Siku nilipogundua mwanamke wangu ana wanaume wanne tofauti: Sitoamini tena mwanamke

Siku nilipogundua mwanamke wangu ana wanaume wanne tofauti: Sitoamini tena mwanamke

Mimi hua naona namna nzuri ya kuishi na mwanamke ni kumpuuza tu yani hakuna kumzingatia kwa 100%. Maisha ya kisasa vitu vingi vinapatikana kwa urahisi, tupeane nafasi ila tuchukue tahadhari maana kuishi kwenye usahihi haiwezekani tena.
Yani unaweza mtu kwa mwonekano. Wa nje lakini ya ndani yakaja kukushangaza
 
Pole kaka ,yakupasa uachane nae kabla hujaja kuua ukaishie kukaa kwenye stoo Hela,jali utu wako tafuta mtu mnaweza kuendana
 
Tulikaa vizuri mimi nayeye na alionesha kuridhia kuwa na mimi,

Wakati namtongoza nilimwambia najitafuta, akakubali maisha yangu, yeye akawa anafanya biashara ya kuuza duka la perfumes mainly (na cosmetics nyingine kwa ujumla)

Tumeishi kama miaka miwili kipindi hiko chote nilikuwa nampromise mambo yatakaa Sawa Sawa, anivumilie akawa anakibali tu, sometimes biashara yangu inadorola namwambia akiomba hela namwambia sina anavumilia hadi nikipata

👉Sasa picha linaanza nikaona kaanza kubadilika haniombi tena hela,nikawa Napita pale dukani nakuta wateja wengi nikahisi labda biashara yake inalipa maana alianza kupendeza sana

Siku moja, uvumilivu ukanishinda ikabidi Nimuulize mbona unapendeza sana, na huniombi hela kama zamani akajibu "B" biashara imekubali nikasema basi ni jambo jema.

Basi kuna msemo watu wanasemaga 'ipo siku utasahau kufuta message na utashikwa"🥶


Siku moja nikamuomba simu yake, nimulikie uvunguni niliangusha laini kwa bahati mbaya nikaclick moja kwa moja WhatsApp "nikakutana na message inasomeka" - "Ata kama upo kwenye danger zone Usijali nitamwaga nje wewe njoo NYUMBANI" 🥶moyo ulipasuka pale pale Jina limeseviwa " daktari D"
......


Itaendelea
Pole sana mkuu
 
Kumwaga nje ni ushetani, hata kwenye biblia kuna yule jamaa aliombwa amzalishe mke wa ndugu yake, ila kwa roho yake mbaya hakutaka ndugu yake apate watoto, akawa anamwaga nje. Nasikia alilaaniwa
Huyo jamaa sio alilaaniwa bali aliuliwa na BWANA na jina lake aliitwa ONANI

Mwanzo 38:9
 
Mimi kama sihudumia kwa kiwango kinachofaa,nikiona tu nachitiwa najiweka pembeni kama sipo maana najua chanzo cha yote ni mimi,hivyo nawaachia wenye kisu kikali waendeleze gurudumu
 
Tulikaa vizuri mimi nayeye na alionesha kuridhia kuwa na mimi,

Wakati namtongoza nilimwambia najitafuta, akakubali maisha yangu, yeye akawa anafanya biashara ya kuuza duka la perfumes mainly (na cosmetics nyingine kwa ujumla)

Tumeishi kama miaka miwili kipindi hiko chote nilikuwa nampromise mambo yatakaa Sawa Sawa, anivumilie akawa anakibali tu, sometimes biashara yangu inadorola namwambia akiomba hela namwambia sina anavumilia hadi nikipata

👉Sasa picha linaanza nikaona kaanza kubadilika haniombi tena hela,nikawa Napita pale dukani nakuta wateja wengi nikahisi labda biashara yake inalipa maana alianza kupendeza sana

Siku moja, uvumilivu ukanishinda ikabidi Nimuulize mbona unapendeza sana, na huniombi hela kama zamani akajibu "B" biashara imekubali nikasema basi ni jambo jema.

Basi kuna msemo watu wanasemaga 'ipo siku utasahau kufuta message na utashikwa"🥶


Siku moja nikamuomba simu yake, nimulikie uvunguni niliangusha laini kwa bahati mbaya nikaclick moja kwa moja WhatsApp "nikakutana na message inasomeka" - "Ata kama upo kwenye danger zone Usijali nitamwaga nje wewe njoo NYUMBANI" 🥶moyo ulipasuka pale pale Jina limeseviwa " daktari D"
......


Itaendelea
Ndoa ni utapeli, ukome sasa
 
Lakini nilijfunza "hapa duniani mwanadamu anaweza acha kitu au mtu akasiliti anayempenda kwa sababu ya pesa lakini sio rahisi mtu akaacha pesa kwa ajili ya mtu anayempenda"
 
Back
Top Bottom