Huwa anaanzia alipoharibu jamaa yenu kisha anamalizia kwenye sera. Hiyo ndio maana halisi ya spana kadiri unavyokwenda mbele ndivyo inavyozidi kukazaMwishoni mwa campaign Lissu ashauriwe kuacha kuwa reactive na kujibu kila analosema Magu.
Yeye afocus tu kwenye sera mbadala, nini (what) na jinsi gani (how) atafanya kwenye issues za msingi zilizo kero kwa raia wengi.
Ni muhimu sana kuwaambia na kuwaaminisha wapiga kura nini wategemee kwenye utawala wake tofauti na walichoexperience na kuona ndani ya miaka mitano ya JP Magufuli
Yupo bize anasuka mipango ya namna ya kufanikisha bao la mkono maana hali ni mbaya kwerikweriKimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .
Tena ikiwezekana alale ikulu asubiri kuapishwa, ndio atajua kama hajui"Utafiti unaonyesha kama uchaguzi ungefanyika jumatano ya wiki hii mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dr. Magufuli angepata 85%...." katibu mwenezi Mh. Polepole
Kuna haja gani ya kuacha kupumzika. Mimi nashauri JPM endelea na kazi za kulitumikia taifa kuna kura nyingi za heshima kwa ajili yako!
nasikia gia zimepandiana kila akitaka kuondoka anafeli, Lisu ameipigilia sana nati spanaKimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .
Leo ipo na suluhu kitetoNa Chopa wamekodi!
Muache uongo sawa ?The European Union(EU) wamefanya utafiti wao na kueleza kuwa, kama uchaguzi mkuu ungefanyika Wiki hili, CCM ingeshinda kwa zaidi ya 85%.
Kumbuka ni kadhaa zimefanywa na watu/Makundi tofauti tofauti na kuonesha ushindi kwa CCM kwa zaidi ya 85%.
Mpaka hapo kunakuwa na haja gani ya kupoteza muda gharama nyingi wakati ushindi umeshapatikana?
Hata hivyo, kwa mtu unayejiamini si lazima kila siku upige Kampeni.
Lakini pia wagombea wengine wana kofia mbili. Kofia ya ugombea na Kofia ya utawala. Kwa hiyo muda mwingine huyu mwenye Kofia mbili anakuwa ana kazi za utawala tofauti na yule ambaye ni mgombea tu.
Nawasilisha.
Si mlisema mtauwa upinzani leteni mrejesho,maiti zimefufukaTetemeko la kisiasa la nguvu ya 56.7 kuikumba Tz. Never like before.
Hana mappya ya kuongeaKwa iyo?
Huyu ndo kiboko ya madikteta ya afrika akimaliza Cameron apige Rwanda kwa Mwalimu kocha wa udikteta afrika ndie aliyempoteza mwenzakeMuache uongo sawa ?View attachment 1582514View attachment 1582518
Atakuwapo Nani mondi au kibaNiko Mbeya town hapa getoni kwangu nimetulia, linapita gari la promo za Meko now linapiga kelele tu,, Siku anakuja mzee wa Spana Lissu hakukua na promo ka hizi ila watu tulijaa viwanja vya Rwandanzovye...
Sent using Jamii Forums mobile app
Anga limekukataeni.mbio za mwenge zilikuwa zikipumbaza akili za watzTetemeko la kisiasa la nguvu ya 56.7 kuikumba Tz. Never like before.
Mbona analalamika
Vipi Yule robot wa chama cha Mbowe alietaka kudondoka jukwaani gia zake hazijafeli🤔?nasikia gia zimepandiana kila akitaka kuondoka anafeli, Lisu ameipigilia sana nati spana
Spana za TAL kaka, lazima wana Lumumba wapoteane...Mbona analalamika
Mappya ndio kitu gani comrade? Hicho ni kuyunani?Hana mappya ya kuongea