Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Kiongozi upo KONGWA? au Dodoma mjini? Hiyo timu ilikuwa SINZA STARS? au Bafana Bafana? Hiyi timu ilishawahi kwenda Mpwapwa kucheza na HAZINA. Wakat wa kuingia ndani ya uwanja pale getin alikaa USTAADH mmoja alimgusa golikipa wa hiyo timu ya Mlali. Wakat mechi ikiendelea golikipa akawa haoni vizuri alikuwa akilna giza. Mlali walinyukwa 6-0. Uchawi upoHaaaahaaa a.. Umenikumbusha nikiwa nacheza ligi daraja la tatu mkoa wa dodoma .. Tulikutana na walugaluga fulani kutoka Mlali huko.
.. Halftime tulikula 4 BILA.. Kumbe kuna mganga wao nje akienda chooni tu hapo karibu na uwanja akitoka tu.. Uku chuma kinaingia.... Tulisanuliwa hatukuamini.. Ikabidi viongozi wamuangalie second half.. Kweli akaingia chooni.. Alivotoka mda sio mrefu tupigwa la 5..wakaamini..ikabidi jamaa azuiwe kjingia chooni na wahuni... Game hii tulikula 5-0.
Daaah. Mlali ndo HOME ujueHahahaaaa, wakaguru ni wabaya tu kiujumla. Kuna jeshi lao la Sungusungu la Gairo, Wamasai wanalifahamu hilo.
Jina lake halisi ni SIMANGO. Wahuni wa Gairo walimvunja mguu. Alitanguliziwa boli ile kukimbia kwa kasi aliliwa mtama hadi mkono ulivunjikaEehe haohao
HahaaaaasJina lake halisi ni SIMANGO. Wahuni wa Gairo walimvunja mguu. Alitanguliziwa boli ile kukimbia kwa kasi aliliwa mtama hadi mkono ulivunjika
By that time nlikua dom Town... Nilikodiwa tu kucheza hizo ligiKiongozi upo KONGWA? au Dodoma mjini? Hiyo timu ilikuwa SINZA STARS? au Bafana Bafana? Hiyi timu ilishawahi kwenda Mpwapwa kucheza na HAZINA. Wakat wa kuingia ndani ya uwanja pale getin alikaa USTAADH mmoja alimgusa golikipa wa hiyo timu ya Mlali. Wakat mechi ikiendelea golikipa akawa haoni vizuri alikuwa akilna giza. Mlali walinyukwa 6-0. Uchawi upo
Poa. Hiyo timu ni ya mtaani huko HOME. Mganga wao namjua. Ni faza mmoja anapenda saana mpira. Huwa anasafiri na timu. Yuko vizuri kwa uchawi wa mpiraBy that time nlikua dom Town... Nilikodiwa tu kucheza hizo ligi
Mkuu ngoja kwanzaKombe la uzinduzi wa Wilaya ya Mvomero mwaka 2001 uwanja wa shule ya Msingi Mvomero. Timu za ndondo maarufu za Wilaya ya Mvomero kama Gheto boys na Asec za kijiji cha Mvomero, Wami Magereza, Timu za Dakawa na Turiani. Fainally ni Gheto na Asec.
Hii Asec ilikuwa chini ya waarabu waliokuwa vizuri kiuchumi pale Mvomero na walikodi wachezaji wa ligi kuu na walikuja na coaster imejaa wachezaji wa ligi kuu nadhani zamani ilikuwa inaitwa ligi daraja la kwanza kama sikosei toka Dar kama Kipanya Malapa mzee wa ndondo, masamaki geofrey (marehemu), kipa Chachalamuya "Madusi" Ally Yusuph"Tigana" na wengine toka Dar. Refa ni Mwalimu Liyapiyapi toka Lusanga Sekondari akosqidiwa na Mgambo maarufu anaitwa "Ombopa". Game imewalalia Gheto boys iliyokuwa chini ya vijana wa kijiji cha Mvomero Rama Lundenga, Siwaseme (Fundi wa Mpira) na Abu Ramadhani "Amokachi" (alikuja chezeaga Yanga huyu jamaa) na Salumu wa "ghetto". Ikabidi viobgozi wa gheto wawasiliane na Babu alikuwa kijiji cha mvomero kitongoji cha "Dibamba". Hahaaa Mtaalamu akasema ngoja, ushindi ni wenu msiwe na shaka. Jamaa akachukua gobore lake na kulipiga juu. Pepo likawaingia wachezaji wa Asec na kuanza vurugu dhidi ya refa na wao kwa wao. Game ikaisha kwa vurugu na gheto akawa bingwa. Hii mechi ndio chanzo cha Pengo kwenye meno ya Kipanya Malapa.
