- Thread starter
- #101
Sawa boss asante🙏Pumbafu wewe peleka hadith zako uko facebook
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa boss asante🙏Pumbafu wewe peleka hadith zako uko facebook
Ina maana Mungu hakujua kama bandidu atamwaga nje, yaani baada ya kumwaga nje ndiyo akaona jamaa hastahili kuishi akaamua kumdedisha?Mungu kwanini anaua?
Dunga ila umakin mkuu umeme upo na bei ya kuunganishwa ni pesa kidgo tuBasi wakuu sehemu ya mwisho....
Tumeishia pale binti alitoa machozi..
Basi alilia sana, basi hatukuona tena haja ya kumfanya kitu kibaya.. Tukamuacha.
Moja kwa moja nilienda zangu gheto Nikaita kirikuu nikapack mizigo yangu yote, nikaacha ya kwangu nikaenda kuishi sehemu nyingine kama siku mbili nikasaka gheto jingine nikaendelea na maisha mengine
Basi, alipiga sana, wala sikua na time nae,
👉Lakini nilijfunza "hapa duniani mwanadamu anaweza acha kitu au mtu akasiliti anayempenda kwa sababu ya pesa lakini sio rahisi mtu akaacha pesa kwa ajili ya mtu anayempenda"
Nilipima, nikawa safe, lakini mpaka Leo. Miaka 8 sijaweza kudumu tena kwenye mahusiano zaidi ya kudunga na kuachia wengine wadunge🙏
Hapana lakini mwanangu kushare wewe unaweza?Kwani ulimuambia kwamba unataka uwe mwanaume wake pekee?
Dunga ila umakin mkuu umeme upo na bei ya kuunganishwa ni pesa kidgo tu
Dhambi ya Tobiti.Ma padre humwaga wapi?Kumwaga nje ni ushetani, hata kwenye biblia kuna yule jamaa aliombwa amzalishe mke wa ndugu yake, ila kwa roho yake mbaya hakutaka ndugu yake apate watoto, akawa anamwaga nje. Nasikia alilaaniwa
Mkuu salio litapatikana tu akitokea wakukuvumilia na mashida zako ishi naeSijapata mkuu mtu sahihi maana Ata salio bado la kuunga kuunga linatosha kwa "msimamo wa usiku mmoja(one night stand) "
Sio mimi ni wahengaKwamba makalio ni Spika?
Asee mkuu just imagine mwakajana nimevuruga k 24 🙌kupata mtu angalau mwenye kuvumiliaMkuu salio litapatikana tu akitokea wakukuvumilia na mashida zako ishi nae
Alooo unataka ule peke yako halafu akikuomba pesa unampanga ? Ngumu sana mkuu wanawake wana tamaa, tafuta wa size yako akubali maisha yako na hali yako kwa ujumla,,,, vinginevyo utagongewa tu,,,,Dunia haina huruma
Sasa kama hukuwa clear tangu mwanzo tulia!Hapana lakini mwanangu kushare wewe unaweza?
Nimetulia sana mkuuSasa kama hukuwa clear tangu mwanzo tulia!
Sio kulaaniwa tu na kuuliwa na Mungu kabisaKumwaga nje ni ushetani, hata kwenye biblia kuna yule jamaa aliombwa amzalishe mke wa ndugu yake, ila kwa roho yake mbaya hakutaka ndugu yake apate watoto, akawa anamwaga nje. Nasikia alilaaniwa
Kuna ukimwi mkuu. Na tulia ili upate mali iliyotulia.Asee mkuu just imagine mwakajana nimevuruga k 24 🙌kupata mtu angalau mwenye kuvumilia