Siku nimebaki mimi na kipa tu na ghafla mpira ukugeuka sufuria la hela ndipo nilipoamini uchawi upo!

Siku nimebaki mimi na kipa tu na ghafla mpira ukugeuka sufuria la hela ndipo nilipoamini uchawi upo!

Tbr boys na milambo, kuna game zilikuwa zinaamliwa na waganga.

Kuna moja ya game tuliambiwa mtu afe na ndo tushinde maana jamaa walishawahi.

Tulikubali matokeo tu, mambo ya kuua sio mazuri.
 
Haaaahaaa a.. Umenikumbusha nikiwa nacheza ligi daraja la tatu mkoa wa dodoma .. Tulikutana na walugaluga fulani kutoka Mlali huko.
.. Halftime tulikula 4 BILA.. Kumbe kuna mganga wao nje akienda chooni tu hapo karibu na uwanja akitoka tu.. Uku chuma kinaingia.... Tulisanuliwa hatukuamini.. Ikabidi viongozi wamuangalie second half.. Kweli akaingia chooni.. Alivotoka mda sio mrefu tupigwa la 5..wakaamini..ikabidi jamaa azuiwe kjingia chooni na wahuni... Game hii tulikula 5-0.
Kiongozi upo KONGWA? au Dodoma mjini? Hiyo timu ilikuwa SINZA STARS? au Bafana Bafana? Hiyi timu ilishawahi kwenda Mpwapwa kucheza na HAZINA. Wakat wa kuingia ndani ya uwanja pale getin alikaa USTAADH mmoja alimgusa golikipa wa hiyo timu ya Mlali. Wakat mechi ikiendelea golikipa akawa haoni vizuri alikuwa akilna giza. Mlali walinyukwa 6-0. Uchawi upo
 
Nakumbuka moja game za timu za vijiji, mie nikiwa golini. Kuna jamaa mmoja mrangi alikuwa ticha.
Akaniletea mzizi niuweke mdomoni. Aisee ile game ilikuwa balaa.
Jamaa akaniambia hapa hawataona goli, na atakayejifanya jeuri atakutana na simba.

Huwezi amini ile game nilipiga goal kick tuu. Dk 90, jamaa hawakulenga goli, pamoja kuwa tulishambuliwa sana, mwisho wa siku ule ushindi bila shaka mashetani ndo walifunga goli.
 
Kiongozi upo KONGWA? au Dodoma mjini? Hiyo timu ilikuwa SINZA STARS? au Bafana Bafana? Hiyi timu ilishawahi kwenda Mpwapwa kucheza na HAZINA. Wakat wa kuingia ndani ya uwanja pale getin alikaa USTAADH mmoja alimgusa golikipa wa hiyo timu ya Mlali. Wakat mechi ikiendelea golikipa akawa haoni vizuri alikuwa akilna giza. Mlali walinyukwa 6-0. Uchawi upo
By that time nlikua dom Town... Nilikodiwa tu kucheza hizo ligi
 
Kombe la uzinduzi wa Wilaya ya Mvomero mwaka 2001 uwanja wa shule ya Msingi Mvomero. Timu za ndondo maarufu za Wilaya ya Mvomero kama Gheto boys na Asec za kijiji cha Mvomero, Wami Magereza, Timu za Dakawa na Turiani. Fainally ni Gheto na Asec.

Hii Asec ilikuwa chini ya waarabu waliokuwa vizuri kiuchumi pale Mvomero na walikodi wachezaji wa ligi kuu na walikuja na coaster imejaa wachezaji wa ligi kuu nadhani zamani ilikuwa inaitwa ligi daraja la kwanza kama sikosei toka Dar kama Kipanya Malapa mzee wa ndondo, masamaki geofrey (marehemu), kipa Chachalamuya "Madusi" Ally Yusuph"Tigana" na wengine toka Dar. Refa ni Mwalimu Liyapiyapi toka Lusanga Sekondari akosqidiwa na Mgambo maarufu anaitwa "Ombopa". Game imewalalia Gheto boys iliyokuwa chini ya vijana wa kijiji cha Mvomero Rama Lundenga, Siwaseme (Fundi wa Mpira) na Abu Ramadhani "Amokachi" (alikuja chezeaga Yanga huyu jamaa) na Salumu wa "ghetto". Ikabidi viobgozi wa gheto wawasiliane na Babu alikuwa kijiji cha mvomero kitongoji cha "Dibamba". Hahaaa Mtaalamu akasema ngoja, ushindi ni wenu msiwe na shaka. Jamaa akachukua gobore lake na kulipiga juu. Pepo likawaingia wachezaji wa Asec na kuanza vurugu dhidi ya refa na wao kwa wao. Game ikaisha kwa vurugu na gheto akawa bingwa. Hii mechi ndio chanzo cha Pengo kwenye meno ya Kipanya Malapa.