Huyu mtaalamu alitumiwa tena na Mtibwa mechi moja na simba pale Manungu ile mechi Mtibwa alifungwa ila Golikipa wa Simba Mwameja alimpiga refa from nowhere kwani babu yule ndio alikuwa anayatuma mapepo na kuwaingia wapinzani na kuamza kuleta vurugu bila chanzo
Kombe la uzinduzi wa Wilaya ya Mvomero mwaka 2001 uwanja wa shule ya Msingi Mvomero. Timu za ndondo maarufu za Wilaya ya Mvomero kama Gheto boys na Asec za kijiji cha Mvomero, Wami Magereza, Timu za Dakawa na Turiani. Fainally ni Gheto na Asec.
Hii Asec ilikuwa chini ya waarabu wa Mvomero na walikodi wachezaji wa ligi kuu na walikuja na coaster imejaa wachezaji wa ligi kuu akina Kipanya Malapa mzee wa ndondo, masamaki geofrey (marehemu), kipa Chachalamuya "Madusi" Ally Yusuph"Tigana" na wengine toka Dar. Refa ni Mwalimu Liyapiyapi toka Lusanga Sekondari akosaidiwa na Mgambo maarufu anaitwa "Ombopa". Game imewalalia Gheto boys iliyokuwa chini ya vijana wa kijiji cha Mvomero Rama Lundenga, Siwaseme (Fundi wa Mpira), Abu Ramadhani "Amokachi" (alikuja chezeaga Yanga huyu jamaa) na Salumu wa "ghetto". Ikabidi viongozi wa gheto wawasiliane na Babu alikuwa kijiji cha mvomero kitongoji cha "Dibamba". Hahaaa Mtaalamu akasema ngoja, ushindi ni wenu msiwe na shaka. Jamaa akachukua gobore lake na kulipiga juu. Pepo likawaingia wachezaji wa Asec na kuanza vurugu dhidi ya refa na wao kwa wao. Game ikaisha kwa vurugu na gheto akawa bingwa. Hii mechi ndio chanzo cha Pengo kwenye meno ya Kipanya Malapa.
Huyu mtaalamu alitumiwa tena na Mtibwa mechi moja na simba pale Manungu ile mechi Mtibwa alifungwa ila Golikipa wa Simba Mwameja alimpiga refa from nowhere kwani babu yule ndio alikuwa anayatuma mapepo na kuwaingia wapinzani na kuanza kuleta vurugu bila chanzo na Mtibwa akapewa point za mezani.
Hizi stori Utopolo hawajaja pm kuulizia huyo sheikh?Kiongozi upo KONGWA? au Dodoma mjini? Hiyo timu ilikuwa SINZA STARS? au Bafana Bafana? Hiyi timu ilishawahi kwenda Mpwapwa kucheza na HAZINA. Wakat wa kuingia ndani ya uwanja pale getin alikaa USTAADH mmoja alimgusa golikipa wa hiyo timu ya Mlali. Wakat mechi ikiendelea golikipa akawa haoni vizuri alikuwa akilna giza. Mlali walinyukwa 6-0. Uchawi upo
Ulikuwa hujazaliwa kipindi hiko wewe.Mkuu ngoja kwanza
Nilikuwa darasa la 7. Ila nimecheza sana UMISHUMITA nikiwa golikipa. Timu ya kata tulikuwa na mganga. Sisi walokole tulikuwa tunakalia bench tu maana hatukuwa tunapikwaUlikuwa hujazaliwa kipindi hiko wewe.
