Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni ni hadithi ya kitoto sana hiyo?Anaitwa Onani, alikua anatakiwa kumkula Tamar ambae ni mke wa nduguye ye akamwaga nje ili nduguye asipate watoto... Mungu hakupenda akamuua Onani.
Mwanetu ya kwl haya unayotuambiaBasi inaendelea wakuu!
Baada ya kukuta hiyo message ya daktari D nilipanick Ila nikajiambia tulia nijue picha ili litaishia wapi
"uzuri Ile message ilikuwa ishafunguliwa" kwahiyo hakusanuka nikabunda kimya
Uzuri alikua ananiamini kwamba siwezi kushika simu yake, japo password naijua siku moja akajisahau akaiacha charge, ikabidi nichukue kuingia nikapekua nikakutana
Na lile Jina daktari "D",
Kusoma message zao wanahaidiana wataoana na mambo kemkem, miamala kadhaa aloyotumia normal text, jamaa anamsfia manzi "una mambo matamu🥶" kilichoniuma yule jamaa ni father kwangu, nikawaza Huyu mdingi tunashea uwazi/utupu mmoja🤔
Sijakaa Sawa naona Jina jingine 'afisa T " kumbe alikuwa na bwana mwingine ni afisa kitengo fulani serikalini yule bwana alijua niko nae Ila akawa anamwambia, achana na huyo kijana, anakupa nini hana fedha anabangaiza jamaa kumbe na mtaji alimuongezea na anamwambia si unaona" nimekuongezea hadi mtaji biashara inaenda fresh "
" kwa mujibu wa zile message yeye na Afisa T" huwa anampiga demu akifunga duka anapita kwa mwamba wanakamuana ndo anakuja maskani
Feeling zilikata kabisa akawa akitaka game, namwambia "Tulia nimechoka sana si unajua biashara zetu za kufanya delivery "
Nikajipa moyo konde Napanga tukio la kumfanya ili iwe funzo, kwake...
Nikaja kubaini kwa simu ndogo pia, alimsave jamaa mmoja kwa Jina la "fred hardware " mwanangu oya jamaa Ana maduka matatu ya hardware kufatilia ni jirani yake 'huko karibu na frame yake
Demu walichatishana na Fred hardware anasema"Asante kwa shopping unajua sana kuchagua nguo zimenipendeza na chupi Zina rangi nzuri"
Fred hardware nae anajbu "nilikua na wasiwasi kwamba chupi zisingetosha makalio yako" dah
Demu anamwambia "Asante nakupenda sana fred Sina mwingine zaidi yako "Fred hardware"😅Dah Kmmke kumbe tupo wanne jumla tiyari
Nilitamani muda urudi nyuma, nikasema hii tabia ya kusema sichunguzi simu imenifundisha kitu kikubwa
Sijakaa Sawa simu ikaita, Jina limeseviwa cashier, kupokea
Haloo mambo vipi, poa wewe nani!
Mwenye simu yuko wapi? Wewe unapokea kama nani! 🤔Nikamwambia mimi bwana ake na miaka miwili naishi nae🤔jamaa katoa tusi Dah nikapanick nikarudisha na mimi, mwamba akakata simu Baada ya muda kapiga ni kapokea tena, mara hii hakutukana akawa mpole
Ikabidi tuzungumze kiume, jamaa akawa analalamika kwamba kampa hela nyingi sana na alikua na mpango wa kumuoa...
Hapo ndio nikaamini ule msemo kwamba "tumbo ndio hupumua Ila makalio yanatumika kama spika tu" 🥶
Itaendelea...
,
Halafu unaambiwa hakuna mwingine zaidi yako 😀Kuna muda nilikua nipo sehemu wimbo wa RAPCHA_LISSA
Ukawa umepigwa Kuna stanza moja rapcha....HAKUNA KITU KINAUMA UNAMPA MTU KITU NA YEYE ANAENDA KUMPA ANAE MPENDA ZAIDI..
NB.
WANAWAKE WA AINA YA HUYO ULIE NAE HUISHIA KUA SINGLE MOTHER PRODUCTION
onanKumwaga nje ni ushetani, hata kwenye biblia kuna yule jamaa aliombwa amzalishe mke wa ndugu yake, ila kwa roho yake mbaya hakutaka ndugu yake apate watoto, akawa anamwaga nje. Nasikia alilaaniwa
Onani nazani ndie binadamu wa kwanza kumwa njeAnaitwa Onani, alikua anatakiwa kumkula Tamar ambae ni mke wa nduguye ye akamwaga nje ili nduguye asipate watoto... Mungu hakupenda akamuua Onani.
Mwanzo 38: 8-10 GenesisNi kitabu gani,ikiwezekana sura. Na mstari
Rapcha alituma laki 5 ya boom kwa Lissa kisa alidanganya pesa ya ada kumbe Lissa kaenda mpa mwanaume wake..Halafu unaambiwa hakuna mwingine zaidi yako 😀
Demi kama Demi...lazma auvunje nazi kwa unoko 🤣🤣🤣🤣Wapo 6 we hujui tu.
Don't trust anyone even yourself
Ni kitabu gani,ikiwezekana sura. Na mstari
Maana kuna ambao hachat nao. Na wamekatazwa kupiga simu wala kutuma msg😀Demi kama Demi...lazma auvunje nazi kwa unoko 🤣🤣🤣🤣