Siku nimebaki mimi na kipa tu na ghafla mpira ukugeuka sufuria la hela ndipo nilipoamini uchawi upo!

Niko kwenye daladala nimesoma hii post nimejikuta nimecheka kwa sauti kubwa hadi waliojirani wamenishangaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]noma sana
 
Duuh
 
Kuna Timu mbeya inaitwa ngorongoro miaka ya 80 mwishoni , ilikuwa inamilikiwa na mtu binafsi. ilikuwa imekusanya wachezaji mastaa miongoni mwao ni Sekilojo wachezaji vijana wenye uwezo mkubwa.
Kuna mechi walikuwa wanacheza na halmashauri ya Kyela lakini wakati hiyo Timu inavuka barabarani mchezaji wao mmoja akagongwa na gari akajeruhiwa ikabidi mechi ihairishwe. kile kitendo Timu ya Kyela walikichukulia kama ushirikina hivyo mechi ya marudiano star wa ngorongoro Lau akaanguka uwanjani kukimbizwa hospital Hali mbaya ikabidi afatwe mganga wa Tukuyu Star lakini akashindwa akawaambia anayeweza kumwagua ni mganga aliyemloga.
bahati mbaya akafariki ikabidi azikwe na mpira wake.
waliyofanya tukio ni watu wa Kyela na marehemu alitokea huko ikabidi kiitishwe kikao na baada ya hapo mhusika mmoja baada ya mwingine akapukutika.
tukija Kwa marehemu Lau ni mtu aliyekuwa na kipaji Cha ajabu, baada ya kumaliza mtihani wa mwisho form four alikuta mizigo yake imeshapakiwa kwenye gari na kuajiliwa kama mchezaji kupangwa guest na kulipwa mshahara. kama asingekumbwa na majanga angekuja kuwa mchezaji maarufu Tanzania.
Kwa wale waliosoma mwakaleli watamkumbuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…