Tulikaa vizuri mimi nayeye na alionesha kuridhia kuwa na mimi,
Wakati namtongoza nilimwambia najitafuta, akakubali maisha yangu, yeye akawa anafanya biashara ya kuuza duka la perfumes mainly (na cosmetics nyingine kwa ujumla)
Tumeishi kama miaka miwili kipindi hiko chote nilikuwa nampromise mambo yatakaa Sawa Sawa, anivumilie akawa anakibali tu, sometimes biashara yangu inadorola namwambia akiomba hela namwambia sina anavumilia hadi nikipata
👉Sasa picha linaanza nikaona kaanza kubadilika haniombi tena hela,nikawa Napita pale dukani nakuta wateja wengi nikahisi labda biashara yake inalipa maana alianza kupendeza sana
Siku moja, uvumilivu ukanishinda ikabidi Nimuulize mbona unapendeza sana, na huniombi hela kama zamani akajibu "B" biashara imekubali nikasema basi ni jambo jema.
Basi kuna msemo watu wanasemaga 'ipo siku utasahau kufuta message na utashikwa"🥶
Siku moja nikamuomba simu yake, nimulikie uvunguni niliangusha laini kwa bahati mbaya nikaclick moja kwa moja WhatsApp "nikakutana na message inasomeka" - "Ata kama upo kwenye danger zone Usijali nitamwaga nje wewe njoo NYUMBANI" 🥶moyo ulipasuka pale pale Jina limeseviwa " daktari D"
......
Itaendelea
Wakati namtongoza nilimwambia najitafuta, akakubali maisha yangu, yeye akawa anafanya biashara ya kuuza duka la perfumes mainly (na cosmetics nyingine kwa ujumla)
Tumeishi kama miaka miwili kipindi hiko chote nilikuwa nampromise mambo yatakaa Sawa Sawa, anivumilie akawa anakibali tu, sometimes biashara yangu inadorola namwambia akiomba hela namwambia sina anavumilia hadi nikipata
👉Sasa picha linaanza nikaona kaanza kubadilika haniombi tena hela,nikawa Napita pale dukani nakuta wateja wengi nikahisi labda biashara yake inalipa maana alianza kupendeza sana
Siku moja, uvumilivu ukanishinda ikabidi Nimuulize mbona unapendeza sana, na huniombi hela kama zamani akajibu "B" biashara imekubali nikasema basi ni jambo jema.
Basi kuna msemo watu wanasemaga 'ipo siku utasahau kufuta message na utashikwa"🥶
Siku moja nikamuomba simu yake, nimulikie uvunguni niliangusha laini kwa bahati mbaya nikaclick moja kwa moja WhatsApp "nikakutana na message inasomeka" - "Ata kama upo kwenye danger zone Usijali nitamwaga nje wewe njoo NYUMBANI" 🥶moyo ulipasuka pale pale Jina limeseviwa " daktari D"
......
Itaendelea