Huyu mtaalamu alitumiwa tena na Mtibwa mechi moja na simba pale Manungu ile mechi Mtibwa alifungwa ila Golikipa wa Simba Mwameja alimpiga refa from nowhere kwani babu yule ndio alikuwa anayatuma mapepo na kuwaingia wapinzani na kuamza kuleta vurugu bila chanzo

Kombe la uzinduzi wa Wilaya ya Mvomero mwaka 2001 uwanja wa shule ya Msingi Mvomero. Timu za ndondo maarufu za Wilaya ya Mvomero kama Gheto boys na Asec za kijiji cha Mvomero, Wami Magereza, Timu za Dakawa na Turiani. Fainally ni Gheto na Asec.
Hii Asec ilikuwa chini ya waarabu wa Mvomero na walikodi wachezaji wa ligi kuu na walikuja na coaster imejaa wachezaji wa ligi kuu akina Kipanya Malapa mzee wa ndondo, masamaki geofrey (marehemu), kipa Chachalamuya "Madusi" Ally Yusuph"Tigana" na wengine toka Dar. Refa ni Mwalimu Liyapiyapi toka Lusanga Sekondari akosaidiwa na Mgambo maarufu anaitwa "Ombopa". Game imewalalia Gheto boys iliyokuwa chini ya vijana wa kijiji cha Mvomero Rama Lundenga, Siwaseme (Fundi wa Mpira), Abu Ramadhani "Amokachi" (alikuja chezeaga Yanga huyu jamaa) na Salumu wa "ghetto". Ikabidi viongozi wa gheto wawasiliane na Babu alikuwa kijiji cha mvomero kitongoji cha "Dibamba". Hahaaa Mtaalamu akasema ngoja, ushindi ni wenu msiwe na shaka. Jamaa akachukua gobore lake na kulipiga juu. Pepo likawaingia wachezaji wa Asec na kuanza vurugu dhidi ya refa na wao kwa wao. Game ikaisha kwa vurugu na gheto akawa bingwa. Hii mechi ndio chanzo cha Pengo kwenye meno ya Kipanya Malapa.
Huyu mtaalamu alitumiwa tena na Mtibwa mechi moja na simba pale Manungu ile mechi Mtibwa alifungwa ila Golikipa wa Simba Mwameja alimpiga refa from nowhere kwani babu yule ndio alikuwa anayatuma mapepo na kuwaingia wapinzani na kuanza kuleta vurugu bila chanzo na Mtibwa akapewa point za mezani.
Mkuu ngoja kwanza
 
Kiongozi upo KONGWA? au Dodoma mjini? Hiyo timu ilikuwa SINZA STARS? au Bafana Bafana? Hiyi timu ilishawahi kwenda Mpwapwa kucheza na HAZINA. Wakat wa kuingia ndani ya uwanja pale getin alikaa USTAADH mmoja alimgusa golikipa wa hiyo timu ya Mlali. Wakat mechi ikiendelea golikipa akawa haoni vizuri alikuwa akilna giza. Mlali walinyukwa 6-0. Uchawi upo
Hizi stori Utopolo hawajaja pm kuulizia huyo sheikh?
 
Ile ya mobotu ilikua comedy, ukiangalia documentary za fifa kipindi Hiko wachezaji wake hawajui hata Sheria za mpira, ikiwekwa faulo kuelekea langoni mwao refa akipiga filimbi linatoka beki lao kwenye ukuta linaenda butua mpira, yaani vurugu tupu.... Sasa hata kama we ndo mganga watu kama hao unawasaidia vipi
Hivi unajua alichofanya yule beki kilisaidia Congo wasipatwe na dhahama ya magoli?
 