Alitufanyia umafia sanaPoa. Hiyo timu ni ya mtaani huko HOME. Mganga wao namjua. Ni faza mmoja anapenda saana mpira. Huwa anasafiri na timu. Yuko vizuri kwa uchawi wa mpira
Hivi unajua alichofanya yule beki kilisaidia Congo wasipatwe na dhahama ya magoli?Ile ya mobotu ilikua comedy, ukiangalia documentary za fifa kipindi Hiko wachezaji wake hawajui hata Sheria za mpira, ikiwekwa faulo kuelekea langoni mwao refa akipiga filimbi linatoka beki lao kwenye ukuta linaenda butua mpira, yaani vurugu tupu.... Sasa hata kama we ndo mganga watu kama hao unawasaidia vipi
Kuna Paka Fc alinisakaHizi stori Utopolo hawajaja pm kuulizia huyo sheikh?
Habari kaka.Kitambo sana niliamini uchawi upo.
Nilikuwa nachezea timu moja ya daraja la tatu kule Temeke. Ile siku nilitanguliziwa mpira nikawatoka mabeki wa timu ya Yombo Makangarawe, nikampiga chenga kipa ambaye alikuwa ameshatoka golini, gafla mbele yangu sikuliona goli nilichofanya niliamua kupiga tu mpira mbele yangu.
Cha ajabu niliona mashabiki wanashangilia goli wakati mimi mwenyewe sikuliona goli mbele yangu.
yule mchezaji was Yanga alihisi refa kapiga filimbi ndio akaushika mpiraKuna mechi Moja ya Simba na Yanga Mwanzoni mwa miaka ya 90 pale shamba labibi mchezaji wa Yanga Rajabu Rashid alijikuta akiokota mpira ndani ya ene la 18 la timu yake.
Hata haileweki kilimkuta Nini, Mwamuzi akaamuru ipigwe Penalty kuelekea Yanga goli la kaskazini ya uwanja.
Penalty ilienda kupigwa na mchezaji na mpiga penalty mashuhuri wa Simba Hamis Tobias Gaga.
Gaga akapiga Penalty mpira ukagonga Mwamba ukarudi uwanjani Yanga waka okoa Ile hatari langoni mwao.
Ile mechi Simba walifungwa 3-1 Kwa Magoli ya Makumbi Juma, Tomas Kipese na Sanifu Lazaro
Buza ndio hukohuko Yombo. Hice za kwenda Buza zinatokea Tandika, hivyo sehemu rahisi kwa wewe kukutana nae ni hapohapo Tandika ambapo wewe unapafahamu.Habari kaka.
Kuna dada nina shida nae, kuonesha nipo serious nimemwambia popote alipo niko tayari kumfata tuonane.
Mie nipo mitaa ya Ubungo.
Dada ameniambia anaishi Temeke Yombo. Amesema kama ni kuonana, basi isiwe mitaa ya mbali na Temeke. Yaani tusiende mbali. Anaishi kwao.
Mie Temeke sio mwenyeji, napajua Tandika kituo cha daladala na ile barabara ya kwenda Buza.
Naomba unielekeze Yombo iko pande gani. Yaani nafikaje.
Halafu kingine, maeneo ya huko Temeke kuna mahali tulivu naweza mpeleka mtu wangu tukakaa kwa ajili ya mazungumzo.
Wote hatunywi pombe.
Napenda sehem iwe na mandhari tulivu, romantic. Tuweze kuongea kwa utulivu, kisha giza likiingia nimrudishe kwao Yombo mie nirudi Ubungo.
Nisaidie mkuu. Nampenda sana huyu dada.
Kuhusu usafiri nina private car.
Ahaaaa....Buza ndio hukohuko Yombo. Hice za kwenda Buza zinatokea Tandika, hivyo sehemu rahisi kwa wewe kukutana nae ni hapohapo Tandika ambapo wewe unapafahamu.