Uchaguzi 2020 Siku Tano mgombea Urais wa CCM hafanyi kampeni, Kulikoni?

Uchaguzi 2020 Siku Tano mgombea Urais wa CCM hafanyi kampeni, Kulikoni?

Chief Kabikula

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2019
Posts
7,567
Reaction score
9,037
Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .
 
"Utafiti unaonyesha kama uchaguzi ungefanyika jumatano ya wiki hii mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dr. Magufuli angepata 85%...." katibu mwenezi Mh. Polepole

Kuna haja gani ya kuacha kupumzika. Mimi nashauri JPM endelea na kazi za kulitumikia taifa kuna kura nyingi za heshima kwa ajili yako!
 
Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni , hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda , hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi ? Vipi jamani upepo unamuendeaje ? Nasikia anaandaa time mpya baada ya Polepole nd Bashiru timu Yao kaproove massive failure .

Yuko gereji gia imegoma kuingia, sasa ameona awaone wakurugenzi na awape maagizo ya kufanya, kwani mpaka sasa yeye ni boss wao.
 
"Utafiti unaonyesha kama uchaguzi ungefanyika jumatano ya wiki hii mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dr. Magufuli angepata 85%...." katibu mwenezi Mh. Polepole

Kuna haja gani ya kuacha kupumzika.
Hakika,TUNATEKETEZAAAAAAAAA.
Screenshot_2020-09-24-19-55-15-1.jpg
 
Kunakuwa na siku za ziada, wanaweza kufidia kwenda maeneo ambayo wataona kadri inavyohitajika
 
Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni , hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda , hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi ? Vipi jamani upepo unamuendeaje ? Nasikia anaandaa time mpya baada ya Polepole nd Bashiru timu Yao kaproove massive failure .
Bethuel-Mangena-Sars-Inquiry-900x787.jpg
 
Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni , hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda , hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi ? Vipi jamani upepo unamuendeaje ? Nasikia anaandaa time mpya baada ya Polepole nd Bashiru timu Yao kaproove massive failure .

He has every tool required on the ground running. Ila anasikitika tuu Mnyika na wezake wamefukuzwa kwenye kampeni team ya Lissu.
 
Back
Top Bottom