Kitambo sana niliamini uchawi upo.

Nilikuwa nachezea timu moja ya daraja la tatu kule Temeke. Ile siku nilitanguliziwa mpira nikawatoka mabeki wa timu ya Yombo Makangarawe, nikampiga chenga kipa ambaye alikuwa ameshatoka golini, gafla mbele yangu sikuliona goli nilichofanya niliamua kupiga tu mpira mbele yangu.

Cha ajabu niliona mashabiki wanashangilia goli wakati mimi mwenyewe sikuliona goli mbele yangu.
Habari kaka.

Kuna dada nina shida nae, kuonesha nipo serious nimemwambia popote alipo niko tayari kumfata tuonane.

Mie nipo mitaa ya Ubungo.

Dada ameniambia anaishi Temeke Yombo. Amesema kama ni kuonana, basi isiwe mitaa ya mbali na Temeke. Yaani tusiende mbali. Anaishi kwao.

Mie Temeke sio mwenyeji, napajua Tandika kituo cha daladala na ile barabara ya kwenda Buza.

Naomba unielekeze Yombo iko pande gani. Yaani nafikaje.

Halafu kingine, maeneo ya huko Temeke kuna mahali tulivu naweza mpeleka mtu wangu tukakaa kwa ajili ya mazungumzo.

Wote hatunywi pombe.

Napenda sehem iwe na mandhari tulivu, romantic. Tuweze kuongea kwa utulivu, kisha giza likiingia nimrudishe kwao Yombo mie nirudi Ubungo.

Nisaidie mkuu. Nampenda sana huyu dada.

Kuhusu usafiri nina private car.
 
Kuna mechi Moja ya Simba na Yanga Mwanzoni mwa miaka ya 90 pale shamba labibi mchezaji wa Yanga Rajabu Rashid alijikuta akiokota mpira ndani ya ene la 18 la timu yake.
Hata haileweki kilimkuta Nini, Mwamuzi akaamuru ipigwe Penalty kuelekea Yanga goli la kaskazini ya uwanja.
Penalty ilienda kupigwa na mchezaji na mpiga penalty mashuhuri wa Simba Hamis Tobias Gaga.
Gaga akapiga Penalty mpira ukagonga Mwamba ukarudi uwanjani Yanga waka okoa Ile hatari langoni mwao.
Ile mechi Simba walifungwa 3-1 Kwa Magoli ya Makumbi Juma, Tomas Kipese na Sanifu Lazaro
yule mchezaji was Yanga alihisi refa kapiga filimbi ndio akaushika mpira
 
Habari kaka.

Kuna dada nina shida nae, kuonesha nipo serious nimemwambia popote alipo niko tayari kumfata tuonane.

Mie nipo mitaa ya Ubungo.

Dada ameniambia anaishi Temeke Yombo. Amesema kama ni kuonana, basi isiwe mitaa ya mbali na Temeke. Yaani tusiende mbali. Anaishi kwao.

Mie Temeke sio mwenyeji, napajua Tandika kituo cha daladala na ile barabara ya kwenda Buza.

Naomba unielekeze Yombo iko pande gani. Yaani nafikaje.

Halafu kingine, maeneo ya huko Temeke kuna mahali tulivu naweza mpeleka mtu wangu tukakaa kwa ajili ya mazungumzo.

Wote hatunywi pombe.

Napenda sehem iwe na mandhari tulivu, romantic. Tuweze kuongea kwa utulivu, kisha giza likiingia nimrudishe kwao Yombo mie nirudi Ubungo.

Nisaidie mkuu. Nampenda sana huyu dada.

Kuhusu usafiri nina private car.
Buza ndio hukohuko Yombo. Hice za kwenda Buza zinatokea Tandika, hivyo sehemu rahisi kwa wewe kukutana nae ni hapohapo Tandika ambapo wewe unapafahamu.
 
Buza ndio hukohuko Yombo. Hice za kwenda Buza zinatokea Tandika, hivyo sehemu rahisi kwa wewe kukutana nae ni hapohapo Tandika ambapo wewe unapafahamu.
Ahaaaa....
Na kuhusu maeneo tulivu mitaa ya huko Temeke?

Yaani mfano restaurant nzuri, eneo romantic. Naweza mpeleka.
 
Back
Top Bottom