Siku niliyojua mama yangu anaumwa UKIMWI mwaka 2005

Siku niliyojua mama yangu anaumwa UKIMWI mwaka 2005

Sasa siku jioni tumekaa mi nikaimba kipande cha wimbo wa Ferouz " starehe mnazipenda ila mwisho wake ni mbaya, wengi wameteketea kwa kuendekeza umalaya...."
 
Ina huzunisha sana.

Ila sio wote wanaopata Ukimwi, kwasababu ya sex ( ngono zembe ) au malaya. Tusihukumu waathirika, tuwapende tuwajari tuwatie moyo. Ingawa sasa hivi hofu ya ukimwi haipo watu wanatiana kama mbwa
Umeanza vizuri Sana ila mwisho umeharibu Sana!
 
Umeanza vizuri Sana ila mwisho umeharibu Sana!
Ukiona kuna zuri na kuna baya, ujue chanzo cha baya, huo ndio ukweli uchafu wa kingono umepitiliza kiasi tunaona humu mitaani madanguro guest bubu watu wanatiana kwa foleni
 
Hata sasa hivi mkuu Tsh unaua sana, ila wanasingia mala tb mala figo mala malaria sugu .. mala cansa, unafyeka sana, ukimwi haujaacha kuwa ukimwi mapigo yake ni yale yale
Kuna siku huu ugonjwa utabaki historia boss.
 
Wachawi huua sometimes huku wakisingizia ukimwi.Imetokea mtaani kwetu wamemuua mama wa watu wakawaambia watoto wake mama yenu kafa Kwa ukimwi
 
Pole sana mkuu. Ukimwi ulifyeka mtaa tulokua tunaishi yani kila mwezi msiba aiseee waliambukizana hapo hapo tuu wao kwa wao
Hali ilitisha sana miaka ile hlf waathirika wengi walikuwa ni watu na nusu yani watu wazuri kwelikweli humo kuna mahandsam boy wa nguvu na madada pisi kali lakn kwa kuwa hakukuwa na dawa unakuta mtu anapururuka adi anabaki kama mlingoti wa chuma.
 
Labda wewe bado una mawazo kwamba ukimwi ni ugonjwa wa kudhalilisha na unapaswa uwe ni siri, kwangu mimi sioni ud.halilishaji wowote alioufanya, Mungu amlaze mahala pema mama yake.
Sawa lakin kisa chako hakina maana,yaan cha kipuuzi.weka jambo ambolo ni fundisho kwa watu.
 
kwanini ukimwi mnauweka kwenye umuhimu was pekee?
Je angekufa na malaria isingeumiza?.
Yaani mtu akifa na ukimwi mnashangaa ila akifa na kansa hamshangai
Rest in peace ur mommy she died with HIV it pain Absolutely
 
Hali ilitisha sana miaka ile hlf waathirika wengi walikuwa ni watu na nusu yani watu wazuri kwelikweli humo kuna mahandsam boy wa nguvu na madada pisi kali lakn kwa kuwa hakukuwa na dawa unakuta mtu anapururuka adi anabaki kama mlingoti wa chuma.
Acha kabisaaa watu walipata majipu kukaa hawawezi hali ilitisha macho yalitoka nje aisee ulitisha huu ugonjwa. Sisi tulikua wadogo lakini tuliuogopa
 
kwanini ukimwi mnauweka kwenye umuhimu was pekee?
Je angekufa na malaria isingeumiza?.
Yaani mtu akifa na ukimwi mnashangaa ila akifa na kansa hamshangai
UKIMWI na malaria/kansa vinafanana kumbe! duh
 
Hata sasa hivi mkuu Tsh unaua sana, ila wanasingia mala tb mala figo mala malaria sugu .. mala cansa, unafyeka sana, ukimwi haujaacha kuwa ukimwi mapigo yake ni yale yale
TB na hayo magonjwa uliyotaja ni magonjwa nyemelezi yanatokana na UKIMWI.Mtu unaweza kuwa na UKIMWI lakini ukaishi muda mrefu kabla ya magonjwa hayo kujitokeza!!
 
TB na hayo magonjwa uliyotaja ni magonjwa nyemelezi yanatokana na UKIMWI.Mtu unaweza kuwa na UKIMWI lakini ukaishi muda mrefu kabla ya magonjwa hayo kujitokeza!!
Nafikiri unaelewa vizuri kabisa bila kwenda kuichambua hoja
 
Pole sana jombi! Ndio maana mimi huwa sipendi sana nyimbo na stori zenye mrengo wa kuponda watu fulani kama wazinzi, walevi, watu wafupi, wenye kutumia pesa hovyo maana unaweza shituka ulishanda mpaka mazaeri au mkwe kizembe zembe na bila kukusudia
 
Mamako alikuwa muungwana sana.

Angekuwa mwingine angekupa kipondo na angeficha ugonjwa wake
 
Daaah, ,wakati tupo shule (boarding) tulikuwa tunafanya jodging siku ya jumatano, miongoni mwa wimbo uliokuwa unapenda kuimbwa

" USINIONE NINA KITAMBI UKADHANIA BOSII, MWENZENU NINA UGONJWA SASA NATUMIA DOZII"


Basi mtaani walikuwa wanamimd Sana mpaka wakaja kulalamika shule tuache kuimba hiyo nyimbo
 
Back
Top Bottom