Siku niliyotumia dawa ya nguvu za kiume ilikuwa hatari; dont try!!

Kuna mjinga fulani aliniambia kunywa panadol na Kahawa nikanywa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nipo nasubiri goma lije nachati na jamaa akaniambia kunywa redbull na konyagi. Aisee mapigo ya moyo yalikuwa juu sanaa na jasho likawa linamwagika Utadhani nipo shamba nalima kwenye jua kali.
Hata zigo lilipowasili sikufanya chochote nikaishia kulilipia taxi na 10,000 la Usumbufu maana hata kutembea miguu ilikuwa haina nguvu.
 
Mtakuja mfe, shauri zenu.
 
Mwanamke hatoshelezwi kwa kupiga tako. Foreplay ndio jambo uzingatie, kula vzr siku zote, fanya mazoezi ya mwilo, utamrusha maji hakikisha hana steesa kama ana stress harushi maji hususan hawa wako kausha damu labda uahidi kulipa madeni yake akili yake itulie. Hivyo kuwa na hela
 
Utakufa,,uache utamu 🀣 πŸ˜‚ 🀣
 
Duuh asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…