya mpaka TelAviv na kupiga jengo liliosababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi kadhaa,papo kwa papo asubuhi yake tukasikia bandari ya Hodeida imeshambuliwa.
Kwa shambulio la ballistic hapo juzi na kupita siku mbili bila majibu kuna mambo mengi ya kujiuliza.

Jee Israel imeanza kutetemeka inapopigwa, hivyo kupata kigugumizi cha kujibu.Hapo zamani haikuwa hivyo.

Au wameogopa baada ya kujua kuwa Houth wana vitu kama hivyo vya ziada wanavyoweza kuvivurumisha tena Tel Aviv.Ikumbukwe Houth wameshazidondosha droni za MQ-R 9 kumi mpaka sasa.

Yawezekana ndio Israel inajipanga ili ikifanya shambulio liwe kubwa zaidi na kuongeza kutisha maadui zake kama ilivyosema baada ya kushambulia Hodeida kuwa piga lile lilikuwa ni ujumbe kwa maadui zake mashariki ya kati yote.

Ujumbe nilioupata binafsi ni kuwa Netanyahu na baraza lake wanafikiri itakuwaje iwapo ballistic kama ile ikirushwa mara ya pili na ikatua mjini kati TelAviv watawezaje kuzuia wananchi kuingia barabarani kwa nguvu kutaka kumuondoa madarakani.
Kwani hiyo israel bado inaendelea tu kupambana na vijinchi visivyo na teknolojia imekaaje hiyo ni kwamba israel ni dhaifu katika jeshi ikibidi wapigwe mpaka wafutike ulimwenguni israeli ni magaidi kama walivyo america!
 
Watajibu tena vizuri
Majibu yao kama kwamba sio sahihi japo wenyewe wanayoaona ndio mazuri.
fikiria majibu waliyotoa baada ya droni ya Houth wenyewe walisema ni funzo kwa maadui zake wote mashariki ya kati.Baada ya siku chache Houth wameongeza kasi kuzidondosha droni ghali zaidi duniani za mq r9
Siku chache tena baada ya hapo wamerusha ballistic mpaka TelAviv.
Majibu ya kiwoga wanayopeleka Lebanon ndio yanawanoa HizbulLah zaidi na zaidi.
 
Majibu ya israel mpaka sasa nimegundua haya egemei kwenye kuvurumisha makombora ovyo ovyo.

Wanakusanya taarifa kutoka kwa mapandikizi wao (wasaliti wa kiyemeni, hawa wapo utake usitake) ili wakipia wapige panapo uma.
Baada ya shambulio la kielektronik kule Lebanon kila adui wa Israel ataongeza nguvu kujilinda.Itakuwa ni kazi kubwa sana kupenya na kutafuta hiyo target ya kupiga.
Kimya kikiwa kikubwa ni dalili ya kuanza kudhoofika kwa Israel.Sio kama ilivyokuwa awali.
 
Majibu ya israel mpaka sasa nimegundua haya egemei kwenye kuvurumisha makombora ovyo ovyo.

Wanakusanya taarifa kutoka kwa mapandikizi wao (wasaliti wa kiyemeni, hawa wapo utake usitake) ili wakipia wapige panapo uma.
Kwa mfano angalia shambulio la Lebanon waliokufa mpaka sasa hawajafika 30 na Hizbullah ndio wameamka zaidi.Watabadili betri kwenye simu zao na kuelekea Urusi ,Korea Kaskazini na Iran na China kununua vifaa vyengine vya mawasiliano.
Utajiuliza kuna faida gani kubwa Israel imepata kwa kuwaumiza Hizbullah na raia wa kawaida wa Lebanon?
 
Siku droni ya houthi ilipoweza kupenya mpaka TelAviv na kupiga jengo liliosababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi kadhaa,papo kwa papo asubuhi yake tukasikia bandari ya Hodeida imeshambuliwa.
Kwa shambulio la ballistic hapo juzi na kupita siku mbili bila majibu kuna mambo mengi ya kujiuliza.

Jee Israel imeanza kutetemeka inapopigwa, hivyo kupata kigugumizi cha kujibu.Hapo zamani haikuwa hivyo.

Au wameogopa baada ya kujua kuwa Houth wana vitu kama hivyo vya ziada wanavyoweza kuvivurumisha tena Tel Aviv.Ikumbukwe Houth wameshazidondosha droni za MQ-R 9 kumi mpaka sasa.

