Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni , hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda , hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi ? Vipi jamani upepo unamuendeaje ? Nasikia anaandaa time mpya baada ya Polepole nd Bashiru timu Yao kaproove massive failure .
Hakika,TUNATEKETEZAAAAAAAAA."Utafiti unaonyesha kama uchaguzi ungefanyika jumatano ya wiki hii mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dr. Magufuli angepata 85%...." katibu mwenezi Mh. Polepole
Kuna haja gani ya kuacha kupumzika.
Hivi kwenye kampeni ya 2020 Magufuli atawaambia nini wananchi?Hana cha kuawaeleza wananchi!
Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni , hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda , hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi ? Vipi jamani upepo unamuendeaje ? Nasikia anaandaa time mpya baada ya Polepole nd Bashiru timu Yao kaproove massive failure .
Kama gari yenye shida ya plug[emoji1550][emoji1550][emoji1550]Yule huwa pumzi zinamkata mara kwa mara. Lissu ni mtu mbaya sana.
98 chache sana atafikisha 198JPM 95%
sasa anaongeza asilimia tu .....akikaza buti utakuta anagonga mpaka 98%
Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni , hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda , hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi ? Vipi jamani upepo unamuendeaje ? Nasikia anaandaa time mpya baada ya Polepole nd Bashiru timu Yao kaproove massive failure .
Zitakuwa ni asilimia za kuchaji simu bila shaka.JPM 95%
sasa anaongeza asilimia tu .....akikaza buti utakuta anagonga mpaka 98%