Siku nilipogundua mwanamke wangu ana wanaume wanne tofauti: Sitoamini tena mwanamke

Siku nilipogundua mwanamke wangu ana wanaume wanne tofauti: Sitoamini tena mwanamke

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Tulikaa vizuri mimi nayeye na alionesha kuridhia kuwa na mimi,

Wakati namtongoza nilimwambia najitafuta, akakubali maisha yangu, yeye akawa anafanya biashara ya kuuza duka la perfumes mainly (na cosmetics nyingine kwa ujumla)

Tumeishi kama miaka miwili kipindi hiko chote nilikuwa nampromise mambo yatakaa Sawa Sawa, anivumilie akawa anakibali tu, sometimes biashara yangu inadorola namwambia akiomba hela namwambia sina anavumilia hadi nikipata

👉Sasa picha linaanza nikaona kaanza kubadilika haniombi tena hela,nikawa Napita pale dukani nakuta wateja wengi nikahisi labda biashara yake inalipa maana alianza kupendeza sana

Siku moja, uvumilivu ukanishinda ikabidi Nimuulize mbona unapendeza sana, na huniombi hela kama zamani akajibu "B" biashara imekubali nikasema basi ni jambo jema.

Basi kuna msemo watu wanasemaga 'ipo siku utasahau kufuta message na utashikwa"🥶


Siku moja nikamuomba simu yake, nimulikie uvunguni niliangusha laini kwa bahati mbaya nikaclick moja kwa moja WhatsApp "nikakutana na message inasomeka" - "Ata kama upo kwenye danger zone Usijali nitamwaga nje wewe njoo NYUMBANI" 🥶moyo ulipasuka pale pale Jina limeseviwa " daktari D"
......


Itaendelea
 
Tulikaa vizuri mimi nayeye na alionesha kuridhia kuwa na mimi,

Wakati namtongoza nilimwambia najitafuta, akakubali maisha yangu, yeye akawa anafanya biashara ya kuuza duka la perfumes mainly (na cosmetics nyingine kwa ujumla)

Tumeishi kama miaka miwili kipindi hiko chote nilikuwa nampromise mambo yatakaa Sawa Sawa, anivumilie akawa anakibali tu, sometimes biashara yangu inadorola namwambia akiomba hela namwambia sina anavumilia hadi nikipata

👉Sasa picha linaanza nikaona kaanza kubadilika haniombi tena hela,nikawa Napita pale dukani nakuta wateja wengi nikahisi labda biashara yake inalipa maana alianza kupendeza sana

Siku moja, uvumilivu ukanishinda ikabidi Nimuulize mbona unapendeza sana, na huniombi hela kama zamani akajibu "B" biashara imekubali nikasema basi ni jambo jema.

Basi kuna msemo watu wanasemaga 'ipo siku utasahau kufuta message na utashikwa"🥶


Siku moja nikamuomba simu yake, nimulikie uvunguni niliangusha laini kwa bahati mbaya nikaclick moja kwa moja WhatsApp "nikakutana na message inasomeka" - "Ata kama upo kwenye danger zone Usijali nitamwaga nje wewe njoo NYUMBANI" 🥶moyo ulipasuka pale pale Jina limeseviwa " daktari D"
......


Itaendelea
Wee! Ikawaje sasa?
 
Kumwaga nje ni ushetani, hata kwenye biblia kuna yule jamaa aliombwa amzalishe mke wa ndugu yake, ila kwa roho yake mbaya hakutaka ndugu yake apate watoto, akawa anamwaga nje. Nasikia alilaaniwa
Anaitwa Onani, alikua anatakiwa kumkula Tamar ambae ni mke wa nduguye ye akamwaga nje ili nduguye asipate watoto... Mungu hakupenda akamuua Onani.
 
Basi inaendelea wakuu!

Baada ya kukuta hiyo message ya daktari D nilipanick Ila nikajiambia tulia nijue picha ili litaishia wapi

"uzuri Ile message ilikuwa ishafunguliwa" kwahiyo hakusanuka nikabunda kimya

Uzuri alikua ananiamini kwamba siwezi kushika simu yake, japo password naijua siku moja akajisahau akaiacha charge, ikabidi nichukue kuingia nikapekua nikakutana
Na lile Jina daktari "D",
Kusoma message zao wanahaidiana wataoana na mambo kemkem, miamala kadhaa aloyotumia normal text, jamaa anamsfia manzi "una mambo matamu🥶" kilichoniuma yule jamaa ni father kwangu, nikawaza Huyu mdingi tunashea uwazi/utupu mmoja🤔

Sijakaa Sawa naona Jina jingine 'afisa T " kumbe alikuwa na bwana mwingine ni afisa kitengo fulani serikalini yule bwana alijua niko nae Ila akawa anamwambia, achana na huyo kijana, anakupa nini hana fedha anabangaiza jamaa kumbe na mtaji alimuongezea na anamwambia si unaona" nimekuongezea hadi mtaji biashara inaenda fresh "


" kwa mujibu wa zile message yeye na Afisa T" huwa anampiga demu akifunga duka anapita kwa mwamba wanakamuana ndo anakuja maskani


Feeling zilikata kabisa akawa akitaka game, namwambia "Tulia nimechoka sana si unajua biashara zetu za kufanya delivery "

Nikajipa moyo konde Napanga tukio la kumfanya ili iwe funzo, kwake...

Nikaja kubaini kwa simu ndogo pia, alimsave jamaa mmoja kwa Jina la "fred hardware " mwanangu oya jamaa Ana maduka matatu ya hardware kufatilia ni jirani yake 'huko karibu na frame yake


Demu walichatishana na Fred hardware anasema"Asante kwa shopping unajua sana kuchagua nguo zimenipendeza na chupi Zina rangi nzuri"

Fred hardware nae anajbu "nilikua na wasiwasi kwamba chupi zisingetosha makalio yako" dah

Demu anamwambia "Asante nakupenda sana fred Sina mwingine zaidi yako "Fred hardware"😅Dah Kmmke kumbe tupo wanne jumla tiyari

Nilitamani muda urudi nyuma, nikasema hii tabia ya kusema sichunguzi simu imenifundisha kitu kikubwa

Sijakaa Sawa simu ikaita, Jina limeseviwa cashier, kupokea
Haloo mambo vipi, poa wewe nani!

Mwenye simu yuko wapi? Wewe unapokea kama nani! 🤔Nikamwambia mimi bwana ake na miaka miwili naishi nae🤔jamaa katoa tusi Dah nikapanick nikarudisha na mimi, mwamba akakata simu Baada ya muda kapiga ni kapokea tena, mara hii hakutukana akawa mpole

Ikabidi tuzungumze kiume, jamaa akawa analalamika kwamba kampa hela nyingi sana na alikua na mpango wa kumuoa...


Hapo ndio nikaamini ule msemo kwamba "tumbo ndio hupumua Ila makalio yanatumika kama spika tu" 🥶
Itaendelea...









,
 
Back
Top Bottom