Yawezekana ndio Israel inajipanga ili ikifanya shambulio liwe kubwa zaidi na kuongeza kutisha maadui zake kama ilivyosema baada ya kushambulia Hodeida kuwa piga lile lilikuwa ni ujumbe kwa maadui zake mashariki ya kati yote.


Ujumbe nilioupata binafsi ni kuwa Netanyahu na baraza lake wanafikiri itakuwaje iwapo ballistic kama ile ikirushwa mara ya pili na ikatua mjini kati TelAviv watawezaje kuzuia wananchi kuingia barabarani kwa nguvu kutaka kumuondoa madarakani.
Sasa kwa akili yako unafikiri hilo balstic ni houth wamerusha hao ni iran anapitia mgongo wa houth
 
Baada ya shambulio la kielektronik kule Lebanon kila adui wa Israel ataongeza nguvu kujilinda.Itakuwa ni kazi kubwa sana kupenya na kutafuta hiyo target ya kupiga.
Kimya kikiwa kikubwa ni dalili ya kuanza kudhoofika kwa Israel.Sio kama ilivyokuwa awali.
Nyie Watu mnawazia makalio Israel ilimuua Haniya Ndani ya Iran tena ndani ya Hotel ya Kijeshi... Ndio washindwe kufanya tukio lingine tena simple
 
Baada ya shambulio la kielektronik kule Lebanon kila adui wa Israel ataongeza nguvu kujilinda.Itakuwa ni kazi kubwa sana kupenya na kutafuta hiyo target ya kupiga.
Kimya kikiwa kikubwa ni dalili ya kuanza kudhoofika kwa Israel.Sio kama ilivyokuwa awali.
Kukaa kimya ni kuunda mikakati mingine mimali zaidi
 
Siku droni ya houthi ilipoweza kupenya mpaka TelAviv na kupiga jengo liliosababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi kadhaa,papo kwa papo asubuhi yake tukasikia bandari ya Hodeida imeshambuliwa.
Kwa shambulio la ballistic hapo juzi na kupita siku mbili bila majibu kuna mambo mengi ya kujiuliza.

Jee Israel imeanza kutetemeka inapopigwa, hivyo kupata kigugumizi cha kujibu.Hapo zamani haikuwa hivyo.

Au wameogopa baada ya kujua kuwa Houth wana vitu kama hivyo vya ziada wanavyoweza kuvivurumisha tena Tel Aviv.Ikumbukwe Houth wameshazidondosha droni za MQ-R 9 kumi mpaka sasa.

Yawezekana ndio Israel inajipanga ili ikifanya shambulio liwe kubwa zaidi na kuongeza kutisha maadui zake kama ilivyosema baada ya kushambulia Hodeida kuwa piga lile lilikuwa ni ujumbe kwa maadui zake mashariki ya kati yote.


Ujumbe nilioupata binafsi ni kuwa Netanyahu na baraza lake wanafikiri itakuwaje iwapo ballistic kama ile ikirushwa mara ya pili na ikatua mjini kati TelAviv watawezaje kuzuia wananchi kuingia barabarani kwa nguvu kutaka kumuondoa madarakani.
wameanza kwa kukata sehemu za siri za walebanon jana, nadhani kitakachofuata kwa huthi ni kukata makalio.
 
Sasa kwa akili yako unafikiri hilo balstic ni houth wamerusha hao ni iran anapitia mgongo wa houth
Haina neno.Muhimu teknolojia iko Iran na imeshaingia yemen.
Kama mataifa ya Marekani yanavyoipa silaha Israel iwauwe wapalestina na Iran akifanya hivyo hana hatia na anayemlaumu ni mpuuzi tu.
 
Nyie Watu mnawazia makalio Israel ilimuua Haniya Ndani ya Iran tena ndani ya Hotel ya Kijeshi... Ndio washindwe kufanya tukio lingine tena simple
Haniye kauliwa na akarithiwa na Yahya Sinwar.
tangu Haniye auliwe mara ngapi IDF wameshapokea kipigo kwa kadri ya uwezo wa Hamas walionao.Jana tu askari 4 wameuliwa.
 
Baada ya shambulio la kielektronik kule Lebanon kila adui wa Israel ataongeza nguvu kujilinda.Itakuwa ni kazi kubwa sana kupenya na kutafuta hiyo target ya kupiga.
Kimya kikiwa kikubwa ni dalili ya kuanza kudhoofika kwa Israel.Sio kama ilivyokuwa awali.
Wataongeza nguvu ila kwa akili zao zilezile zinazojulikana.
 
Back
Top Bottom